Katika hili JK sawa, lakini…
NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kujadili na kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu ya michezo. Bila shaka mu wazima...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Mapenzi ya mdomo sawa, lakini unajua kansa ya koo?
MAPENZI kwa njia ya mdomo yamekuwa yakizidi kuongezeka siku hadi siku na kwa kasi kubwa hasa miongoni mwa vijana.
Mapenzi haya au kwa lugha nyingine ngono ya kinywa (oral sex) ni ile tabia ya wahusika kunyonyana ndimi na sehemu nyingine nyeti. Wengi wanaamini ni uhodari wa kisasa wakati huu wa sayansi na teknolojia.
Lakini pamoja na wengi kuitumia njia hii kukamilisha furaha yao ya mapenzi, tabia hii huchangia wahusika kupata magonjwa mbalimbali, hususan ugonjwa mbaya wa kansa ya koo.
KUNDI...
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Haki haikutendeka Dodoma, sawa, lakini ni wapi, lini, ilitendeka?
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekamilisha mchakato wake wa kumtafuta mwanachama atakayekiwakilisha
Jenerali Ulimwengu
11 years ago
Mwananchi30 Apr
DIRA: Muungano huu sawa, lakini ujibu maswali 7 ya Jaji Warioba
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Kuoa wake wanne sawa, lakini mpe mkeo haki yake!
Asalam alaikum wapenzi wasomaji wangu wote ambao mmekuwa pamoja katika mada zangu ninazotoa kila wiki, kwa wale wagonjwa poleni sana.
Leo nimeamua kuja na mada hii kwa sababu nimepata malalamiko kutoka kwa msomaji wangu aliyeamua kunywa sumu baada ya kuona mume wake ameoa bila kumwambia na kusubiri kuambiwa na jirani yake aliyempelekea umbeya.
Hivi wanaume mnadhani ni sahihi kuoa bila kuwaandaa wake zenu? Je, dini inasemaje katika suala hili, hakika kama wewe ni muumini wa dini inayoruhusu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDMmLd4p6nrr5NVmjeAVkW4KYfUPDk3Q3OUOTPVjsDs-5YP1UsjDheTA*VtIc5wlbdpC9hQ8uQGdGcxUe0olUZF2/nosexcouple.jpg?width=550)
SHANGINGI MSTAAFU: JAMANI EEH, KUTAFUTA SAWA LAKINI KAZI NA DAWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuVgm29gHmcQJpuCUY04Z7cmtrwjM*xErSG*LV1fcr-IAIq*ba5kRD*BhAd-qdTNoqn*cjJTQwZvepdYm-SE49-3/mrembo.jpg?width=650)
SAWA UMZURI, LAKINI UNAJISIKIAJE UNAPOITWA JINA LA ‘CHA WOTE’?
9 years ago
Vijimambo13 Sep
PAMBANO HILI NI LEO USIKU LAKINI LINAONEKANA KUDODA SIYO KAMA PAMBANO LILILOPITA MAYWEATHER NA PAC.
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-0/p280x280/12006246_1050293754989289_1837075724729834108_n.jpg?oh=695a337baac06b37f64c7c95e78eceee&oe=569FD355)
Je,unamshabikia nani katika pigano la kesho kati ya bingwa wa ndondi duniani uzani wa welter Floyd Mayweather na Andre Berto?
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Msimamo wa JK upi katika hili?
MOJA ya habari kubwa kwenye Gazeti hili jana, ilihusu kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe kwamba Rais Jakaya Kikwete ni kigeugeu. Mbowe ambaye alikuwa...