Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAFUNZI WATAKIWA KUWEKEZA KWENYE ELIMU

Na Woinde Shizza,ArushaWanafunzi wametakiwa kuwekeza katika elimu, kwani elimu ndio ufunguo wa maisha ya sasa na ya baadaye ikiwemo kufanya kazi kwa vitendo ,na mashiko vitavyowasaidia kwenye maisha yao ya sasa na baadae sanjari na kulijenga taifa lao.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa utawala na uongozi wa chuo cha Habari maalum,Mr Ernest Karata wakati wa mahafali ya kwanza ya chuo cha Full Bright college kilichopo Ngaramtoni,wilaya ya Arumeru mkoani Arusha. 
Katika mahafali hayo wanafunzi  wanane...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania watakiwa kuwekeza kwenye elimu

WATANZANIA wametakiwa kuwekeza katika elimu na kushirikiana kuleta mabadiliko kwenye sekta ya elimu badala ya kuwaachia wanasiasa pekee. Rai hiyo ilitolewa mjini hapa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Shule...

 

11 years ago

Michuzi

WAZAZI WATAKIWA KUWEKEZA KATIKA ELIMU

 Mbunge wa jimbo la Kilolo Prof. Peter Msola akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mwatasi katika kata ya Bomalang'ombe katika jimbo la Kilolo wilayani Kilolo Mkoani Iringa.
 baadhi ya wakazi wa kijiji cha Mwatasi waliohudhuria mkutano wa hadhara katika kiwanja cha shule ya msingi Mwatasi wakisikiliza hotuba ya mbunge wao Prof Peter Msola
 Mmoja wa wakazi wa jimbo la Kilolo, Ayubu Sanga akitoa taarifa ya kijiji cha Mwatasi mbele ya Mbunge wa jimbo hilo Prof. Peter Msola

 -============  Na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanawake watakiwa kuwekeza kwenye ardhi

WANAWAKE wajasiriamali mkoani Tanga wametakiwa kuwekeza kwenye ardhi ili kujikwamua kiuchumi kwani kilimo ni mkombozi katika kuinua uchumi. Rai hiyo imetolewa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Luteni mstaafu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Waislamu washauriwa kuwekeza kwenye elimu

WAUMINI wa Dini ya Kiislamu wametakiwa kuwekeza mali na fedha zao kwenye elimu hususan kwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi na yatima ili waweze kujikwamua kimasomo. Ushauri huo umetolewa na...

 

10 years ago

Habarileo

Esther Bulaya ataka wazazi kuwekeza kwenye elimu

MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia kundi la vijana kutoka mkoani Mara, Esther Bulaya amewataka wazazi na wananchi kwa ujumla kuwekeza kwenye elimu kwani ndio msingi wa maisha.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAFURAHISHWA NA JITIHADA ZA WILAYA YA CHATO KATIKA KUWEKEZA KWENYE ELIMU

NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulikia Elimu OR-TAMISEMI Gerald Mweli amesema ameridhishwa na kutambua jitihada zinazofanywa na viongozi wa Wilaya ya Chato katika kuwekeza kwenye miundombinu ya Elimu.

Mweli ameyasema hayo wakati alipotembelea Wilaya hiyo na kukutana na Menejimenti, Walimu pamoja na kukagua ujenzi wa shule mbalimbali zilizoboreshwa na zinazoendelea kuboreshwa Wilayani hapo.

Mweli amesema anatambua  jitihada kubwa zinazofanywa katika eneo hili la Elimu ikiwa ni pamoja na kuanzisha ...

 

11 years ago

Mwananchi

Watakiwa kuwekeza maeneo yenye migodi

Wamiliki wa migodi na wachimbaji wa madini ya Tanzanite, mji wa Mirerani mkoani Manyara, wametakiwa kuwekeza wilayani hapa.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe, alipotembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania Jumatano Tarehe 13 Mei 2015.

 

10 years ago

GPL

DALADALA, UDA WATAKIWA KUWEKEZA KATIKA MABASI YAENDAYO KASI DAR

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadik alizumgumza na wamiliki wa UDA na daladala.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani