Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuoa wake wanne sawa, lakini mpe mkeo haki yake!

15_forgotten_habits_of_happy_couples_01Asalam alaikum wapenzi wasomaji wangu wote ambao mmekuwa pamoja katika mada zangu ninazotoa kila wiki, kwa wale wagonjwa poleni sana.

Leo nimeamua kuja na mada hii kwa sababu nimepata malalamiko kutoka kwa msomaji wangu aliyeamua kunywa sumu baada ya kuona mume wake ameoa bila kumwambia na kusubiri kuambiwa na jirani yake aliyempelekea umbeya.

Hivi wanaume mnadhani ni sahihi kuoa bila kuwaandaa wake zenu? Je, dini inasemaje katika suala hili, hakika kama wewe ni muumini wa dini inayoruhusu...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Haki haikutendeka Dodoma, sawa, lakini ni wapi, lini, ilitendeka?

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekamilisha mchakato wake wa kumtafuta mwanachama atakayekiwakilisha

Jenerali Ulimwengu

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Tanzania imedhamiria kutekeleza dira yake ya haki sawa kwa wote

Kaimu Mkurugenzi, Kurugenzi ya Usimamizi na Uendeshaji wa Mashauri kutoka Mahakama ya Tanzania Bw. John Kahyoza akiwaeleza waandishi wa (hawapo pichani) mikakati iliyoweka iliyowekwa na Mahakama ya Tanzania ili kutekeleza dira yake ya haki sawa kwa wote na kwa wakati kwa vitendo, kwa kuhakikisha inapunguza muda wa mashauri kukaa mahakamani, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari wa Mahakama ya Tanzania Bi. Mary Gwera. Picha na Hassan...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katika hili JK sawa, lakini…

NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kujadili na kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu ya michezo. Bila shaka mu wazima...

 

9 years ago

GPL

PUNDA WA MKEO MPIGE APIGIKE, NDIYO STAREHE YAKE

Mu hali gani mabibi na mabwana kwa kukutana siku ya leo, najua sasa hivi mpo kwenye kimuhemuhe cha uchaguzi, mpaka uishe kuna wasiwasi wa ndoa nyingi kuvunjika pale unapokuwa tofauti kati ya mume na mke kushabikia vyama tofauti. Leo yangu si hayo, yaliyonichosha rohoni na kunikosesha raha ni tabia za baadhi ya akina baba kuwageuza wake zao kama dada zao na mahawara ndiyo wake zao. Nikisema hivi ni maana gani? Kuna wanaume wengine...

 

9 years ago

Global Publishers

Mapenzi ya mdomo sawa, lakini unajua kansa ya koo?

f79776428c810d2e492c35bf2e5b8b37MAPENZI kwa njia ya mdomo yamekuwa yakizidi kuongezeka siku hadi siku na kwa kasi kubwa hasa miongoni mwa vijana.

Mapenzi haya au kwa lugha nyingine ngono ya kinywa (oral sex) ni ile tabia ya wahusika kunyonyana ndimi na sehemu nyingine nyeti. Wengi wanaamini ni uhodari wa kisasa wakati huu wa sayansi na teknolojia.

Lakini pamoja na wengi kuitumia njia hii kukamilisha furaha yao ya mapenzi, tabia hii huchangia wahusika kupata magonjwa mbalimbali, hususan ugonjwa mbaya wa kansa ya koo.

sexKUNDI...

 

11 years ago

GPL

MPE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA!

Nawatakia heri ndugu zangu Waislam popote duniani ambao mpo katika funga ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Mwenyezi Mungu awajalie, maana mnatimiza moja ya nguzo muhimu katika imani na Inshallah Mola awafanyie wepesi muweze kutekeleza vyema. Sasa turejee katika mada yetu ambayo naamini itawafumbua wengi. Watu wote wana umuhimu wa kuingia kwenye ndoa lakini kuna tofauti kidogo, kwamba mwanamke anasubiri kufuatwa na mwanaume, wakati...

 

11 years ago

GPL

SHANGINGI MSTAAFU: JAMANI EEH, KUTAFUTA SAWA LAKINI KAZI NA DAWA

NINA imani kwa uwezo wa Manani wote ni wazima, binafsi namshukuru Karima. Waswahili wana msemo wao usemao maneno mengi hayajengi  bali vitendo ndivyo vinavyojenga.
Kwa maana hiyo leo sitaki kusema maneno mengi bila ya kuwapa watu kile kitu roho inapenda.
Jamani leo nawazungumzia wanaume ambao siku zote wanakuwa bize katika kutafuta maisha  na kushindwa hata kukaa na familia zao kubadilishana fikra na mitazamo mbalimbali....

 

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Muungano huu sawa, lakini ujibu maswali 7 ya Jaji Warioba

>Tangu aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akabidhi Rasimu ya Pili ya Katiba, kumekuwa na chokochoko, visa, matusi na  kejeli   kwa wajumbe wenzake hasa kwa sababu rasimu hiyo imependekeza muundo wa muungano wa Serikali tatu.

 

11 years ago

GPL

MPE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA! – 2

KUNA wasichana wengi sana wanatamani kuingia kwenye ndoa. Kila siku wanalia. Wanaingia kwenye uhusiano na wanaume na baada ya muda mfupi wanashangaa wanaachwa!Tatizo ni nini? Wanajiuliza lakini majibu hawapati, wanabaki na tamaa mioyoni mwao. Ndoto inaendelea kuwa ndoto ambayo haitimii siku zote. Hiyo ndiyo sababu iliyonifanya niandike mada hii.Je, wewe msichana mwenye ndoto ya kuolewa, unampa sababu mwanaume wako akuoe? Ndugu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani