MMOJA WA MAJERUHI WA BOMU ARUSHA AKIMBIZWA NAIROBI,KENYA KWA MATIBABU ZAIDI
Jumatatu July 07 kwenye moja ya migahawa iliyopo eneo la Uzunguni Jijini Arusha,Watu wanane waliripotiwa kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu.
Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu amesema kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian Cusino uliopo jirani na viwanja vya Gymkhana jijini Arusha.
Pamoja na juhudi ambazo zimekuwa zikifanywa na Jeshi la Polisi...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Jul
Majeruhi wa bomu la Arusha wachunguzwa
MAJERUHI wa bomu lililolipuliwa katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine jijini Arusha juzi, wanachunguzwa na Jeshi la Polisi na Idara ya Uhamiaji.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRatrubLAYWPsBV7wD6Y6*eiUp9BJvnGHCe8dFvJl01mdGR1MbavIldD33pNZqHUDKHFRUUvpmrl36ABl*T6oUtb/1majeruhiiii.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MAJERUHI WA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA WAKIWA HOSPITALI YA SELIAN
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BOMU LALIPUKA BAR, LAJERUHI ZAIDI YA 10 ARUSHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQLpMoBxJ42qmG*hlyzGxRhKh3c0p3dUd80rlGqQ2CH6jEwtQhs199f5En1fOdMbTFr-yeLCxzvlnx9l-rrT1jvP/babasatrin.jpg?width=550)
MTOTO ALIYEJERUHIWA KATIKA SHAMBULIO KANISANI AFIKISHWA NAIROBI KWA MATIBABU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q1FuZ6uQ5Z1Uoq8z546pbcSOkJBJJH3ztW4kE8Y3fRNucZ74avpGk*rJ8PVm4hJcmboj0YmBeO*Vry0TmgjZN84/ndoa.jpg)
WANAUME HURU KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA NCHINI KENYA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhPh-i6jd38FOGD2Sb1bWMbUTyNBDpyF2RNuABuOxQYq9Xqih0XgPciQuZadmNUwcxcM1Jmb0PxGQXWyuI5vzWaN/BOMUMWANZA1.jpg)
MAJERUHI WA BOMU LILILOLIPUKA KANISANI JIJINI MWANZA
11 years ago
Bongo505 Jul
Jina la mmoja wa watangazaji maarufu zaidi Kenya ‘Mbusi’ lilitokana na wimbo ‘Anita’ wa Matonya
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Ustadhi ajeruhiwa kwa bomu Arusha
MILIPUKO inayodhaniwa kuwa mabomu imezidi kushamiri katika Jiji la Arusha, baada ya watu wawili kujeruhiwa na kilichodaiwa kuwa ni bomu la kutupa kwa mkono. Waliojeruhiwa ni Ustadhi Sudi Ali Suli,...
11 years ago
Habarileo03 Jan
Wanakwaya Arusha walipuliwa kwa bomu
WANAKWAYA sita wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mt. Kalory Rwanga, Usa River, mkoani hapa, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni na ya Tengeru, Arumeru baada ya kujeruhiwa kwa bomu.