Wema Sepetu Amsifia Chaz Baba Kuwa Ndiye Aliyekuwa Mwanaume wa Kweli!
Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu amekanusha kurudiana na mpenzi wake wa zamani Chaz Baba japo amedai kuwa muimbaji huyo wa muziki wa band ndiye mwanaume wa pekee ambaye hakuwa na masuala ya kiswazi baada ya kuachana.
Wema ameiambia U Heard ya Clouds FM Jumatano hii kuwa Chaz Baba kwa sasa ni mshkaji wake na hata alipooa alimchangia pesa.
“Chaz Baba alikuwa ni msikaji wangu naweza kusema ndio boyfriend pekee asiye na mambo ya Kiswahili,” amesema. “Tulizinguana tukafika pointi...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo Movies13 Jul
Kajala afunguka kuwa wema sepetu ni mnafiki na si rafiki wa kweli.
STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa kinafiki huku akidai Wema ni kigeugeu.
Akizungumza kwa kujiamini mbele ya waandishi wa GPL, juzi Jumatano pande wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, Kajala alisema: “Wema ni mnafiki kabisa. Upatanisho wetu ni wa uongo. Mimi moyoni nimeondoa kinyongo lakini mwenzangu naona kama bado ana donge moyoni.”
Kajala alisema...
11 years ago
Bongo510 Aug
Rihanna awadiss Drake na Chris Brown, asema Eminem ndiye mwanaume wa kweli
10 years ago
Bongo Movies21 Jun
Mzee Majuto Amuunga Mkono Wema Sepetu, Diamond Amtaka Wema Abadilike Kama Kweli Anautaka Ubunge
Mzee Majuto kwa mara ya kwanza ameamua kufunguka kumuunga mkono Wema Sepetu kwa nia yake ya kutaka kuwa mbunge.Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Mzee Majuto ameandika;
Nisingependa kuyaongea haya kwenye mfungu mtukufu ila kiundani ningependa kuonyesha umoja na kumuunga mkono wazo na lengo la Mwanangu kwa kuwa anaweza na amethubutu sasa isitokee wale wasiopenda maendeleo ya watu na taifa hili kuvuruga misingi na mipango madhubuti ya kuwapa nafasi vijana na hasa wanawake kushika hatamu na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NrG6ClGsFO5dFKq9yqpPDpEHr-hW8Z6Z304RzFtgrBfKboH81iA3lTRwjZ9mUS77yCt*gL9WB1RnxGphNbz*CS/BREAKINGNEWS.gif)
WEMA SEPETU NDIYE IJUMAA SEXIEST GIRL
10 years ago
Bongo Movies25 Jan
HOJA:Ni kweli umaarufu wa Wema Sepetu umeshuka baada ya kuachana na Diamond?
Kutoka kwenye familia ya kawaida (kama zilivyo familia nyingi za Kitanzania), Diamond alikuwa akihaha huku na kule kutafuta fedha ya kuingia studio.
Fast forward – kwa kuungaunga hivyo hivyo alifanikiwa kurekodi wimbo uliokuja kubadilisha maisha yake, ‘Kamwambie’.
Ni wimbo aliouandika kwa hisia kutokana na kuhusisha kisa cha kweli cha kuachwa na msichana....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qSAS7eZtx6A1k0XrB3Ga3tTMN4RAePSMqazMO364RtdMCmdYJWoZoj2uT2F8vnQvnsTNCrtDIBXEk3Mq2ZPWIPAUwetVwf7o/haji.gif?width=650)
BABA HAJI ASHANGILIA ANGUKO LA WEMA SEPETU!