Rihanna awadiss Drake na Chris Brown, asema Eminem ndiye mwanaume wa kweli
Rihanna anahisi Drake na Chris Brown bado wana harufu ya maziwa ya mama zao, na Eminem ndiye mwanaume halisi. Rihanna, 26, yupo kwenye ziara ya pamoja na Eminem, 41, Monster na kwa mujibu waHollywoodLife.com, Riri anapenda kupanda jukwaani na Eminem na anadai kuwa ni muda mrefu tangu atumbuize na ‘mshindi wa kweli’. Kwa mujibu wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
Rihanna; Chris Brown ataingia Australia ?
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Rihanna: Naweza kubadilisha maisha ya Chris Brown
NEY YORK, MAREKANI
MSANII wa muziki nchini Marekani, Robyn Fenty ‘Rihanna’, amesema kuwa yeye ni mtu pekee anayeweza kumbadilisha, Chris Brown.
Awali wawili hao walikuwa wapenzi, walipoachana Chris akadondokea kwa Karrueche Tran, hata hivyo hakudumu naye baada ya Chris kuletewa mtoto na mpenzi wake wa zamani, Nia Guzman.
Kutokana na kuyumba huku katika mapenzi, Rihanna ameshindwa kuzuia hisia zake na kusema kuwa yeye ndiye mwanamke pekee anayeweza kumbadilisha msanii huyo.
“Nilimzoea sana...
10 years ago
GPL24 Feb
11 years ago
Bongo512 Jul
Picha: Drake na Chris Brown wamaliza beef yao, waonekana studio pamoja
10 years ago
Bongo527 Jan
Kesi ya kumdunda Rihanna yamsababisha Chris Brown aahirishe ziara yake
11 years ago
Bongo521 Jul
Producer aliyewakutanisha Chris Brown na Drake na kumaliza beef yao aeleza jinsi ilivyokuwa
11 years ago
Bongo517 Jul
Video: Drake na Chris Brown waigiza pamoja kwenye ‘skit’ ya tuzo za ESPY 2014