RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA JAPAN NCHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Japan nchini Masaharu Yoshida aliyefika Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo. Katika Mazungumzo hayo Balozi Yoshida amempongeza Rais Magufuli kwa kuchaguliwa kuiongoza Tanzania katika awamu hii ya tano na pia amezungumzia miradi mbalimbali inayofadhiliwa na Japan hapa nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mmoja wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
DKT. SHEIN AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MPYA WA JAPAN NCHINI TANZANIA


10 years ago
GPL
WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI, PIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA CONTRACTUS YA POLAND
5 years ago
Michuzi
BALOZI IBUGE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI TANZANIA

Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mhe. Balozi Mubarak Mohammed Alsehaijan akimuelezea jambo Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge walipokutanakatika Ofisi ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge, amekutana...
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU BALOZI KANALI IBUGE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CHINA NCHINI KWA NJIA YA VIDEO
Pamoja na kujadili masuala mbalimbali ya mahusiano ya pande mbili (bilateral relations), viongozi hawa walizungumzia utayari wa Serikali wa nchi zote mbili katika kupambana na mgonjwa wa COVID-19. Sambamba na utayari huo, Katibu Mkuu alimfahamisha Balozi Wang...
5 years ago
Michuzi
PROF. KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI


5 years ago
Michuzi
Waziri Kabudi afanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) afanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Balozi Wang Ke. Mazungumzo yalilenga kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na China ambapo nchi hizi zinaelekea kuadhimisha mika 55 tangu kusainiwa mktaba wa urafiki

10 years ago
Michuzi
Balozi wa Afrika ya Kusini Nchini Tanzania afanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe amesema Pamoja na kuwa Mkoa wa Morogoro una maeneo makubwa ya ardhi bado maeneo hayo hayajatumika ipasavyo na kushiwishi wawekezaji kuja kuwekeza Mkoani humo katika Sekta ya kilimo, Viwanda na Utalii. Dkt. Rutengwe ameyasema hayo hivi karibuni wakati wa mazungumzo baina yake na Balozi wa Afrika ya Kusini Nchini Tanzania Mhe T. D. Mseleku alipomtembelea Ofsini kwake.
Aidha, alimueleza Balozi Mseleku kuwa eneo ambalo...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI WA MABOMBO YA NJE PROF. KABUDI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI
Mazungumzo hayo pia yalihudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge, ambapo walijadili masuala mbalimbali yanayohusu mahusiano baina ya Tanzania na Italia.
Aidha, walitumia mazungumzo hayo...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Mh. Suluhu akutana na balozi wa Norway Nchini,Pia afanya mazungumzo na Mchungaji Stella Matte
.jpg)
.jpg)