Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWENYEKITI WA CCM MKOA WA ARUSHA ONESMO OLE NANGOLE AKITOA SALAAM ZA PONGEZI KWA KINANA NA NAPE


Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CCM MKOA ARUSHA NA KATIBU MWENEZI WA MKOA WAJIUZULU NA KUHAMIA CHADEMA

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Mh. Onesmo Nangole na Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Arusha wamejiuzulu nafasi zao zote na kujiunga na chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA.Katibu mwenezi amemtahadharisha katibu mkuu wa CCM, ache kuwaita Watanzania makapi.

ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAARIFA ZAIDI

 

10 years ago

Vijimambo

CCM YAITIKISA ARUSHA MJINI KINANA NA NAPE WAAHIDI KURUDISHA CHAMA KWENYE MSTARI


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Arusha mjini kwenye uwanja wa mkutano wa Sheikh Amri Abeid ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa CCM itaendelea kuwatetea watu masikini na itahakikisha inawapa nafasi za uongozi watu wanaokubalika na wananchi.
 Mwenyekiti wa CCM wa mkoa Onesmo Ole Nangole akihutubia wananchi wa Arusha ambapo aliwataka mawaziri kufanya ziara vijijini badala ya kukaa maofisini.
 Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Arusha...

 

10 years ago

Michuzi

NANGOLE NA KADOGOO WA CCM ARUSHA, WATIMKIA CHADEMA

Katika hali isiyokuwa ya kawaida Chama cha Mapinduzi kimeendelea kupoteza wanachama  wake mara baada  Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Arusha, Onesmo Nangole pamoja na Katibu Mwenezi wa Mkoa huo Isaac Joseph kutangaza rasmi kukihama chama hicho cha CCM na kujiunga na CHADEMA.
Uamuzi huo ulifanyika jana jijini Arusha katika moja ya hotel maarufu ambapo viongozi hao walipata wasaa wa kupokelewa na uongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Uongozi wa CCM Arusha, Nangole na Kadogoo watimukia CHADEMA

unnamed

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha, Onesmo Ole Nangole (kulia) akizungumza na waandishi wa habari leo mara baada ya kuhamia rasmi chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kushoto ni Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Arusha Isaac Joseph Maarufu kama Kadogoo. (Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)

Katika hali isiyokuwa ya kawaida Chama cha Mapinduzi kimeendelea kupoteza  wanachama  wake mara baada  Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Arusha, Onesmo Nangole pamoja na Katibu Mwenezi wa Mkoa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mrithi wa Nangole CCM Arusha kuanza kusakwa leo

Chama cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Arusha leo kinaanza kutoa fomu kwa wanachama wake watakaowania nafasi ya kujaza nafasi ya mwenyekiti wa Mkoa wa Arusha na katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho kutokana na waliokuwa wakizishikilia kuhamia Chadema.

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AANZA ZIARA YA SIKU NNE MKOA WA DAR ES SALAAM

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akipokelewa kwa shangwe na Wanachama mbalimbali wa chama hicho mapema leo asubuhi alipokuwa akiwasili kwenye ofisi za CCM Wilaya ya Ilala,ambapo alizungumza machache na  kamati ya siasa ya Wilaya na baadae kuanza ziara rasmi wilaya ya Ilala.
 Pichani kulia ni Mwenyekiti Mkoa wa CCM,Dar Es salaam Ndugu Ramadhan Madabida akizungumza jambo mbele ya kamati ya Siasa ya mkoa (hawapo pichani) mapema leo,kwenye ofisi Kuu za CCM mkoa,ambapo Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu...

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA RED CROSS MKOA ARUSHA AKABIDHI MSAADA KWA WALEMAVU


Na Cynthia Mwilolezi, Arusha


CHAMA cha Msalaba Mwekundu (Red Cross), Mkoa wa Arusha, kimetoa msaada wa vyakula, viatu, Blanketi na nguo, kwa wazee nane na watu wenye ulemavu wa aina mbalimbali 22, ikiwa ni maadhimisho ya chama hicho Duniani, ambapo kilele chake Mei 8 kila mwaka.
Akizungumza leo Jijini Arusha, wakati akikabidhi misaada hiyo, Mwenyekiti wa Chama cha Msalaba mwekundu Mkoa wa Arusha, Christopher Nzera, amesema kuwa misaada hiyo ni moja ya shughuli zao wanazofanya za kusaidia...

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA- NAWAPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA NAPE KWA KAZI KUBWA WANAYOIFANYA YA KUKIIMARISHA CHAMA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa kwa furaha na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa wakati wa mapokezi  yaliyofanyika Makuyuni, tayari kuanza ziara mkoani Arusha leo.ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuziMhe. Lowassa amewafagilia Kinana na Nape kwa kazi nzuri wanaoifanya ya kuzunguka mikoa...

 

9 years ago

CCM Blog

SALAAM ZA PONGEZI TOKA CCM TAWI LA UINGEREZA



"CCM TAWI LA UINGEREZA Linatoa Pongezi nyingi sana kwa ushindi mkubwa aliyopata mgombea wetu wa urais Dr. John Pombe Joseph Magufuli pamoja na wabunge, madiwani na wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine kufanikisha ushindi huu mkubwa.

CHAMA CHA MAPINDUZI - UINGEREZA."

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani