Kenya:Wanaume huru kuoa wake wengi
Rais Uhuru Kenyatta ametia saini Sheria inayoruhusu wanaume kuoa wake zaidi ya mmoja bila ya kumuomba idhini mke wa kwanza
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q1FuZ6uQ5Z1Uoq8z546pbcSOkJBJJH3ztW4kE8Y3fRNucZ74avpGk*rJ8PVm4hJcmboj0YmBeO*Vry0TmgjZN84/ndoa.jpg)
WANAUME HURU KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA NCHINI KENYA
10 years ago
Habarileo26 Aug
Museveni apinga kuoa wake wengi
RAIS Yoweri Museveni ameshauri wanaume kuachana na mfumo wa kuuoa wanawake wengi, kwa maelezo kuwa suala hilo linavuruga umoja ndani ya familia na linachangia kuwepo kwa matumizi mabaya ya rasilimali za familia.
10 years ago
Dewji Blog30 Aug
Wanaume wengi waoga kusindikiza wake zao Kliniki — TMEP
Meneja mawasiliano wa mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia unaofadhiliwana shirika lisilo la kiserikali la nchini Sweden (Sweden association for sexual education-RFSU), Eugenia Msasanun akifuatilia uendeshaji wa mafunzo kwa waandishi wa habari 35 wa mikoa ya Singida na Rukwa yaliyomalizika jana mjini Iringa.
Na Nathaniel Limu, Iringa
WANAUME nchini wameshauriwa kuondokana na mawazo potofu kwamba kliniki ni kwa ajili ya wanawake pekee, badala yake...
10 years ago
Vijimambo20 Jun
HABARI NDIYO HII BAADA YA WANAUME KUONEWA NA WAKE ZAO HUKO NYERI KENYA WAPATA SULUWISHO
IMG_3210 from NY Ebra on Vimeo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jxGOXV18_ag/Uy2dDGiodxI/AAAAAAAFVnM/DZQ1smKCYtA/s72-c/Dn_Parliament_2803.JPG.jpg)
bunge la kenya laridhia ndoa ya wake wengi, mwanaume halazimiki kushauriana na mkewe kuwa anaoa tena
![](http://1.bp.blogspot.com/-jxGOXV18_ag/Uy2dDGiodxI/AAAAAAAFVnM/DZQ1smKCYtA/s1600/Dn_Parliament_2803.JPG.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Wanaume huru kujisaidia wakiwa wamesimama
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod3bC2fn6k9qxwQAHFQoglpGx6jhqqJIYas6WE82hBIqGkTK9jZDbPkkiff9TmIKuagshvXEctuz8QS22zIz0-VU/44.jpg?width=650)
MZEE MAJUTO AFUNGUKA KUOA MJUKUU WAKE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJMuRjuPI0tcjVAY1Gg26QZ7UInh2nyUEW2RvIwMSKHwa0ITF8tK0I3otSx7JLOj0y*Ol4mItQVJP*KE*Rv8AHHc/jokate.jpg)
JOKATE ATAJA SABABU ZA KUWA KARIBU NA WANAUME WENGI