Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msimamo wa JK upi katika hili?

MOJA ya habari kubwa kwenye Gazeti hili jana, ilihusu kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe kwamba Rais Jakaya Kikwete ni kigeugeu. Mbowe ambaye alikuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Msimamo wa Rais wa Burundi ni upi?

Je Rais Nkurunziza wa Burundi,anafikiria kufanya mazungumzo na upinzani ili kuondoa sintofahamu inayoendelea sasa nchini humo?

 

10 years ago

Mwananchi

Nyerere na msimamo wa demokrasia katika uchaguzi

Ni dhahiri kwamba Mwalimu Nyerere anakumbukwa kwa mambo mengi ya msingi aliyoyapa kipaumbele wakati wa uongozi wake.  Jambo mojawapo alilisema Julai 29 Julai, 1985, kwamba: “Kazi iliyokuwa muhimu kuliko zote kwangu mimi, ilikuwa ni kujenga Taifa lenye umoja kwa msingi wa heshima na usawa wa binadamu”.

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania ya 118 duniani katika msimamo wa ubora February 2014 - FIFA

 Egypt 31 38 7 10 -7  Cape Verde Islands 35 27 -8 8 4  South Africa 54 64 10 8 -10  Mali 40 59 19 5 -19  Zimbabwe 105 100 -5 5 2  Cameroon 50 46 -4 4 0  Tunisia 44 45 1 4 -1  Botswana 97 94 -3 3 0  Chad 165 162 -3 3 0  Sierra Leone 76 73 -3 3 -1  Uganda 87 84 -3 3 -1  Benin 99 97 -2 2 0  Central African...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katika hili JK sawa, lakini…

NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kujadili na kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu ya michezo. Bila shaka mu wazima...

 

10 years ago

Vijimambo

Mfumo wa Chadema ni upi?!

Siku za hivi karibuni neno mfumo limekua maarufu sana, hivi huwa lina maana gani hasa? Je chadema hawana mfumo? Na kama wanao ni mzuri au mbaya? Umepimwaje? 

Aliyeanzisha chama ni Edwin Mtei na ndiyo mwasisi wa Chadema na ndio Mwenyekiti wa kwanza wa Chama hicho,

Mwenyekiti aliyefuata ni marehemu Bob Makani ambae alimuoa dada wa Mtei, na Mwenyekiti wa sasa Kamuoa mtoto wa Mtei ambae ni mwasisi na mwenyekiti wa kwanza wa chadema, sababu ya Zitto Zubeir Kabwe kutoka Chadema si aliutaka uenyekiti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katika hili la Domayo, TFF inapepesa

HIVI sasa tunashuhudia timu mbalimbali za soka zikijipanga kwa ajili ya msimu unaokuja, hususan Ligi Kuu Tanzania Bara na hata mashindano ya kimataifa kwa wale ambao wamekata tiketi za kuiwakilisha...

 

10 years ago

Mwananchi

Lukuvi aungwe mkono katika hili

Tangu zamani, matumizi ya ardhi yamekuwa ni moja ya mambo ambayo yamekuwa yakisababisha mizozo na hata migogoro mingi katika jamii mbalimbali.

 

11 years ago

Mwananchi

Ni nani anayesema uongo katika hili la TCD?

Kwa siku ya kumi kufikia leo Watanzania wengi tuko gizani, hatuelewi nini yalikuwa makubaliano kati ya viongozi wa kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na Rais Jakaya Kikwete kuhusu Bunge Maalumu la Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani