Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAUME HURU KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA NCHINI KENYA

SHERIA inayoruhusu wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja, imepitishwa nchini Kenya.
Rais Uhuru Kenyatta ametia saini sheria hiyo licha ya malalamiko kutoka kwa vikundi vya wanawake nchini humo. Taarifa kutoka katika ofisi ya Rais ilisema kuwa mswada huo ambao unajumuisha vipengee kadhaa kuhusu ndoa , imekuwa sheria sasa. Mswada huo ulioleta mageuzi katika sheria ya sasa , ulipitishwa na bunge mwezi jana kuidhinisha rasmi utamaduni wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kenya:Wanaume huru kuoa wake wengi

Rais Uhuru Kenyatta ametia saini Sheria inayoruhusu wanaume kuoa wake zaidi ya mmoja bila ya kumuomba idhini mke wa kwanza

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KISHERIA ALIYEFUNGA NDOA YA MKE MMOJA HAWEZI KUOA MKE WA PILI


Na Bashir YAkub
Sura  ya  29  Sheria  ya ndoa  imeeleza  mambo  mengi . Baadhi  yanajulikana  na  baadhi  hayajulikani.  Wakati  mwingine  hata  baadhi  ya yanayojulikana   haijulikani  kama  yameruhusiwa  na  sheria  au  yanafanyika  kimazoea.  Na  hapa  ndipo  inapoibukia  migogoro mingi  ambayo  tunayoshuhudia  mahakamani  na  hata nje  ya  mahakama. Aidha  sheria  hii  imebeba  mambo  mengi  ya  talaka, matunzo  ya  watoto  na  mwanamke, jinai  za  unyanyasaji  wa  kijinsia, ndoa  haramu ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume zaidi ya mmoja hulipia ngono UK

Zaidi ya mwanaume mmoja kati ya 10 wanaelezwa kulipia vitendo vya ngono, utafiti kuhusu tabia za ngono nchini Uingereza.

 

10 years ago

Michuzi

JE WAJUA MGAWANYO WA MALI NDOA YA MKE ZAIDI YA MMOJA INAPOVUNJIKA?.

Na Bashir Yakub.
Kipindi cha nyuma wakati nikieleza masuala ya sheria za ndoa niliwahi kueleza utaratibu wa mgawanyo wa mali iwapo ndoa inavunjika. Kimsingi nilieleza mgawanyo wa mali katika msingi wa uwepo wa ndoa ya mke mmoja. Sikuwahi kueleza mgawanyo wa mali iwapo ndoa ni ya mke zaidi ya mmoja. Wengi waliuliza swali hili ambapo baadhi niliwajibu na baadhi sikuwajibu. Leo sasa nitaeleza mgawanyo wa mali ...

 

11 years ago

CloudsFM

MMOJA WA MAJERUHI WA BOMU ARUSHA AKIMBIZWA NAIROBI,KENYA KWA MATIBABU ZAIDI

Jumatatu July 07 kwenye moja ya migahawa iliyopo eneo la Uzunguni Jijini Arusha,Watu wanane waliripotiwa kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu.
Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu amesema kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian Cusino uliopo jirani na viwanja vya Gymkhana jijini Arusha.

Pamoja na juhudi ambazo zimekuwa zikifanywa na Jeshi la Polisi...

 

11 years ago

Bongo5

Jina la mmoja wa watangazaji maarufu zaidi Kenya ‘Mbusi’ lilitokana na wimbo ‘Anita’ wa Matonya

Jina la mtangazaji maarufu wa Radio Jambo ya Kenya ambaye zamani alikuwa mtangazaji wa redio inayotumia Sheng, Ghetto Radio lilitokana na wimbo wa mwaka 2008 wa Matonya ‘Anita’ aliomshirikisha Lady Jaydee. Akiongea kwenye mahojiano na kituo cha runinga cha KTN mwaka jana, Mbusi ambaye jina lake halisi ni Githinji Mwangi, alisema wimbo huo uligusa yaliyomtokea […]

 

10 years ago

Mwananchi

Ajiua kupinga kuoa mke asiyemtaka

Mkazi wa Kijiji cha Duga Horohoro Tanga, Mbito Dilima amejiua kwa kujinyoga akitumia chandarua na kuacha ujumbe kuwa, sababu ya uamuzi huo ni kulazimishwa kuoa mwanamke asiye chaguo lake.

 

10 years ago

GPL

JUSTIN BIEBER SASA ATAKA MKE WA KUOA

Staa wa muziki wa Pop nchini marekani, Justin Bieber. New York,Marekani
UNAWEZA kusema sasa Justin Bieber amekuwa hii ni baada ya kutamka wazi kuwa anahitaji mwanamke ambaye anajiamini na mwaminifu ili aweza kuishi naye katika maisha yake baadaye. Justin Bieber akiwa na rafiki yake Jayde Pierce.
Hii ni kutokana na star huyo kuwa karibu na mwamitindo Jayde Pierce (19)  ambaye hivi karibuni  wamekuwa wakiongozana...

 

9 years ago

Bongo5

Sijapata mke mwema wa kuoa — Dully Sykes

Dully Sykes - Kwani wewe ni nani

Dully Sykes amesema licha ya kutembea na wanawake wengi, mpaka sasa bado hajapata mke mwema wa kumuoa.

Dully Sykes - Kwani wewe ni nani

Muimbaji huyo mwenye watoto wanne, amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa akipata mke mwema ataoa.

“Sijapata mke, unajua mke si girlfriend material na kuna wife material,” alisema. “Sijali Mungu hajaniletea mke na ukifa bila mke si dhambi kwa sababu hakukuletea alitaka ufe bila kuoa. Wife material akiona watu hawezi kushangaa shangaa. Mke anajua kesho unaingia kazini saa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani