Wema Sepetu alia na wanaomsakama kuwa hazai,Riyama Ally amtia moyo
Staa wa Bongo,Wema Sepetu amewafungukia baadhi ya watu wanaomsakama mara kwa mara kuwa hawezi kupata mtoto na kwamba yeye ni mgumba.
Kupitia mtandao wa Instagram Wema aliandika kuwa maneno hao yanamuumiza kama binadamu na angekuwa na uwezo wa kuzaa angezaa muda mrefu na kwamba hana na hawezi kumkufuru Mwenyezi Mungu.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R9iQ98R69gDFMO*gZiXoNdxDUX651LMYJUB1TsvB7PHD6JJl555P9c*DhnaeftrLlBWOhyQPkDY7dn3mhrNoRsu/wema.jpg?width=650)
WEMA SEPETU ALIA KUTOPATA MTOTO!
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--5yCKWG5y2c/VbUz8NiJhtI/AAAAAAABSvM/VD5gZd0IfP0/s72-c/WEMA%2BSEPETU.jpg)
NDOTO YA WEMA SEPETU KUWA MBUNGE YAYEYUKA
![](http://3.bp.blogspot.com/--5yCKWG5y2c/VbUz8NiJhtI/AAAAAAABSvM/VD5gZd0IfP0/s640/WEMA%2BSEPETU.jpg)
Hiyo ni baada ya kushindwa kuwashawishi wanachama wa CCM mkoani mkoani Singida kumpa dhamana ya kuwawakilisha kwenye viti maalum vya ubunge.Wema ameshindwa kupita kwenye kura za maoni za ubunge huo kwa kupata kura 90 tu. Aliyeongoza kwenye kinyang’anyiro hicho ni Aysharose Mattembe (311), Martha Mlata (235) na Diana Chilolo (182).Wema amekubali kushindwa na kudai kuwa ushiriki wake umempa ujasiri zaidi.“Nilivyoamua...
10 years ago
Bongo Movies19 Apr
Huu Ndio Wito Mpya wa Wema kwa Wanaomsakama
Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu amewataka watu wanomsakama kwa maneno waache apumzike kufanya hivyo kwani yeye ni binadamu kama ilivyo kwa wengine na anaumia kama wanavyoumia wengine.
Akiongea na gazeti la Mwananchi, We alikuwa akizungumzia ujumbe aliouandika hivi karibuni katika mtandao wa Instagram kuhusu kutopata mtoto, anasema kuna watu hawajali maumivu yake ndiyo maana kila kukicha wanamkashifu.
“Watu hao hawawezi kutafuta jema langu na kunisifu, kazi yao kunisanifu na...
10 years ago
Bongo510 Nov
Sitti: Siwezi kuwazuia watu kuongea, Ridhiwani amtia moyo
10 years ago
Bongo Movies03 Feb
Mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu athibitisha kuwa ZARI ni mjamzito
Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.
Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika
“Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...
9 years ago
Bongo518 Aug
Hackers waigeuza akaunti ya Instagram ya Fid Q kuwa ya Wema Sepetu!
11 years ago
Bongo Movies13 Jul
Kajala afunguka kuwa wema sepetu ni mnafiki na si rafiki wa kweli.
STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa kinafiki huku akidai Wema ni kigeugeu.
Akizungumza kwa kujiamini mbele ya waandishi wa GPL, juzi Jumatano pande wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, Kajala alisema: “Wema ni mnafiki kabisa. Upatanisho wetu ni wa uongo. Mimi moyoni nimeondoa kinyongo lakini mwenzangu naona kama bado ana donge moyoni.”
Kajala alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvtsf80eUzEv34RLbVSCu2wIkhSnYQPsnGLBaJrbX1pedkoOI42ld3PPwwK3g8rH11W9cu0ciK8*H4eN8SDWITH1/wema8.jpg)
MASHABIKI WAUMIZWA NA UJUMBE WA WEMA SEPETU KUWA HANA UWEZO WA KUSHIKA MIMBA
10 years ago
Bongo Movies11 Mar
Wema Sepetu Amsifia Chaz Baba Kuwa Ndiye Aliyekuwa Mwanaume wa Kweli!
Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu amekanusha kurudiana na mpenzi wake wa zamani Chaz Baba japo amedai kuwa muimbaji huyo wa muziki wa band ndiye mwanaume wa pekee ambaye hakuwa na masuala ya kiswazi baada ya kuachana.
Wema ameiambia U Heard ya Clouds FM Jumatano hii kuwa Chaz Baba kwa sasa ni mshkaji wake na hata alipooa alimchangia pesa.
“Chaz Baba alikuwa ni msikaji wangu naweza kusema ndio boyfriend pekee asiye na mambo ya Kiswahili,” amesema. “Tulizinguana tukafika pointi...