Rooney katika nafasi nyingine kwenye ubora wake…
Mshambuliaji wa klabu ya Manchester united Wyne Rooney ametangazwa kuwa mchezaji bora kwa mwaka 2015 kwa mara nyingine. Hii inakuwa mara ya pili staa huyo wa England kuchaguliwa mchezaji bora na mashabiki wa ligi kuu baada ya mwaka 2014 kushinda pia mwaka 2008 na 2009. Pia kipa wa Stoke City Jack Butland amechaguliwa kuwa kipa […]
The post Rooney katika nafasi nyingine kwenye ubora wake… appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo05 Jan
FIFA kwenye headlines nyingine ya kumsimamisha kiongozi wake…
Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza katibu mkuu wa shirikisho hilo linalosimamia soka duniani Jerome Valcke asimamishwe kujihusisha na mchezo wa soka kwa miaka tisa. Katibu huyo anadaiwa kutumia vibaya pesa ikiwemo uuzaji wa tiketi za kombe la duniani lililopita pamoja na kukiuka sheria za Shirikisho hilo. Awali kamati ya nidhamu alimsimamisha katibu huyo kwa […]
The post FIFA kwenye headlines nyingine ya kumsimamisha kiongozi wake… appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Brazil 2014: Kauli ya Scholes ubora wa Rooney kumuweka pabaya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH17JXayl7PJXiEXFpQjUT*MI6u9SRSpoGtXVNgmRDTTLJOtIB9W6GqFRfIiRqgP2oXsDzJbkYuoO57sCvqGo-qX/8xxlv.jpg?width=650)
AMEKUSALITI? BADO MNA NAFASI NYINGINE
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dv9nM2pveqY/VgsLQ8R4P1I/AAAAAAAH7xw/caOlPqx-0Eo/s72-c/download.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KATIKA JESHI LA MAGEREZA KWENYE BAADHI YA MITANDAO YA KIJAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-dv9nM2pveqY/VgsLQ8R4P1I/AAAAAAAH7xw/caOlPqx-0Eo/s1600/download.jpg)
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwepo na tangazo kuhusu nafasi za ajira katika Jeshi la Magereza linalodaiwa kuwa limetolewa na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza na kusambazwa kwenye baadhi ya Mitandao ya kijamii. Umma unajulishwa kuwa taarifa hizo siyo za kweli.
Jeshi la Magereza linapenda kuufahamisha umma kuwa ajira hutolewa na kutangazwa kupitia Vyombo vya Habari pamoja na tovuti ya Jeshi la Magereza ya www.magereza.go.tz
Hivyo, Jeshi la Magereza linawatahadharisha Wananchi wote...
10 years ago
Bongo Movies27 Dec
PICHA: Hakuna Mtu Anaweza Kuchukua Nafasi Yako Kama Upo Kwenye Nafasi Yako-Lulu
Hayo ni maneno ambayo mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” aliyaandika kwa lungha ya kingereza kabla ya kuzitupia picha hizo hapo juu.
“Cant Nobody Take Your Place If You're In Your Place...!”
Kiukweli, kama utaweka chuki zako pembeni, utakubaliana na mimi kuwa Lulu ni mwigizaji anaependa na kwenda na fasheni kuwashinda waigizaji wote wa hapa bongo.
Jionee picha hizo.
By Mzee wa Ubuyu
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8DltHaidhJA/Vd_F8CNpjYI/AAAAAAAAyCY/907U3EMwmys/s72-c/DSC_0880.jpg)
MAMA SAMIA KATIKA UBORA WAKE KATIKA MAJIMBO YA MONDULI NA LONGIDO MKOANI ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-8DltHaidhJA/Vd_F8CNpjYI/AAAAAAAAyCY/907U3EMwmys/s640/DSC_0880.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DP5BZ3NexLI/Vd_GSlhcTKI/AAAAAAAAyC4/LBGmVAYvIYI/s640/DSC_0924.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DLbznLJV8O4/Vd_XWH7dwUI/AAAAAAAAyF4/3HsOAN5aQGQ/s640/maji.jpg)
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Pluijm: Ninaamini kwenye ubora
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, Hans Van der Pluijm, amesema hafikirii kuwa kupata mabao mengi katika mechi ndiyo kufanya vizuri, yeye anachokiangalia na kukiamini katika kikosi chake ni ubora, hata kama watashinda moja kila mechi.
Yanga ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 3-0 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa ligi uliyochezwa juzi Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm...