Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jina la mmoja wa watangazaji maarufu zaidi Kenya ‘Mbusi’ lilitokana na wimbo ‘Anita’ wa Matonya

Jina la mtangazaji maarufu wa Radio Jambo ya Kenya ambaye zamani alikuwa mtangazaji wa redio inayotumia Sheng, Ghetto Radio lilitokana na wimbo wa mwaka 2008 wa Matonya ‘Anita’ aliomshirikisha Lady Jaydee. Akiongea kwenye mahojiano na kituo cha runinga cha KTN mwaka jana, Mbusi ambaye jina lake halisi ni Githinji Mwangi, alisema wimbo huo uligusa yaliyomtokea […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Nguvu ya media: Jina la mtoto wa Kanye na Kim lilitokana na uvumi wa vyombo vya habari

Nguvu ya vyombo vya habari ndio iliyowapelekea Kim Kardashian na Kanye West kupata jina la binti yao sababu wanandoa hao hawakubuni jina la ‘North’. Rapper Kanye West na mke wake Kim Kardashian mwaka jana waliwashangaza watu wengi kwa kuamua kumpa mtoto wao wa kike jina la ‘North’, ambalo kidogo lilionekana kuwa tofauti. Lakini haikuwahi kufahamika […]

 

11 years ago

GPL

WANAUME HURU KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA NCHINI KENYA

SHERIA inayoruhusu wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja, imepitishwa nchini Kenya.
Rais Uhuru Kenyatta ametia saini sheria hiyo licha ya malalamiko kutoka kwa vikundi vya wanawake nchini humo. Taarifa kutoka katika ofisi ya Rais ilisema kuwa mswada huo ambao unajumuisha vipengee kadhaa kuhusu ndoa , imekuwa sheria sasa. Mswada huo ulioleta mageuzi katika sheria ya sasa , ulipitishwa na bunge mwezi jana kuidhinisha rasmi utamaduni wa...

 

11 years ago

CloudsFM

MMOJA WA MAJERUHI WA BOMU ARUSHA AKIMBIZWA NAIROBI,KENYA KWA MATIBABU ZAIDI

Jumatatu July 07 kwenye moja ya migahawa iliyopo eneo la Uzunguni Jijini Arusha,Watu wanane waliripotiwa kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu.
Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu amesema kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian Cusino uliopo jirani na viwanja vya Gymkhana jijini Arusha.

Pamoja na juhudi ambazo zimekuwa zikifanywa na Jeshi la Polisi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wimbo maarufu 'happy birthday' huru

Mgogoro wa mamilioni ya fedha kuhusiana na haki miliki ya wimbo maarufu duniani 'happy birthday' umetatuliwa kabla ya hukumu .

 

9 years ago

Bongo5

Bob Junior ataja jina la wimbo aliomshirikisha Diamond

Bob Junior Sharobaro

Muimbaji na mtayarishaji wa muziki wa Sharobaro Records, Bob Junior amesema tayari kolabo yake na Diamond imekamilika.

Bob Junior Sharobaro

Ameutaja wimbo huo kuwa unaitwa ‘I Am Praying for You.

Bob ameiambia Bongo5 kuwa kazi hiyo imechukua muda mrefu kukamilika kutokana na wawili hao kuwa busy.

“Naomba Mungu kazi itoke mwaka huu kwa sababu itakavyozidi kuchelewa itakuwa ni issue nyingine. Kazi imekamilika kwa kiasi chake ndio maana nasema itatoka mwaka huu,” amesema.

Bob Junior pia amewataka mashabiki wake...

 

9 years ago

Bongo5

Baghdad kuachia wimbo mpya wenye sauti za watu maarufu/mashuhuri 70 Ijumaa hii!

baghdad

Rapper Baghdad anaachia wimbo mpya Ijumaa hii, wimbo ambao mwenywe anasema utavunja rekodi kutokana na kutumia sauti za watu maarufu/mashuhuri 70.

baghdad

Katika wimbo huo unaoitwa ‘Unaakili wewe?” kamshirikisha Roma.

Kupitia Instagram Baghdad ambaye ameoa hivi karibuni na kupata mtoto wa kwanza, ameandika:

“Wimbo mpya wa baghdad na Roma unatoka tarehe….4th december Ijumaa!! Wimbo huo umevunja rekodi, kwakuwa wimbo uliohusisha watu maarufu/mashuhuri zaidi ya 50! Ndani ya wimbo huo utawasikia watu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani