Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni nani anayesema uongo katika hili la TCD?

Kwa siku ya kumi kufikia leo Watanzania wengi tuko gizani, hatuelewi nini yalikuwa makubaliano kati ya viongozi wa kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na Rais Jakaya Kikwete kuhusu Bunge Maalumu la Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Dr Slaa akiwasilisha mada katika mkutano ulioandaliwa na TCD.

Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willibrod Slaa akiwasilisha mada juu ya ushiriki wa vyama vya siasa katika mageuzi Afrika katika mkutano wa siku nne wa kubadilishana uzoefu kwa vyama vya siasa ulioandaliwa na kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na kufadhiliwa na Taasisi ya Demokrasia ya vyama vingi ya Uholanzi (NIMD). Mkutano huo unahudhuriwa na vyama kutoka Malawi, Ghana, Uganda na wenyeji Tanzania na kufanyika Zanzibar

 

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!

1005224_161118974079176_1902408761_n

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.

Tahariri ya leo Machi 10,  Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.

Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...

 

10 years ago

GPL

AUNTY LULU: ANAYESEMA NINA UKIMWI AJITOKEZE!

Aunty Lulu. \Gladness Mallya Makubwa! Kufuatia fununu kuwa mwanadada asiyeishiwa matukio mjini, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ana ngoma na amejiunga kwenye kikundi cha watu waishio na virusi vya Ukimwi, mwenyewe amefunguka kwamba kama mtu ana uhakika ajitokeze waende pamoja wakapime. Akizungumza na Ijumaa Wikienda wikiendi iliyopita, Aunty Lulu alisema amekuwa akishutumiwa na watu kwamba ana ngoma jambo ambalo siyo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msimamo wa JK upi katika hili?

MOJA ya habari kubwa kwenye Gazeti hili jana, ilihusu kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe kwamba Rais Jakaya Kikwete ni kigeugeu. Mbowe ambaye alikuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katika hili JK sawa, lakini…

NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kujadili na kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu ya michezo. Bila shaka mu wazima...

 

9 years ago

Mwananchi

Lukuvi aungwe mkono katika hili

Tangu zamani, matumizi ya ardhi yamekuwa ni moja ya mambo ambayo yamekuwa yakisababisha mizozo na hata migogoro mingi katika jamii mbalimbali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katika hili la Domayo, TFF inapepesa

HIVI sasa tunashuhudia timu mbalimbali za soka zikijipanga kwa ajili ya msimu unaokuja, hususan Ligi Kuu Tanzania Bara na hata mashindano ya kimataifa kwa wale ambao wamekata tiketi za kuiwakilisha...

 

11 years ago

Michuzi

HALMASHAURI YA JIJI : JE HAWA NI SAHIHI KUWEPO KATIKA ENEO HILI?

Hili ni eneo la Ubungo ambalo limekuwa na wimbi kubwa la wafanya bishara wadogo wadogo kuegesha biashara zao za kila aina pembezoni mwa njia za wapita kwa miguu jambo ambalo linasababisha usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Licha ya usumbufu na kero hiyo, eneo hilo kutokana na msongamano wa watu wengi sana, limekuwa ndio maskani kwa vibaka ambao hujipatia kipato chao bila hata ya jasho kwa kujichanganya humo kama raia wa kawaida na kufanya wizi.
Wakizungumza watumiaji...

 

10 years ago

Vijimambo

Siwezi Kumjibu Mtu Anayesema Sema Ovyo Kuwa Nakusanya watu Wanishawishi Kugombea Urais

LowassaAkiongea mbele ya wachungaji wa madhehebu mbalimbali ya kikristo waliokwenda kumshawishi agombee urais wa Tanzania, Lowassa amesema hawezi kumjibu mtu aliyebwabwaja katika magazeti kuwa anakusanya watu eti kwa lengo la kupata uungwaji mkono! Amesema akimjibu atampa ujiko hivyo amemdharau!Katika magazeti ya leo yalimnukuu Makamba akidai kuwa kuna watu wanatumia fedha zao kusafirisha na kuwalipa watu ilikujionyesha mbele ya jamii kuwa wanashawishiwa kuomba urais!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani