MEYA MSTAAFU WA JIJI LA ARUSHA AMSHUKURU RAIS KWA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-BziVZKXbSA0/XvHxS1KAJoI/AAAAAAALvEU/DvnalFxC_qUoFb6OkIdf_ptJaTIenRMUgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_113423_0.jpg)
Woinde Shizza, Michuzi Tv ARUSHA MEYA Mstaafu wa Halmashauri ya jiji la Arusha Kalist Lazaro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo kwa jiji la Arusha katika kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015 hadi 2020 licha ya Halmashauri hiyo kuongozwa na upinzani.
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BiaJbIWhBL8/XvJgWHDGiII/AAAAAAALvG0/kqF3MwTKx1kdDSCBsARVL5o86nypavBbgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_113423_0%2B%25281%2529.jpg)
MEYA MSTAAFU JIJI LA ARUSHA AMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO
Woinde Shizza, Michuzi TvA-RUSHA
Meya Mstaafu wa Halmashauri ya jiji la Arusha Kalist Lazaro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo kwa jiji la Arusha katika kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015\2020 licha ya Halmashauri hiyo kuongozwa na upinzani.
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono mh.Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...
11 years ago
Habarileo05 Jul
Fedha zakwamisha miradi Jiji la Arusha
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha, inakabiliwa na changamoto kubwa ya ufinyu wa fedha za kukamilisha miradi mbalimbali ya barabara kwa wakati na hivyo kusababisha mtandao wa mawasiliano kuwa mgumu.
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Magufuli amshukuru Balozi wa Japan nchini kuchangia miradi ya maendeleo
Balozi wa Japan nchini, Mh. Masaki Okada (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Hussein Kidanto wakitiliana saini mkataba wa fedha za ruzuku shilingi milioni 70/ zilizotolewa na serikali ya Japan kwa ajili ya kununua magari mawili ya wagonjwa (Ambulance). Tukio hilo lilishuhudiwa na viongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili pamoja na Mkurugenzi wa Hospitali hiyo aliyemaliza muda wake Dkt. Marina Njelekela.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0393.jpg)
MAGUFULI AMSHUKURU BALOZI WA JAPAN NCHINI KUCHANGIA MIRADI YA MAENDELEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sukGDga1K-k/XrvZw-s86cI/AAAAAAALqDM/-TnR4RM2-2g1SFjiONbZYDJifNWT1yPyACLcBGAsYHQ/s72-c/25761ac5-fedb-4a76-946c-1693ac433d3f.jpg)
MADIWANI KINONDONI WAMPONGEZA MEYA SITTA, MKURUGENZI KAGURUMJULI KWA KUFANYA VIZURI KWENYE MIRADI YA MAENDELEO
Pongezi hizo zimetolewa na Madiwani hao wakati wa kikao cha Baraza la madiwani robo ya tatu ya mwaka ambapo wamesema kuwa katika kipindi ambacho wamekuwa madiwani wameshuhudia miradi mikubwa ambayo imetekelezwa ikiwa ni juhudi kubwa zinazofanywa na viongozi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_dBr7FLEX24/Xm-b3vTzW7I/AAAAAAALj7w/xpnjaSq43qcGgvA3XmYan43tDIq0Xk4RACLcBGAsYHQ/s72-c/0c82b8ba-5145-42a8-a440-3531bad6450a.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.
Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uqq0YjByJnw/Xpx6IIfsgQI/AAAAAAALnbo/9Sri98tOXbEoooftA9o5SeNrtGa1VaXWQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200419-WA0062.jpg)
WADAU WA MAENDELEO ARUSHA WAUNGA MKONO JUHUDI ZA SRIKALI MAPAMBANO DHIDI YA COVID-19 KWA KUTOA MISAADA
Na Woinde Shizza,ARUSHA
WADAU wa Maendeleo Mkoa wa Arusha wameunga mkono juhudi za Serikali dhidi ya mapambano ya ugonjwa hatari wa Covid-19 kwa kutoka misaada mbalimbali kama njia mojawapo ya kukabiliana maambukizo ya virusi vya Corona.
Misaada hiyo imetolewa na kampuni ya vinywaji vikali ya Mega Beverage ya jijini hapa kuwa ambapo imetoa lita 2500 za vitakasa mikono pamoja na madumu 50 ya kunawia maji yanayotiririka vyenye thamani ya sh,milioni 46.
Wadau wengine waliojitokeza kuchangia...
11 years ago
Michuzi26 Jun
HALMASHAURI ZATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO MIRADI YA MAENDELEO
![IMG-20140625-WA0044](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/WHf-mX2nP8ipkmLPYSvtkUgzFrjg48ijpw-7RyfoOWbnW03yhwDkdaAPFrH1KZUtxaFK5crKIX96S9Rg1XrDDr4OcJmEfouRXZwPg58nr8aRLRXblKnKX44DoBz5Em0Xn8XfKWI1cspK=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140625-wa0044.jpg?w=627&h=470)
![IMG-20140625-WA0045-1](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/mukhUczLw4bVt9ZYmXz3WqpYGdDNM4RmmzVcS03_97uOC-H2xsIy0u35wo_DZff5n_14N1TfaG63XaGAePqS8kFv1kpqZIVRqlQJG6esBcJklsYQqaqJ-s2HpWpwI-XBRPuZKuryWybChHg=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140625-wa0045-1.jpg?w=627&h=470)
![IMG-20140625-WA0040](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/8PgvOtfLnBQcfcQISFUw0xBxB-lJfGXxjlHPYSSy7_e3Xu7NC6ZLwgoerxS9GkuNsAe3abBkdrhgWSG316gHyIUkuJ_LXqC3zCLoR0mL8gx3Mh4oE104PMCv0_Tpg1Rk96vN6sPMbyht=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140625-wa0040.jpg?w=627&h=470)
HALMASHAURI mbalimbali nchini kwa kushirikiana na wananchi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5kws1n6-q1Y/XosuWLFBbDI/AAAAAAALmLE/yXtr7f_jXGMWI_O-Cl1aQZ6_iudaAQ_BACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B11.45.09%2BAM.jpeg)
TAREHE YA KUTOA FOMU ZA KUWEKEZA KWENYE MIRADI YA JIJI LA DODOMA YAWEKWA HADHARANI
Wananchi mbalimbali wametakiwa kujitokeza kuchukua fomu za kuomba kuwekeza kwenye maeneo hayo kuanzia April 7 mwaka huu katika Ofisi za zamani za iliyokua mamlaka ya ustawishaji wa Dodoma (CDA).
akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Jiji hilo, Godwin...