Nguvu ya media: Jina la mtoto wa Kanye na Kim lilitokana na uvumi wa vyombo vya habari
Nguvu ya vyombo vya habari ndio iliyowapelekea Kim Kardashian na Kanye West kupata jina la binti yao sababu wanandoa hao hawakubuni jina la ‘North’. Rapper Kanye West na mke wake Kim Kardashian mwaka jana waliwashangaza watu wengi kwa kuamua kumpa mtoto wao wa kike jina la ‘North’, ambalo kidogo lilionekana kuwa tofauti. Lakini haikuwahi kufahamika […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo508 Dec
Kanye West na Kim Kardashian watoa jina la mtoto wao wa kiume
![kanye and kim](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kanye-and-kim-300x194.jpg)
Baada ya ubashiri wa watu wengi juu ya jina atakalopewa mtoto wa pili wa mastaa Kanye West na mkewe Kim Kardashian West, hatimaye wazazi wake wametoa jina.
Mtoto wao wa kiume aliyezaliwa siku ya Jumamosi asubuhi wamemuita ‘SAINT WEST’, unalionaje?
Kim K ameshare na ulimwengu jina la baby brother wa North West kupitia website yake kwa kuandika, “To our fans. Saint West. 12.05.15. 8 pounds, 1 ounce.” Na kwenye page yake ya Instagram alipost emoji za watu wanne, baba, mama, na watoto wawili...
9 years ago
Bongo507 Dec
Hili linaweza kuwa jina atakalopewa mtoto wa kiume wa Kanye West na Kim Kardashian
![Grand Opening of RYU Restaurant - Inside](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/042412-fashion-beauty-kim-kardashian-kanye-west-3-300x194.jpg)
Kanye West na Kim Kardashian wamejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyomalizika japo jina la mtoto bado halijafamika.
Hata hivyo kuna tetesi kuwa mtoto huyo ataitwa Robert, jina la baba yake Kim Kardashian ambaye ni marehemu kwa sasa.
Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center ya Los Angeles kwenye wodi ya uzazi yenye gharama ya $4,000.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
9 years ago
Bongo501 Dec
Kanye West na Kim Kardashian bado wanahaha kutafuta jina la mtoto wao ajaye
![1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom-300x194.jpg)
Muda wa kumpokea mtoto wa pili umekaribia lakini Kim Kardashian na Kanye West wanadaiwa hadi sasa hawajapata jina la kumpa.
Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa wanandoa hao wamekuwa wakijadiliana majina ya kumpa lakini bado hawajapenda hata moja.
Wanatarajia kupata mtoto wa kiume siku ya Christmas japo Kim anahofia kuwa anaweza kujifungua mapema zaidi. Kanye na Kim wana mtoto wa kike, North.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...
9 years ago
Bongo501 Oct
Kim Kardashian ataja jina alilomchagulia mtoto anayetarajia kujifungua, japo hana uhakika kama Kanye atalipenda
5 years ago
BBCSwahili02 May
Kim Jong-un aonekana hadharani, vyombo vya habari vya Korea Kaskazini vimeripoti
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Nguvu ya vyombo vya habari ienee vijijini
HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru, Absalom Kibanda, Samson Mwigamba na Theophil Makunga dhidi ya tuhuma za uchochezi zilizokuwa zikiwakabili. Hii ilikuwa kesi ya aina yake ambayo Jeshi...
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
10 years ago
MichuziMAHAKAMA YA TANZANIA YAKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI (JUDICIAR MEDIA FORUM) KUJADILI JUU YA MISINGI BORA YA UPASHANAJI HABARI KATIKA UTENDAJI BAINA YA TAASISI HIZO MBILI