Fedha zakwamisha miradi Jiji la Arusha
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha, inakabiliwa na changamoto kubwa ya ufinyu wa fedha za kukamilisha miradi mbalimbali ya barabara kwa wakati na hivyo kusababisha mtandao wa mawasiliano kuwa mgumu.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BziVZKXbSA0/XvHxS1KAJoI/AAAAAAALvEU/DvnalFxC_qUoFb6OkIdf_ptJaTIenRMUgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_113423_0.jpg)
MEYA MSTAAFU WA JIJI LA ARUSHA AMSHUKURU RAIS KWA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BiaJbIWhBL8/XvJgWHDGiII/AAAAAAALvG0/kqF3MwTKx1kdDSCBsARVL5o86nypavBbgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_113423_0%2B%25281%2529.jpg)
MEYA MSTAAFU JIJI LA ARUSHA AMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO
Woinde Shizza, Michuzi TvA-RUSHA
Meya Mstaafu wa Halmashauri ya jiji la Arusha Kalist Lazaro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo kwa jiji la Arusha katika kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015\2020 licha ya Halmashauri hiyo kuongozwa na upinzani.
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono mh.Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...
10 years ago
GPLMWANAHARAKATI AVAA GUNIA NA KUTINGA OFISI ZA JIJI KUMDAI MKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA AMLIPE FEDHA ZAKE
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Pinda akagua miradi mbalimbali jiji la TOKYO
Waziri mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya vyakula vya Kitanzania vilivyosindikwa kitalaamu, Afisa Mtendaji Mkuu na mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Sumitomo ya Japan,Bw.Michihiko Kanegae baada ya mazungumzo yao kwenye hoteli ya New Otani, Tokyo, Machi 16, 2015. Kampuni hiyo inatarajiwa kuanza ujenzi wa mtambo wa kufua umeme kwa kutumia gesi katika eneo la Kinyerezi jijini Dar es salaam hivi karibuni. Kushoto ni Meneja Mkuu wa Masuala ya Miundombinu ya Umeme wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5kws1n6-q1Y/XosuWLFBbDI/AAAAAAALmLE/yXtr7f_jXGMWI_O-Cl1aQZ6_iudaAQ_BACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B11.45.09%2BAM.jpeg)
TAREHE YA KUTOA FOMU ZA KUWEKEZA KWENYE MIRADI YA JIJI LA DODOMA YAWEKWA HADHARANI
Wananchi mbalimbali wametakiwa kujitokeza kuchukua fomu za kuomba kuwekeza kwenye maeneo hayo kuanzia April 7 mwaka huu katika Ofisi za zamani za iliyokua mamlaka ya ustawishaji wa Dodoma (CDA).
akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Jiji hilo, Godwin...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Fedha za miradi zarejeshwa Hazina
JUMLA ya sh 188,405,740,589 sawa na asilimia 55 ya fedha zilizotolewa na Serikali Kuu kwa shughuli za miradi mbalimbali ya maendeleo katika kipindi cha mwaka 2011 na 2012 zimerudishwa Hazina...
10 years ago
Habarileo06 Sep
Upungufu wa fedha wakwamisha miradi ya maendele
UPUNGUFU mkubwa wa fedha uliopo katika Halmashauri ya wilaya ya Kilwa mkoani Lindi umesababisha baadhi ya miradi kutokamilika.
10 years ago
Uhuru Newspaper12 Mar
CCM yalalamikia ucheleweshaji wa fedha za miradi
NA THEODOS MGOMBA, KONDOA
SERIKALI imeshauriwa kutoa fedha kwa wakati kwenda katika halmashauri baada ya bajeti yake kumalizika.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alisema hayo juzi alipokuwa akizungumza na wakazi wa kijiji cha Gwandi kilichoko wilayani Chemba mkoani Dodoma.
Kinana alisema kumekuwepo na ucheleweshaji wa miradi mbalimbali ya serikali kutokana na fedha kutofika kwa wakati katika halmashauri nyingi.
Alisema hali hiyo imekuwa ikirudisha nyuma kasi ya maendeleo katika maeneo...