Siwezi Kumjibu Mtu Anayesema Sema Ovyo Kuwa Nakusanya watu Wanishawishi Kugombea Urais
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNxQP6q5wKo/VREh4VRL83I/AAAAAAAAqis/tpM1Kj7Wirc/s72-c/EdwardLowassa.jpg)
LowassaAkiongea mbele ya wachungaji wa madhehebu mbalimbali ya kikristo waliokwenda kumshawishi agombee urais wa Tanzania, Lowassa amesema hawezi kumjibu mtu aliyebwabwaja katika magazeti kuwa anakusanya watu eti kwa lengo la kupata uungwaji mkono! Amesema akimjibu atampa ujiko hivyo amemdharau!Katika magazeti ya leo yalimnukuu Makamba akidai kuwa kuna watu wanatumia fedha zao kusafirisha na kuwalipa watu ilikujionyesha mbele ya jamii kuwa wanashawishiwa kuomba urais!
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-8w2dQYMcqJI/VfYRvYX0oWI/AAAAAAAH4ek/5PLfjExuIv0/s72-c/z1.jpg)
GHARIKA YA WATU YASHUHUDIA UZINDUZI RASMI WA KAMPENI ZA CCM ZA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-8w2dQYMcqJI/VfYRvYX0oWI/AAAAAAAH4ek/5PLfjExuIv0/s640/z1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-I1RyiGL-e3I/VfYSTh7HiII/AAAAAAAH4fs/D5Msu1j1-DU/s640/z2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutGYkhT2J8BLrLit3nY6CeA*3qF7YymMU*O8EOe*-W4e3C963ttLnjl9bPiFLfDIp1F50iYYr8VXMaP4J1NHrsd/lum.jpeg?width=300)
Vijana wapiganie sasa haki ya kugombea urais, Vijana wasisubiri wazee wawaruhusu kugombea urais
10 years ago
MichuziWATU ZAIDI YA 700 WAANDAMANA KWENDA KWA LOWASA KUMSHAWISHI ATANGAZE NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015
Katibu wa Chama cha Wasioona Mkoa wa Kilimanjaro (TLB), Protas Soka Akisoma risala kwa niaba ya makundi hayo mbele ya mbunge wa jimbo la monduli
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
Watu zaidi ya 700 waandamana kwenda kwa Lowassa kumshawishi atangaze nia ya kugombea Urais 2015
Makundi mbalimbali ya kijamii ya mikoa ya Kaskazini, inayojumuisha mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Arusha na Manyara wakiwa wanaandamana kwa pamoja kuelekea kwa mbunge wa jimbo la Monduli hii leo.
![SAM_4318](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/SAM_4318.jpg)
Katibu wa Chama cha Wasioona Mkoa wa Kilimanjaro (TLB), Protas Soka akisoma risala kwa niaba ya makundi hayo mbele ya mbunge wa jimbo la Monduli.
![SAM_4337](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/SAM_4337.jpg)
Viongozi mbalimbali wa makundi ya kijamii wakiwa wanamkabidhi Waziri Mstaafu ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Monduli Edward Lowasa bahasha...
11 years ago
Mwananchi02 May
Shule yafungwa Bunda baada ya watu kujisaidia ovyo madarasani
10 years ago
Bongo517 Sep
New Music: Dogo D — Siwezi Kuwa wako
9 years ago
Bongo506 Nov
Siwezi kuoa kwa kuwaridhisha watu — Izzo Bizness
![Izzo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Izzo-300x194.jpg)
Rapper anayeiwakilisha Mbeya city, Izzo Bizness amesema kuwa hana mpango wa kuoa kwa sasa licha ya kuwa yuko kwenye mahusiano na tayari ni baba wa mtoto mmoja.
Tumeshawasikia mastaa wengi ambao wameweka bayana sababu za kwanini hawataki kuoa au kuolewa kwa sasa, lakini kwa upande wa Izzo hii ndio sababu aliyoitoa.
“Umri unaenda lakini ndoa ni mipango, siwezi kuoa kwa kuwaridhisha watu kwa kuwa mimi ni kioo cha jamii, si kitu rahisi kama watu wanavyofikiria ingawa niko kwenye mahusiano”,...
10 years ago
Bongo510 Nov
Sitti: Siwezi kuwazuia watu kuongea, Ridhiwani amtia moyo
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.