Sitti: Siwezi kuwazuia watu kuongea, Ridhiwani amtia moyo
Aliyekuwa Miss Tanzania 2014 hadi Jumamosi iliyopita, Sitti Mtemvu leo ametoa kauli yake mpya ikiwa ni siku chache baada ya kutangaza kujivua taji hilo. Sitti ambaye taji la alilovua amepewa Lilian Kamazima kupitia twitter aliandika: Siwezi kuwazuia watu kuongea lakini naweza kujizuia kuzungumza — Sitii Abbas (@SitiiAbbasMtevu) November 10, 2014 Naye Mbunge wa Chalinze Ridhiwani […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXo2OZjIbawBqGVO8-zUy4Upf4sn4xL7fCrl5iRq3FnNAJt0EtKLrNE8I1eA6fXwvMCOx2Kz77gY-cy6drq9HPAe/MAFUFUNAHBABA.jpg?width=650)
MAFUFU: SIWEZI KUONGEA NA H.BABA MILELE
10 years ago
CloudsFM13 Apr
Wema Sepetu alia na wanaomsakama kuwa hazai,Riyama Ally amtia moyo
Staa wa Bongo,Wema Sepetu amewafungukia baadhi ya watu wanaomsakama mara kwa mara kuwa hawezi kupata mtoto na kwamba yeye ni mgumba.
Kupitia mtandao wa Instagram Wema aliandika kuwa maneno hao yanamuumiza kama binadamu na angekuwa na uwezo wa kuzaa angezaa muda mrefu na kwamba hana na hawezi kumkufuru Mwenyezi Mungu.
9 years ago
Bongo506 Nov
Siwezi kuoa kwa kuwaridhisha watu — Izzo Bizness
![Izzo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Izzo-300x194.jpg)
Rapper anayeiwakilisha Mbeya city, Izzo Bizness amesema kuwa hana mpango wa kuoa kwa sasa licha ya kuwa yuko kwenye mahusiano na tayari ni baba wa mtoto mmoja.
Tumeshawasikia mastaa wengi ambao wameweka bayana sababu za kwanini hawataki kuoa au kuolewa kwa sasa, lakini kwa upande wa Izzo hii ndio sababu aliyoitoa.
“Umri unaenda lakini ndoa ni mipango, siwezi kuoa kwa kuwaridhisha watu kwa kuwa mimi ni kioo cha jamii, si kitu rahisi kama watu wanavyofikiria ingawa niko kwenye mahusiano”,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s72-c/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s640/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
(JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza jambo wakati alipotembelea kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona namna ambavyo madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo watakavyoweza kutoa huduma kwa wagonjwa hao.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3c2cd5fd-6b2b-42d2-be30-a77349e8dea5.jpg)
Msimamizi wa kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) Dkt. Stanley Binagi akielezea...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rNxQP6q5wKo/VREh4VRL83I/AAAAAAAAqis/tpM1Kj7Wirc/s72-c/EdwardLowassa.jpg)
Siwezi Kumjibu Mtu Anayesema Sema Ovyo Kuwa Nakusanya watu Wanishawishi Kugombea Urais
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNxQP6q5wKo/VREh4VRL83I/AAAAAAAAqis/tpM1Kj7Wirc/s640/EdwardLowassa.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eyPN0_fzFVY/VTy79AlH-JI/AAAAAAAHTWw/coTUlPURNzo/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
Sitti Tanzania Foundation inakuletea Chozi la Sitti 02.05.2015 @Mlimani City Conference Hall
![](http://3.bp.blogspot.com/-eyPN0_fzFVY/VTy79AlH-JI/AAAAAAAHTWw/coTUlPURNzo/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
Sitti Abbas Mtemvu, jina alilopewa kutoka kwa Bibi yake mzaa Baba, ambae nae wakati wa enzi zake alipewa jina hilo kutokana na umahiri wake wa kughani akifananishwa na msanii na mtunzi maarufu aliepata kutokea akiitwa Siti Binti Saad. Umahiri wa bibi ulimfanya kuwahi kushinda tuzo mbalimbali za sanaa wakati huo katika ukumbi maarufu wa burudani ulioitwa Anatoglou…….Nae alipozaliwa alipewa tunu, tunu ya jina la Sitti. Haya ni machache latika kitabu chake kipya kikiitwa – Chozi la Sitti……Kwa...