Kuoa wake wanne sawa, lakini mpe mkeo haki yake!
Asalam alaikum wapenzi wasomaji wangu wote ambao mmekuwa pamoja katika mada zangu ninazotoa kila wiki, kwa wale wagonjwa poleni sana.
Leo nimeamua kuja na mada hii kwa sababu nimepata malalamiko kutoka kwa msomaji wangu aliyeamua kunywa sumu baada ya kuona mume wake ameoa bila kumwambia na kusubiri kuambiwa na jirani yake aliyempelekea umbeya.
Hivi wanaume mnadhani ni sahihi kuoa bila kuwaandaa wake zenu? Je, dini inasemaje katika suala hili, hakika kama wewe ni muumini wa dini inayoruhusu...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Haki haikutendeka Dodoma, sawa, lakini ni wapi, lini, ilitendeka?
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekamilisha mchakato wake wa kumtafuta mwanachama atakayekiwakilisha
Jenerali Ulimwengu
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tTDKyFtO_2g/VEfC-jRQ2CI/AAAAAAAGsr4/oh1_ja72e6Q/s72-c/unnamed%2B(88).jpg)
Mahakama ya Tanzania imedhamiria kutekeleza dira yake ya haki sawa kwa wote
![](http://1.bp.blogspot.com/-tTDKyFtO_2g/VEfC-jRQ2CI/AAAAAAAGsr4/oh1_ja72e6Q/s1600/unnamed%2B(88).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Katika hili JK sawa, lakini…
NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kujadili na kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu ya michezo. Bila shaka mu wazima...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*67Uoec4vv31wMfK4CUTm5AU3WQNuMr*u8IP13psbhsZWTRvkxfIBhbugSFa*sMSgumspTbCFdLRApUnIwyDSfttD8-ojkkD/julianadidone3.jpg)
PUNDA WA MKEO MPIGE APIGIKE, NDIYO STAREHE YAKE
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Mapenzi ya mdomo sawa, lakini unajua kansa ya koo?
MAPENZI kwa njia ya mdomo yamekuwa yakizidi kuongezeka siku hadi siku na kwa kasi kubwa hasa miongoni mwa vijana.
Mapenzi haya au kwa lugha nyingine ngono ya kinywa (oral sex) ni ile tabia ya wahusika kunyonyana ndimi na sehemu nyingine nyeti. Wengi wanaamini ni uhodari wa kisasa wakati huu wa sayansi na teknolojia.
Lakini pamoja na wengi kuitumia njia hii kukamilisha furaha yao ya mapenzi, tabia hii huchangia wahusika kupata magonjwa mbalimbali, hususan ugonjwa mbaya wa kansa ya koo.
KUNDI...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akRsClMUlkc1stKwPN2sal25ZOBfh5jjn*U4YRzJCU2DhLqQLQ4xg5rREMDdl8PWhvtPW6w-*N*T-exZfqSoT-jz/mahaba.jpg)
MPE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDMmLd4p6nrr5NVmjeAVkW4KYfUPDk3Q3OUOTPVjsDs-5YP1UsjDheTA*VtIc5wlbdpC9hQ8uQGdGcxUe0olUZF2/nosexcouple.jpg?width=550)
SHANGINGI MSTAAFU: JAMANI EEH, KUTAFUTA SAWA LAKINI KAZI NA DAWA
11 years ago
Mwananchi30 Apr
DIRA: Muungano huu sawa, lakini ujibu maswali 7 ya Jaji Warioba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxepALQnbZO*I7Pw6f3UOSSS8APBebiJKhun2QwtyxQPyy460CfLu6KlkQHj-pywA0NgXB5jGnreHLxaPwh8MD3qi/mahaba.jpg?width=650)
MPE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA! – 2