Wanakwaya Wamfungukia Jokate, Wadai Anatia Aibu
Mrembo , mtangazaji na muigizaji wa filamu, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amewakera wanakwaya wenzake ambao wamedai kuwa anawatia aibu.
Kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa, ishu ya Jokate kutupia picha za nusu utupu mitandaoni si mpya, mara kadhaa amekuwa akiripotiwa kwa tabia yake hiyo kiasi cha kuwakera wanakwaya hao wa kanisa analosali la Saint Peter lililopo Oysterbay jijini Dar.
Mbali na picha hizo, safari hii anaandamwa na skendo mpya ya kudaiwa kukata mauno mbele ya midume anapokuwa kwenye...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiL921L-DJSCjn4TPY7ek3hP6gLTqgg6zrIvUM3KAUXaqHayJKkzB2zbQFRm0bFtx*aXHo8Nv1S82MERHY7CSTzE/3.jpg?width=650)
WANAKWAYA: JOKATE ANATUTIA AIBU
11 years ago
Bongo507 Aug
Picha: Jokate amfanyia interview ex wake Diamond, mashabiki wadai wanaoneana aibu!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnWED-46XY0Odv9VYah4wZROJkJAoyuBG*TQqluseP-oFPkwNXuCALzeSOld9s0Q5BQtgFcanytM*bsMGCWprTJ9/jokate.jpg)
JOKATE, DIAMOND WAONEANA AIBU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx238gPP88Gz7h7DY910em1q7KTQF5tP-QOnpfIiRnXqN-CcbK9juZai9vpr45IN12BeEYCHbwxKjEkDsFyiELse4/Chris_Brown_iHeart_Radio.jpg?width=650)
CHRIS BROWN ANATIA HURUMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LuNFyubT92cWak1o-dztFxmjtsdT-gv18LJBF7QXhCDEVFIo9FHuZkjHMDa6FxueBXbUogZ6omI0GIfvB9NxRXu/MAXI.jpg)
Maximo anatia huruma, awaaga wachezaji kwa majonzi
10 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz
Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...
5 years ago
MichuziWAZIRI JAFO AAGIZA SHULE ILIYOJENGWA NA DC JOKATE IITWE JOKATE GIRLS SEKONDARI, ASIFU UTENDAJI WAKE
Moja ya jengo jipya na la kisasa la Shule ya Sekondari ya Wasichana Jokate Girls iliyopo Kata ya Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani ambayo linavyoonekana.Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemen Jafo amefanya ziara ya kutembelea shule hiyo kwa ajili ya kukagua maendeleo ya ujenzi wake.
Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemen Jafo akizungumza jana baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya bweni ya...
11 years ago
Habarileo03 Jan
Wanakwaya Arusha walipuliwa kwa bomu
WANAKWAYA sita wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mt. Kalory Rwanga, Usa River, mkoani hapa, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni na ya Tengeru, Arumeru baada ya kujeruhiwa kwa bomu.