HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YATOA MIL.626 KWA VIKUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-m-tzBKQFU7w/Xt_ziSHaqTI/AAAAAAALtP8/Z5DJZDGdhpwPIg_47T6xE-bb_rp-x14twCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Na.Ashura Mohamed -Arusha
Halmashauri ya Jiji la Arusha imekabidhidi Hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 626,kwa vikundi 100 vya Mikopo kwa makundi matatu ya Wanawake,Vijana na watu wenye Walemavu.
Akikabidhi Hundi hiyo Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro alisema fedha hizo ni kutoka Mapato ya ndani ambapo lengo ni kuwawezesha wananchi, kiuchumi ili kutimiza Sera ya Serikali ya Awamu ya Tano.
Daqqaro alisema kuwa serikali ya Sasa imekuwa ikisisitiza uwekezaji kwenye sekta ya Viwanda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Nov
Jiji la Arusha hupoteza mil.60/- kwa mwezi
KAMATI Ndogo ya Madiwani ya Halmashauri ya Jiji la Arusha, imegundua kuwa Halmashauri ya Jiji la Arusha imekuwa ikipoteza zaidi ya Sh milioni 60 kwa mwezi.
11 years ago
Habarileo12 Dec
CCM waibana Halmashauri ya Jiji Arusha
KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Arusha imeuagiza uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kuhakikisha miradi yote iliyokuwa imeanza kujengwa inakamilika kwa wakati bila ya kuwa na visingizio.
10 years ago
VijimamboHALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA YATOA UFAFANUZI WA SINTOFAHAMU UKARABATI WA BARABARA YA IGANZO- KABWE.
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
WWF yaijengea uwezo halmashauri ya jiji la Arusha kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
![](http://4.bp.blogspot.com/-hZAVCEeh5ZU/VmA4x6vDPMI/AAAAAAAAFFs/XhKh4lXYyoY/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gXWwSp8uxk4/VmA41hq_gMI/AAAAAAAAFF0/MlnqCTXCtWI/s640/2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hZAVCEeh5ZU/VmA4x6vDPMI/AAAAAAAAFFs/XhKh4lXYyoY/s72-c/1.jpg)
WWF YAIJENGEA UWEZO HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-hZAVCEeh5ZU/VmA4x6vDPMI/AAAAAAAAFFs/XhKh4lXYyoY/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gXWwSp8uxk4/VmA41hq_gMI/AAAAAAAAFF0/MlnqCTXCtWI/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gfi_2F-9b98/Xk0QZFKrGeI/AAAAAAAAIHs/NCj9Um7bAlkffrTw_W_fUn62JfoFOv3EQCEwYBhgL/s72-c/IMG_20200219_121056_052_1582103530257.jpg)
BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YATAKA UWEKEZAJI KWENYE VILIMA Na MAENEO YA WAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Gfi_2F-9b98/Xk0QZFKrGeI/AAAAAAAAIHs/NCj9Um7bAlkffrTw_W_fUn62JfoFOv3EQCEwYBhgL/s640/IMG_20200219_121056_052_1582103530257.jpg)
Aidha Baraza hilo likataka Taarifa za mikopo ilivyotolewa na fedha zilizorejeshwa na kuainishwa vikundi na kundi maalumu walionufaika na mikopo ya vijana na kinamama.
Akiongea kwenye kikao hicho Diwani wa kata ya Muriet Mbise alisema taarifa hiyo ipo sawa hivyo waendelee na mjadala...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-g1gUM7lcqHQ/XtyWJVa4LbI/AAAAAAAC6_M/KW0ju0H3xR04NNrZUQeu0yAHSE-0HKFkACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KALIUA YATOA MIKOPO YA MILIONI 332 KWA VIKUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-g1gUM7lcqHQ/XtyWJVa4LbI/AAAAAAAC6_M/KW0ju0H3xR04NNrZUQeu0yAHSE-0HKFkACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mikopo hiyo imekabidhiwa jana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemani Jaffo kwa niaba ya uongozi wa Halmashauri hiyo.
Akizungumza katika hafla ya kukabidhi mikopo hiyo , Mkurugenzi Mtendaji Dkt. John Pima alisema kati ya fedha shilingi milioni 215 kwa vikundi 38.
Alisema wametoa pikipiki 10...
10 years ago
StarTV28 Jan
Halmashauri Gairo yaidai Halmashauri Kilosa Sh. Mil. 253
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Halmashauri ya wilaya Mpya ya Gairo mkoa Morogoro imeiangukia Serikali kuwasaidia kurejeshwa kwa fedha za mapato ya ndani zaidi ya shilingi milioni 250 ambazo zimechukuliwa na halmashauri mama ya wilaya ya Kilosa hali inayofanya Gairo kuonesha upungufu katika makusanyo ya ndani.
Halmashauri ya wilaya ya Kilosa imekuwa ikichukua mapato ya ndani ya halmashauri ya Gairo kupitia wakala wa kukusanya mapato walioingia mkataba na wilaya hiyo ya Kilosa kabla...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UKGEhBwGJyc/XmYK03GPH2I/AAAAAAALiLI/JfBrpfgN6IEBnRUBOpD7dwy_TCuH0PsEQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
KALIUA YATOA MKOPO WA MILIONI 345 KWA VIKUNDI 57 KATIKA KUSHEREKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kaliua imekabidhi mkopo wa shilingi milioni 345 kwa vikundi 57 ikiwa ni sehemu ya asilimia 10 ya mapato yake ya ndani katika mwaka wa fedha unaoendelea.
Taarifa hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Dkt. John Pima wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo kimkoa yalifanyika jana Wilayani humo.
Alisema kati ya fedha hizo vikundi 28 vya wanawake vimepokea milioni 184, vikundi 19 vya vijana vimekopeshwa 133.5 na...