Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya:Wanaume huru kuoa wake wengi

Rais Uhuru Kenyatta ametia saini Sheria inayoruhusu wanaume kuoa wake zaidi ya mmoja bila ya kumuomba idhini mke wa kwanza

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WANAUME HURU KUOA MKE ZAIDI YA MMOJA NCHINI KENYA

SHERIA inayoruhusu wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja, imepitishwa nchini Kenya.
Rais Uhuru Kenyatta ametia saini sheria hiyo licha ya malalamiko kutoka kwa vikundi vya wanawake nchini humo. Taarifa kutoka katika ofisi ya Rais ilisema kuwa mswada huo ambao unajumuisha vipengee kadhaa kuhusu ndoa , imekuwa sheria sasa. Mswada huo ulioleta mageuzi katika sheria ya sasa , ulipitishwa na bunge mwezi jana kuidhinisha rasmi utamaduni wa...

 

10 years ago

Habarileo

Museveni apinga kuoa wake wengi

RAIS Yoweri Museveni ameshauri wanaume kuachana na mfumo wa kuuoa wanawake wengi, kwa maelezo kuwa suala hilo linavuruga umoja ndani ya familia na linachangia kuwepo kwa matumizi mabaya ya rasilimali za familia.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanaume wengi waoga kusindikiza wake zao Kliniki — TMEP

DSC00592

Meneja mawasiliano wa mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia unaofadhiliwana shirika lisilo la kiserikali la nchini Sweden (Sweden association for sexual education-RFSU), Eugenia Msasanun akifuatilia uendeshaji wa mafunzo kwa waandishi wa habari 35 wa mikoa ya Singida na Rukwa yaliyomalizika jana mjini Iringa.

Na Nathaniel Limu, Iringa

WANAUME nchini wameshauriwa kuondokana na mawazo potofu kwamba kliniki ni kwa ajili ya wanawake pekee, badala yake...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Michuzi

bunge la kenya laridhia ndoa ya wake wengi, mwanaume halazimiki kushauriana na mkewe kuwa anaoa tena

Bunge nchini  Kenya limepitisha sheria inayomruhusu mwanaume kuoa wake wengi atakavyo, na halazimiki kumshauri mke wake juu ya uamuzi huo.

Katika marekebisho ya Sheria ya Ndoa ya Kenya yaliyopitishwa Alhamisi iliyopita, hata hivyo ndoa zote zitatakiwa kusajiliwa na umri wa chini  wa mwanamke kuweza kuolewa umewekwa ili kuzuia ndoa za mapema  za watoto, hasa wasichana.

Siku hiyo ya Alhamisi Wabunge wote wanaume, ambao ni wengi, waliunga mkono kuondolewa kwa kipengele katika Sheria hiyo ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi


Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume huru kujisaidia wakiwa wamesimama

Mahakama moja nchini Ujerumani imempa idhini mwanamaume mmoja kujisaidia haja ndogo akiwa amesimama baada ya mwenye nyumba kutaka alipwe akidai kuwa sakafu ya bafu lake iliharibiwa na mkojo wa mpangaji wake.

 

10 years ago

GPL

MZEE MAJUTO AFUNGUKA KUOA MJUKUU WAKE!

Mayasa Mariwata
Vunja ukimya! Komediani namba moja Bongo, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amegeuka mbogo baada kuulizwa juu ya madai ya kuoa binti mdogo ambaye ni sawa na mjukuu wake mwenye umri wa miaka 18 akidai kuwa sheria ya dini inamruhusu kufunga ndoa wa wake wanne.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda ambalo ndilo lililokuwa la kwanza kuripoti ishu hiyo, Mzee Majuto ambaye awali alionesha kuwa na jazba alifunguka:
...

 

10 years ago

GPL

JOKATE ATAJA SABABU ZA KUWA KARIBU NA WANAUME WENGI

Stori: Imelda Mtema
MWANAMITINDO na mtangazaji kiwango Bongo, Jokate Mwegelo amefunguka kuwa sababu kubwa inayomfanya awe karibu zaidi na wanaume ni marafiki zake wa kike kuwa nje ya nchi. Mwanamitindo na mtangazaji kiwango Bongo, Jokate Mwegelo. Akizungumza na mwanahabari wetu, Jokate alisema amekuwa akipata malalamiko kutoka kwa watu wengi kuwa kampani yake kubwa ni wanaume hadi wengine kumuona ni malaya wakati si kweli....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani