Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAREHE YA KUTOA FOMU ZA KUWEKEZA KWENYE MIRADI YA JIJI LA DODOMA YAWEKWA HADHARANI

Charles James, Michuzi TVMIRADI minne mikubwa ya kimkakati jijini Dodoma ya Stendi ya Mabasi, Soko kubwa la kisasa, Stendi ya Malori na eneo la mapumziko la Chinangali inatarajia kukamilika kabla ya April 26 mwaka huu.
Wananchi mbalimbali wametakiwa kujitokeza kuchukua fomu za kuomba kuwekeza kwenye maeneo hayo kuanzia April 7 mwaka huu katika Ofisi za zamani za iliyokua mamlaka ya ustawishaji wa Dodoma (CDA).
akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Jiji hilo, Godwin...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI JIJI LA DODOMA ATANGAZA MFUMO MPYA WA KUJAZA MAOMBI YA KUFANYA BIASHARA KWENYE MIRADI YA KIMKAKATI


Charles James, Michuzi TV

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imetangaza kutumia mfumo wa malipo mtandao kwa wananchi kujaza fomu za kuomba nafasi za kufanya biashara kwenye miradi minne ya kimkakati ya Stendi ya Mabasi na Malori, Soko Kuu na eneo la Mapumziko la Chinangali.

Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema wamefanya mabadiliko hayo ikiwa ni siku mbili watangaze kuanza kutoa fomu kwa wananchi wanaotaka kuwekeza kwenye miradi...

 

5 years ago

Michuzi

MEYA MSTAAFU WA JIJI LA ARUSHA AMSHUKURU RAIS KWA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO

Woinde Shizza, Michuzi Tv ARUSHA MEYA Mstaafu wa Halmashauri ya jiji la Arusha Kalist Lazaro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo kwa jiji la Arusha katika kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015 hadi 2020 licha ya Halmashauri hiyo kuongozwa na upinzani.
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...

 

5 years ago

Michuzi

MEYA MSTAAFU JIJI LA ARUSHA AMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO


Woinde Shizza, Michuzi TvA-RUSHA
Meya Mstaafu wa Halmashauri ya jiji la Arusha Kalist Lazaro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo kwa jiji la Arusha katika kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015\2020 licha ya Halmashauri hiyo kuongozwa na upinzani.
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono mh.Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO

 Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa (katikati) akipata ufafanuzi kuhusu matumizi ya mashine ya Cherehani katika utengenezaji wa Barakoa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Uchapishaji cha Five stars, Ashik Abbas Karim (kushoto), leo Aprili 20, 2020 alipokua katika ziara ya Jijini Dar es Salaam ya kutembelea Viwanda vinavyozalisha Barakoa na Vitakasa Mikono. Waziri wa Viwanda na Biashara,  Innocent Bashungwa (katikati) akisikiliza kwa makini maelezo ya eneo la...

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI WASISITIZWA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YA GESI NCHINI

Mwandishi wa kitabu kinachoelezea namna watanzania na makampuni ya usambazaji ya hapa Tanzania yanavyoweza kushiriki, kuwezeshwa na kunufaika na sekta ya nishati ya gesi asilia hapa.Bi. Neema Lugangilra Apson akielezea maudhui ya Kitabu chake kwa wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa kitabu chake jana usiku jijini Dar es Salaam.  Mgeni Rasmi Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kitabu kinachoeleza namna watanzania na makampuni ya...

 

11 years ago

Habarileo

Fedha zakwamisha miradi Jiji la Arusha

HALMASHAURI ya Jiji la Arusha, inakabiliwa na changamoto kubwa ya ufinyu wa fedha za kukamilisha miradi mbalimbali ya barabara kwa wakati na hivyo kusababisha mtandao wa mawasiliano kuwa mgumu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akagua miradi mbalimbali jiji la TOKYO

PG4A6161

 Waziri mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya vyakula vya  Kitanzania vilivyosindikwa  kitalaamu, Afisa Mtendaji Mkuu  na mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya  Kampuni ya Sumitomo ya Japan,Bw.Michihiko Kanegae baada ya mazungumzo yao kwenye hoteli ya New Otani, Tokyo, Machi 16, 2015.  Kampuni hiyo inatarajiwa kuanza ujenzi wa mtambo wa kufua umeme kwa kutumia gesi katika eneo la Kinyerezi jijini Dar es salaam hivi karibuni. Kushoto ni Meneja Mkuu wa Masuala ya Miundombinu ya Umeme wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa atikisa Dodoma, achukua fomu aanza kusaka wadhamini “Chap Chap”, awazoa lukuki Dodoma

Waziri Mkuu wa zamani na mbunge wa Monduli, ambaye tayari ametangaza nia ya kuwania urais kupitia CCM, akionyesha mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa pamoja na nyaraka nyingine, baada ya kukabidhiwa makao makuu ya CCM, (White House), Dodoma, Alhamisi Juni 4, 2015. Mara baada ya kuchukua fomu hizo, Lowassa, alielekea kwenye ofisi za CCM wilaya ya Dodoma mjini na kuanza kusaka wadhamini, ambapo mamia ya wanachama wa CCM, waklijitokeza kumdhamini, na mmoja wa watu mashuhuri ndani ya chama...

 

9 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WATAKIWA KUWEKEZA KWENYE ELIMU

Na Woinde Shizza,ArushaWanafunzi wametakiwa kuwekeza katika elimu, kwani elimu ndio ufunguo wa maisha ya sasa na ya baadaye ikiwemo kufanya kazi kwa vitendo ,na mashiko vitavyowasaidia kwenye maisha yao ya sasa na baadae sanjari na kulijenga taifa lao.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa utawala na uongozi wa chuo cha Habari maalum,Mr Ernest Karata wakati wa mahafali ya kwanza ya chuo cha Full Bright college kilichopo Ngaramtoni,wilaya ya Arumeru mkoani Arusha. 
Katika mahafali hayo wanafunzi  wanane...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani