Wanakwaya Arusha walipuliwa kwa bomu
WANAKWAYA sita wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mt. Kalory Rwanga, Usa River, mkoani hapa, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni na ya Tengeru, Arumeru baada ya kujeruhiwa kwa bomu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Sheikh ajeruhiwa kwa bomu Arusha
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oto4-hHdKDFUwrJSDfUh84noeJA*8*G-VsKZlJsEAOwvzBxiArVZfL3c5aiNFcsE0nkqJngvZUdA9wsPJoYXa-ri7UgmWqlu/BOMU1001.jpg?width=650)
SHEIKH ALIPULIWA KWA BOMU ARUSHA
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Ustadhi ajeruhiwa kwa bomu Arusha
MILIPUKO inayodhaniwa kuwa mabomu imezidi kushamiri katika Jiji la Arusha, baada ya watu wawili kujeruhiwa na kilichodaiwa kuwa ni bomu la kutupa kwa mkono. Waliojeruhiwa ni Ustadhi Sudi Ali Suli,...
11 years ago
CloudsFM09 Jul
MMOJA WA MAJERUHI WA BOMU ARUSHA AKIMBIZWA NAIROBI,KENYA KWA MATIBABU ZAIDI
Jumatatu July 07 kwenye moja ya migahawa iliyopo eneo la Uzunguni Jijini Arusha,Watu wanane waliripotiwa kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu.
Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu amesema kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian Cusino uliopo jirani na viwanja vya Gymkhana jijini Arusha.
Pamoja na juhudi ambazo zimekuwa zikifanywa na Jeshi la Polisi...
11 years ago
GPL![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/04/polic.jpg?resize=435%2C339&width=600)
JESHI LA POLISI LIMETANGAZA ZAWADI YA TSH.MILION 10 KWA WEWE MWENYE TAARIFA ZA MHUSIKA WA BOMU ARUSHA
11 years ago
Michuzi04 Jul
NEWS ALERT: Msako mkali waanza Arusha baada ya Sheikh wa msikiti wa Qiblatan kujeruhiwa kwa bomu
Kutoka Arusha taarifa zinasema msako mkali unaendelea kufuatia shambulio la bomu la mkono alilotupiwa Sheikh wa msikiti wa Qiblatan Sood Ally Sood (37) uliopo eneo la Kilombero jijini Arusha wakati akila daku.Kwa mujibu wa taarifa hiyo imedaiwa kuwa Sheikh huyo amejeruhiwa sehemu mbalimbali ikiwemo miguu yake yote miwili sehemu za mapajani pamoja na Kifuani na kupoteza baadhi ya vidole vya miguu yote miwili.Mbali na Sheikh huyo pia kuna mtu mwingine aliyekuwa nyumbani kwake hapo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxUWhj8CVoaeuARzY7v3Md1pJwvTGXZNRhlXe*zgIFVDwXzbUbynDK6BAgshRLFNMjD5Bcl3XJCL5OHeEZbikzs*UGnlkMVI/WATOTO1.jpg?width=650)
WATOTO WAWILI WALIPULIWA KWA PETROLI
11 years ago
Uhuru Newspaper09 Jul
Bomu latikisa Arusha
Lalipuka mgahawani, wanane wajeruhiwa Watuhumiwa wawili mbaroni, 25 wasakwa Kamati ya usalama ya mkoa yalaumiwa
WAANDISHI WETU, ARUSHA NA DAR
WATU wanane wakiwemo wanne wa familia moja wenye asili ya kiasia, wamelipukiwa na bomu na kujeruhiwa vibaya wakati wakila chakula cha jioni katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cusine uliopo mtaa wa Uzungunni mjini Arusha.
Tukio hilo ambalo ni la sita kutokea jijini Arusha, lilitokea juzi, saa 4.30 usiku, katika mgawaha huo uliopo jirani na...
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
Ustadhi ajeruhiwa na bomu Arusha
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas.
Na Mwandishi wetu
Mlipuko inayodhaniwa kuwa mabomu imezidi kushamiri katika Jiji la Arusha, baada ya watu wawili kujeruhiwa na kilichodaiwa kuwa ni bomu la kutupa kwa mkono.
Waliojeruhiwa ni Ustadhi Sudi Ali Suli, pamoja na mgeni wake aliyetambulika kwa jina la Mhaji Hussein kutoka jijini Nairobi, Kenya.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alisema kuwa tukio la mlipuko...