Museveni apinga kuoa wake wengi
RAIS Yoweri Museveni ameshauri wanaume kuachana na mfumo wa kuuoa wanawake wengi, kwa maelezo kuwa suala hilo linavuruga umoja ndani ya familia na linachangia kuwepo kwa matumizi mabaya ya rasilimali za familia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Kenya:Wanaume huru kuoa wake wengi
9 years ago
Habarileo05 Nov
Apinga ushindi wa mdogo wake
MGOMBEA udiwani kata mpya ya Kanda wilaya ya Sumbawanga Vijijini mkoa wa Rukwa, Ozem Chapita (Chadema) amepinga matokeo yaliyompatia ushindi mdogo wake Yowtai Meshack (CCM) kwa tofauti ya kura moja. Katika matokeo ya uchaguzi huo yalimtangaza Meshack (CCM) kuwa mshindi wa udiwani kata ya Kanda.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod3bC2fn6k9qxwQAHFQoglpGx6jhqqJIYas6WE82hBIqGkTK9jZDbPkkiff9TmIKuagshvXEctuz8QS22zIz0-VU/44.jpg?width=650)
MZEE MAJUTO AFUNGUKA KUOA MJUKUU WAKE!
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Kuoa wake wanne sawa, lakini mpe mkeo haki yake!
Asalam alaikum wapenzi wasomaji wangu wote ambao mmekuwa pamoja katika mada zangu ninazotoa kila wiki, kwa wale wagonjwa poleni sana.
Leo nimeamua kuja na mada hii kwa sababu nimepata malalamiko kutoka kwa msomaji wangu aliyeamua kunywa sumu baada ya kuona mume wake ameoa bila kumwambia na kusubiri kuambiwa na jirani yake aliyempelekea umbeya.
Hivi wanaume mnadhani ni sahihi kuoa bila kuwaandaa wake zenu? Je, dini inasemaje katika suala hili, hakika kama wewe ni muumini wa dini inayoruhusu...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Umeipata ya baba kuoa mpenzi wa mtoto wake? Imedakwa na ‘Hekaheka’ ya leo.. (+Audio)
Team nzima ya Leo Tena huwa inasogeza matukio mbalimbali ambayo yanatokea kwenye maisha ya mtaani ya kila siku kupitia ‘Hekaheka‘.. kona ya Hekaheka imekuja na stori ya kijana mmoja kutoka Moshi ambapo kijana huyo amekuta baba yake ameoa mchumba wake !! Jamaa huyo anasimulia kwamba alimtambulisha mpenzi wake kwa ndugu zake pamoja na baba yake, […]
The post Umeipata ya baba kuoa mpenzi wa mtoto wake? Imedakwa na ‘Hekaheka’ ya leo.. (+Audio) appeared first on...
10 years ago
CloudsFM18 Feb
Mzee Yusuph kuoa tena mke wa watatu,Wake zake watupiana vijembe mtandaoni
Mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia ni mkurugenzi wa kundi la Jahazi Modern Taarabu,Mzee Yusuph anatarajia kuoa tena mke wa tatu hivi karibuni huku wake zake wawili wakiwa kwenye bifu zito wakitupiana vijembe mtandaoni.
Akipiga stori na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa anatarajia kuoa mke huyo ambaye anaishi huko visiwani Pemba,na kwamba mipango ikiwa tayari kila kitu kitakuwa hadharani.
Hivi karibuni wake zake wawili ambao ni Malkia Leila Rashid ambaye pia ni mwimbaji...
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Wengi wanajua uwepo wake, wachache wanaielewa
“HAKIMILIKI ya kimila ya ardhi? Hapana bwana mwandishi, sijasikia kitu kama hicho”.
Johnson Mbwambo
10 years ago
Mwananchi01 Mar
MZEE YUSUPH: Nasikia raha kuwa na wake wengi
10 years ago
Bongo Movies06 Jul
Wake Up Filamu ya Kwanza Bongo Kuchezwa na Mastaa Wengi
TASNIA ya filamu imezidi kukua na kusonga mbele kila siku, thamani ya wasanii wanalipwa fedha nyingi kwa kushiriki filamu moja jambo linalomfanya mtayarishaji kutumia wasanii wachache kwa filamu yake lake katika sinema ya WAKE UP imevunja rekodi kuwashirikisha nyota wengi.
Akiongea na waandishi wa Habari mtayarishaji wa filamu hiyo Manaiki Sanga amesema kuwa sinema hiyo ilikuwa na kazi kubwa kwani hata kama mwigizaji angetaka kuigiza bure shughuli ilikuwa kuwahudumia mahitaji yao kwani ni...