Magufuli amshukuru Balozi wa Japan nchini kuchangia miradi ya maendeleo
Balozi wa Japan nchini, Mh. Masaki Okada (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Hussein Kidanto wakitiliana saini mkataba wa fedha za ruzuku shilingi milioni 70/ zilizotolewa na serikali ya Japan kwa ajili ya kununua magari mawili ya wagonjwa (Ambulance). Tukio hilo lilishuhudiwa na viongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili pamoja na Mkurugenzi wa Hospitali hiyo aliyemaliza muda wake Dkt. Marina Njelekela.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0393.jpg)
MAGUFULI AMSHUKURU BALOZI WA JAPAN NCHINI KUCHANGIA MIRADI YA MAENDELEO
Mbunge wa Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli akitoa shukrani kwa serikali ya Japan inayowakilishwa na Balozi Masaki Okada baada ya kushuhudia utiaji saini wa mikataba ya fedha za ruzuku shilingi milioni 235 sawa na dola za Kimarekani 136,015 zilizotolewa na serikali ya Japan. Balozi wa Japan nchini, Mh. Masaki Okada (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Hussein Kidanto...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BiaJbIWhBL8/XvJgWHDGiII/AAAAAAALvG0/kqF3MwTKx1kdDSCBsARVL5o86nypavBbgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_113423_0%2B%25281%2529.jpg)
MEYA MSTAAFU JIJI LA ARUSHA AMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO
Woinde Shizza, Michuzi TvA-RUSHA
Meya Mstaafu wa Halmashauri ya jiji la Arusha Kalist Lazaro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo kwa jiji la Arusha katika kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015\2020 licha ya Halmashauri hiyo kuongozwa na upinzani.
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono mh.Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA JAPAN NCHINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BziVZKXbSA0/XvHxS1KAJoI/AAAAAAALvEU/DvnalFxC_qUoFb6OkIdf_ptJaTIenRMUgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_113423_0.jpg)
MEYA MSTAAFU WA JIJI LA ARUSHA AMSHUKURU RAIS KWA KUTOA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO
Woinde Shizza, Michuzi Tv ARUSHA MEYA Mstaafu wa Halmashauri ya jiji la Arusha Kalist Lazaro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo kwa jiji la Arusha katika kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015 hadi 2020 licha ya Halmashauri hiyo kuongozwa na upinzani.
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...
Kalist aliyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha na kuwataka Wana Arusha kumuunga mkono Rais kwa hatua yake aliyoahidi na kuendelea kuahidi kuwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s72-c/446.jpg)
BALOZI SEIF AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI JAPAN NA BALOZI MALAWI NCHINI TANZANIA, PIA AZUNGUMZA NA GAVANA MKUU WA JIMBO LA SIUSTAN NA BALACHESTAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0dP2mSg4U8/VUtWEbcL01I/AAAAAAAA8qs/c37BjBKgXvw/s640/446.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kUUQfzL_m08/VUtWDwYmJSI/AAAAAAAA8qo/9wUVpgBYG3k/s640/456.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xG9UXjRoONk/VUtWEr1lsjI/AAAAAAAA8q0/mS76wPhdk48/s640/458.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Zhl2dPUoF1E/VE5WrVvZ-II/AAAAAAAGtmo/0hBFrsum5X0/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL MGENI RASMI KATIKA HAFLA YA KUCHANGIA MIRADI YA MAENDELEO JIMBO LA RUFIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zhl2dPUoF1E/VE5WrVvZ-II/AAAAAAAGtmo/0hBFrsum5X0/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gB8sbmPnJq4/VE5WrhLU9RI/AAAAAAAGtm0/jS-3N0IwuDk/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X-wLbM0j1J0/U9auqzCDgbI/AAAAAAAF7eU/Au7jse6QfrU/s72-c/unnamed.jpg)
MKUTANO WA MAJADILIANO KUHUSU UFADHILI WA MIRADI YA MAENDELEO KATI YA SERIKALI YA TANZANIA NA JAPAN KWA MWAKA 2014/2015.
![](http://2.bp.blogspot.com/-X-wLbM0j1J0/U9auqzCDgbI/AAAAAAAF7eU/Au7jse6QfrU/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wCV-abVkL_8/U9auoPLCa6I/AAAAAAAF7eo/6vQU320ptu0/s1600/unnamed+(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X6vfHFPNw-s/U-yCuIhJyGI/AAAAAAAF_Xc/ljkEpv7V470/s72-c/MMGM1080.jpg)
MH. LOWASSA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA JAPAN NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-X6vfHFPNw-s/U-yCuIhJyGI/AAAAAAAF_Xc/ljkEpv7V470/s1600/MMGM1080.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7AdRtp1f1W8/U-yCujBhXtI/AAAAAAAF_Xk/T3kqCUJo6do/s1600/MMGM1108.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pV7PP9imBiw/U-yCunT0b_I/AAAAAAAF_Xg/48-cjmoGEa4/s1600/MMGM1102.jpg)
10 years ago
MichuziMh. Lowassa amkaribisha Monduli Balozi wa Japan nchini Tanzania
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania