MWENYEKITI WA CCM MKOA WA ARUSHA ONESMO OLE NANGOLE AKITOA SALAAM ZA PONGEZI KWA KINANA NA NAPE
![](http://img.youtube.com/vi/AnOhyfDOWG0/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IvGplFBu2eM/VccjfnxwVRI/AAAAAAABTUo/sh_UTnWFjlM/s72-c/1439111816672.jpg)
BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CCM MKOA ARUSHA NA KATIBU MWENEZI WA MKOA WAJIUZULU NA KUHAMIA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IvGplFBu2eM/VccjfnxwVRI/AAAAAAABTUo/sh_UTnWFjlM/s640/1439111816672.jpg)
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAARIFA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-vBidGMlhNEI/VQ2rMlo3aqI/AAAAAAAAYnc/9WqAQ6p9b8Y/s72-c/3.jpg)
CCM YAITIKISA ARUSHA MJINI KINANA NA NAPE WAAHIDI KURUDISHA CHAMA KWENYE MSTARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-vBidGMlhNEI/VQ2rMlo3aqI/AAAAAAAAYnc/9WqAQ6p9b8Y/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XAyBN99fBWM/VQ2rOejHF7I/AAAAAAAAYns/ptaSouZAMdI/s1600/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--nzx5GKBAMA/VQ2rRVuSJNI/AAAAAAAAYn8/yEjtOmRAvxM/s1600/8.jpg)
10 years ago
Michuzi09 Aug
NANGOLE NA KADOGOO WA CCM ARUSHA, WATIMKIA CHADEMA
Uamuzi huo ulifanyika jana jijini Arusha katika moja ya hotel maarufu ambapo viongozi hao walipata wasaa wa kupokelewa na uongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA).
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha...
10 years ago
Dewji Blog09 Aug
Uongozi wa CCM Arusha, Nangole na Kadogoo watimukia CHADEMA
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha, Onesmo Ole Nangole (kulia) akizungumza na waandishi wa habari leo mara baada ya kuhamia rasmi chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kushoto ni Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Arusha Isaac Joseph Maarufu kama Kadogoo. (Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Chama cha Mapinduzi kimeendelea kupoteza wanachama wake mara baada Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Arusha, Onesmo Nangole pamoja na Katibu Mwenezi wa Mkoa...
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Mrithi wa Nangole CCM Arusha kuanza kusakwa leo
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i_mouLroLug/UzEwucZuS1I/AAAAAAACdYU/BSlFzdpKjzM/s72-c/IMG_0671.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AANZA ZIARA YA SIKU NNE MKOA WA DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-i_mouLroLug/UzEwucZuS1I/AAAAAAACdYU/BSlFzdpKjzM/s1600/IMG_0671.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I8lP1n2oQsM/UzEwlw9GFgI/AAAAAAACdX0/ihJkctbh4Pg/s1600/IMG_0631.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-z6ekupjVKe4/VUw5APbpLlI/AAAAAAAA8sY/zOJ40sJ4t6c/s72-c/RED%2BCROSS.jpg)
MWENYEKITI WA RED CROSS MKOA ARUSHA AKABIDHI MSAADA KWA WALEMAVU
![](http://4.bp.blogspot.com/-z6ekupjVKe4/VUw5APbpLlI/AAAAAAAA8sY/zOJ40sJ4t6c/s320/RED%2BCROSS.jpg)
CHAMA cha Msalaba Mwekundu (Red Cross), Mkoa wa Arusha, kimetoa msaada wa vyakula, viatu, Blanketi na nguo, kwa wazee nane na watu wenye ulemavu wa aina mbalimbali 22, ikiwa ni maadhimisho ya chama hicho Duniani, ambapo kilele chake Mei 8 kila mwaka.
Akizungumza leo Jijini Arusha, wakati akikabidhi misaada hiyo, Mwenyekiti wa Chama cha Msalaba mwekundu Mkoa wa Arusha, Christopher Nzera, amesema kuwa misaada hiyo ni moja ya shughuli zao wanazofanya za kusaidia...
10 years ago
MichuziLOWASSA- NAWAPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA NAPE KWA KAZI KUBWA WANAYOIFANYA YA KUKIIMARISHA CHAMA
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-JeMJPo225gA/VjJI71aPY-I/AAAAAAAAqv8/7DMuAhz_Ghc/s72-c/CCM.jpg)
SALAAM ZA PONGEZI TOKA CCM TAWI LA UINGEREZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JeMJPo225gA/VjJI71aPY-I/AAAAAAAAqv8/7DMuAhz_Ghc/s1600/CCM.jpg)
"CCM TAWI LA UINGEREZA Linatoa Pongezi nyingi sana kwa ushindi mkubwa aliyopata mgombea wetu wa urais Dr. John Pombe Joseph Magufuli pamoja na wabunge, madiwani na wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine kufanikisha ushindi huu mkubwa.
CHAMA CHA MAPINDUZI - UINGEREZA."