Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Huu Ndio Wito Mpya wa Wema kwa Wanaomsakama

Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu amewataka watu wanomsakama kwa maneno waache apumzike kufanya hivyo kwani yeye ni binadamu kama ilivyo kwa wengine na anaumia kama wanavyoumia wengine.

Akiongea na gazeti la Mwananchi, We alikuwa akizungumzia ujumbe aliouandika hivi karibuni katika mtandao wa Instagram kuhusu kutopata mtoto, anasema kuna watu hawajali maumivu yake ndiyo maana kila kukicha wanamkashifu.

“Watu hao hawawezi kutafuta jema langu na kunisifu, kazi yao kunisanifu na...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndio Wito wa Mtunis kwa Watanzania Waishio ‘SAUZI’

Utani Kidogo: Kufuatia kile kinachoendelea kule Afrika Kusini,  na tamko la waziri wa mambo ya nje wa hapa Tanzania, Staa wa Bongo Movies, Nice Mohammed ‘Mtunis’  ameandika hii kwenye kukursa wake mtandaoni

"Haya jamani wale wenzangu na mimi ambao mumekaa muda mrefu huko SOUTH AFRICA na ukajikuta hata nauli ya kurudia NYUMBANI huna mbaya zaidi hata sababu ya kujitetea muda wote huo umekaa huko huna ulichokifanya mungu keshashua neema yake ni kiasi tu cha kwenda pale kwenye ile KAMBI YA...

 

10 years ago

CloudsFM

Wema Sepetu alia na wanaomsakama kuwa hazai,Riyama Ally amtia moyo

Staa wa Bongo,Wema Sepetu amewafungukia baadhi ya watu wanaomsakama mara kwa mara kuwa hawezi kupata mtoto na kwamba yeye ni mgumba.

Kupitia mtandao wa Instagram Wema aliandika kuwa maneno hao yanamuumiza kama binadamu na angekuwa na uwezo wa kuzaa angezaa muda mrefu na kwamba hana na hawezi kumkufuru Mwenyezi Mungu.

Baada ya kuandika maneno hayo msanii wa filamu za Kibongo,Riyama Ally alimtia moyo na kumwambia hivi…. naomba hapa unisikie kwamakini nabii ibrahim alimpata na bii ismail akiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani