HALMASHAURI YA JIJI : JE HAWA NI SAHIHI KUWEPO KATIKA ENEO HILI?
![](http://4.bp.blogspot.com/-r0XJ4IvXKt4/UxCxlI0o9qI/AAAAAAAATFA/qKtytGCyRRc/s72-c/Sarfrenje3937.jpg)
Hili ni eneo la Ubungo ambalo limekuwa na wimbi kubwa la wafanya bishara wadogo wadogo kuegesha biashara zao za kila aina pembezoni mwa njia za wapita kwa miguu jambo ambalo linasababisha usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Licha ya usumbufu na kero hiyo, eneo hilo kutokana na msongamano wa watu wengi sana, limekuwa ndio maskani kwa vibaka ambao hujipatia kipato chao bila hata ya jasho kwa kujichanganya humo kama raia wa kawaida na kufanya wizi.
Wakizungumza watumiaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-W4mU6GipYDg/UxCxJcINMII/AAAAAAAATDQ/I2GXMHVWZm4/s1600/Sarfrenje3906.jpg)
HALMASHAURI YA JIJI LA DAR: JE HAWA NI SAHIHI KUWEPO KATIKA ENEO HILI?
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Kwa hili Jiji la Arusha linastahili pongezi
11 years ago
Habarileo12 Mar
Wachimbaji, halmashauri ya jiji wazozana
KUANZA kutumika kwa sheria inayowataka wachimbaji wa mawe, mchanga na kokoto kuwa na kibali cha kufanya shughuli hiyo, kumezua mzozo. Mzozo huo ni kati ya wachimbaji wadogo mkoani hapa na halmashauri ya jiji. Juzi takribani wachimbaji wadogo wagogo 2,000 wakiwa na madereva wa malori yanayobeba mchanga, kokoto na mawe, waliandamana hadi eneo la Uhindini, zilipo ofisi za halmashauri ya jiji na kupeleka malalamiko yao.
11 years ago
Habarileo12 Dec
CCM waibana Halmashauri ya Jiji Arusha
KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha imeuagiza uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kuhakikisha miradi yote iliyokuwa imeanza kujengwa inakamilika kwa wakati bila ya kuwa na visingizio.
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Halmashauri ya Jiji Dar ‘yazinduka usingizini’
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Wauza magazeti walalamikia halmashauri ya jiji
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e4DapssfrDg/XkV-Z7B2X0I/AAAAAAALdTM/Vp0NfGysZm8ld52_TsHbcwLOzF5P7NQdACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_8785-2048x1159.jpg)
MAJALIWA: MUUNDO WA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA UKAMILISHWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-e4DapssfrDg/XkV-Z7B2X0I/AAAAAAALdTM/Vp0NfGysZm8ld52_TsHbcwLOzF5P7NQdACLcBGAsYHQ/s640/PMO_8785-2048x1159.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha Mpango Kabambe wa Jiji la Dodoma baada ya kuuzindua kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Februari 13, 2020. Wengine pichani kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi, Angelina Mabula, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, Spika wa Bunge Job Ndugai na kulia ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tixon Nzunda (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/861feb0d-e49e-43eb-910d-243bacd1c137.jpg)
Waziri Mkuu,...
11 years ago
GPLHALMASHAURI YA JIJI YABOMOA MEZA ZA MACHINGA POSTA DAR