Kwa hili Jiji la Arusha linastahili pongezi
Mwishoni mwa mwezi uliopita, Jiji la Arusha liliwaondoa wafanyabiashara wadogo,maarufu kama wamachinga waliokuwa wakiendesha shughuli zao mitaani na maeneo yasiyoruhusiwa kisheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKWA HILI DIAMOND UNASTAHILI PONGEZI!
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/AnOhyfDOWG0/default.jpg)
10 years ago
Habarileo16 Nov
Jiji la Arusha hupoteza mil.60/- kwa mwezi
KAMATI Ndogo ya Madiwani ya Halmashauri ya Jiji la Arusha, imegundua kuwa Halmashauri ya Jiji la Arusha imekuwa ikipoteza zaidi ya Sh milioni 60 kwa mwezi.
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Kwa kiasi kikubwa Bunge letu linastahili lawama
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Operesheni Safisha Jiji Arusha shubiri kwa mafundi nguo
OPERESHENI Safisha Jiji ya kuwaondoa machinga wanaouza bidhaa zao barabarani ilianza mwaka 2012 kama ilivyokubalika kwenye Baraza la Madiwani wa Jiji la Arusha. Licha ya mwaka jana operesheni hiyo kufanikiwa, mwaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m-tzBKQFU7w/Xt_ziSHaqTI/AAAAAAALtP8/Z5DJZDGdhpwPIg_47T6xE-bb_rp-x14twCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YATOA MIL.626 KWA VIKUNDI
Na.Ashura Mohamed -Arusha
Halmashauri ya Jiji la Arusha imekabidhidi Hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 626,kwa vikundi 100 vya Mikopo kwa makundi matatu ya Wanawake,Vijana na watu wenye Walemavu.
Akikabidhi Hundi hiyo Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro alisema fedha hizo ni kutoka Mapato ya ndani ambapo lengo ni kuwawezesha wananchi, kiuchumi ili kutimiza Sera ya Serikali ya Awamu ya Tano.
Daqqaro alisema kuwa serikali ya Sasa imekuwa ikisisitiza uwekezaji kwenye sekta ya Viwanda...
11 years ago
Michuzi08 Aug
WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA WAMIMINIKA KWA WINGI NA KUJIUNGA NA MFUKO WA MAFAO YA KUSTAAFU WA GEPF
![p2](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/p2.jpg?w=627&h=419)
![p1](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/p1.jpg?w=627&h=419)
![p4](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/p4.jpg?w=627&h=419)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BziVZKXbSA0/XvHxS1KAJoI/AAAAAAALvEU/DvnalFxC_qUoFb6OkIdf_ptJaTIenRMUgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_113423_0.jpg)
MEYA MSTAAFU WA JIJI LA ARUSHA AMSHUKURU RAIS KWA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...