TAREHE YA KUTOA FOMU ZA KUWEKEZA KWENYE MIRADI YA JIJI LA DODOMA YAWEKWA HADHARANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5kws1n6-q1Y/XosuWLFBbDI/AAAAAAALmLE/yXtr7f_jXGMWI_O-Cl1aQZ6_iudaAQ_BACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-06%2Bat%2B11.45.09%2BAM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVMIRADI minne mikubwa ya kimkakati jijini Dodoma ya Stendi ya Mabasi, Soko kubwa la kisasa, Stendi ya Malori na eneo la mapumziko la Chinangali inatarajia kukamilika kabla ya April 26 mwaka huu.
Wananchi mbalimbali wametakiwa kujitokeza kuchukua fomu za kuomba kuwekeza kwenye maeneo hayo kuanzia April 7 mwaka huu katika Ofisi za zamani za iliyokua mamlaka ya ustawishaji wa Dodoma (CDA).
akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Jiji hilo, Godwin...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Az0oXj74tuc/Xo2P-K7fGPI/AAAAAAALmd0/4TfBJLEc47I0IJKpJ2ayJRRlvR-yiEmjACLcBGAsYHQ/s72-c/a68ad77e-313a-4535-aad7-de1fef0f2bdb.jpg)
MKURUGENZI JIJI LA DODOMA ATANGAZA MFUMO MPYA WA KUJAZA MAOMBI YA KUFANYA BIASHARA KWENYE MIRADI YA KIMKAKATI
Charles James, Michuzi TV
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imetangaza kutumia mfumo wa malipo mtandao kwa wananchi kujaza fomu za kuomba nafasi za kufanya biashara kwenye miradi minne ya kimkakati ya Stendi ya Mabasi na Malori, Soko Kuu na eneo la Mapumziko la Chinangali.
Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema wamefanya mabadiliko hayo ikiwa ni siku mbili watangaze kuanza kutoa fomu kwa wananchi wanaotaka kuwekeza kwenye miradi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BziVZKXbSA0/XvHxS1KAJoI/AAAAAAALvEU/DvnalFxC_qUoFb6OkIdf_ptJaTIenRMUgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_113423_0.jpg)
MEYA MSTAAFU WA JIJI LA ARUSHA AMSHUKURU RAIS KWA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BiaJbIWhBL8/XvJgWHDGiII/AAAAAAALvG0/kqF3MwTKx1kdDSCBsARVL5o86nypavBbgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_113423_0%2B%25281%2529.jpg)
MEYA MSTAAFU JIJI LA ARUSHA AMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO
Woinde Shizza, Michuzi TvA-RUSHA
Meya Mstaafu wa Halmashauri ya jiji la Arusha Kalist Lazaro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo kwa jiji la Arusha katika kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015\2020 licha ya Halmashauri hiyo kuongozwa na upinzani.
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono mh.Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FbC164QI4Do/Xp6DizYcBGI/AAAAAAALnps/6ImHPyXN7SENZIV-B_Hx1AVXEEg8JEwyACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
11 years ago
MichuziWANANCHI WASISITIZWA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YA GESI NCHINI
11 years ago
Habarileo05 Jul
Fedha zakwamisha miradi Jiji la Arusha
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha, inakabiliwa na changamoto kubwa ya ufinyu wa fedha za kukamilisha miradi mbalimbali ya barabara kwa wakati na hivyo kusababisha mtandao wa mawasiliano kuwa mgumu.
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Pinda akagua miradi mbalimbali jiji la TOKYO
Waziri mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya vyakula vya Kitanzania vilivyosindikwa kitalaamu, Afisa Mtendaji Mkuu na mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Sumitomo ya Japan,Bw.Michihiko Kanegae baada ya mazungumzo yao kwenye hoteli ya New Otani, Tokyo, Machi 16, 2015. Kampuni hiyo inatarajiwa kuanza ujenzi wa mtambo wa kufua umeme kwa kutumia gesi katika eneo la Kinyerezi jijini Dar es salaam hivi karibuni. Kushoto ni Meneja Mkuu wa Masuala ya Miundombinu ya Umeme wa...
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Lowassa atikisa Dodoma, achukua fomu aanza kusaka wadhamini “Chap Chap”, awazoa lukuki Dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-XI55TSmPTBE/VXCKuKY22-I/AAAAAAAAUfk/lMX5cEApM-s/s640/LOwassa_fomu2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DLxo70HRoeM/VfrdLUqqRhI/AAAAAAAH5mc/ooHr1XVWAL0/s72-c/Graduation%2B10.jpg)
WANAFUNZI WATAKIWA KUWEKEZA KWENYE ELIMU
![](http://3.bp.blogspot.com/-DLxo70HRoeM/VfrdLUqqRhI/AAAAAAAH5mc/ooHr1XVWAL0/s640/Graduation%2B10.jpg)
Hayo yamesemwa na Mkuu wa utawala na uongozi wa chuo cha Habari maalum,Mr Ernest Karata wakati wa mahafali ya kwanza ya chuo cha Full Bright college kilichopo Ngaramtoni,wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.
Katika mahafali hayo wanafunzi wanane...