Huu Ndio Wito wa Mtunis kwa Watanzania Waishio ‘SAUZI’
Utani Kidogo: Kufuatia kile kinachoendelea kule Afrika Kusini, na tamko la waziri wa mambo ya nje wa hapa Tanzania, Staa wa Bongo Movies, Nice Mohammed ‘Mtunis’ ameandika hii kwenye kukursa wake mtandaoni
"Haya jamani wale wenzangu na mimi ambao mumekaa muda mrefu huko SOUTH AFRICA na ukajikuta hata nauli ya kurudia NYUMBANI huna mbaya zaidi hata sababu ya kujitetea muda wote huo umekaa huko huna ulichokifanya mungu keshashua neema yake ni kiasi tu cha kwenda pale kwenye ile KAMBI YA...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies19 Apr
Huu Ndio Wito Mpya wa Wema kwa Wanaomsakama
Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu amewataka watu wanomsakama kwa maneno waache apumzike kufanya hivyo kwani yeye ni binadamu kama ilivyo kwa wengine na anaumia kama wanavyoumia wengine.
Akiongea na gazeti la Mwananchi, We alikuwa akizungumzia ujumbe aliouandika hivi karibuni katika mtandao wa Instagram kuhusu kutopata mtoto, anasema kuna watu hawajali maumivu yake ndiyo maana kila kukicha wanamkashifu.
“Watu hao hawawezi kutafuta jema langu na kunisifu, kazi yao kunisanifu na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s72-c/IMG-20150704-WA0030.jpg)
WITO WATOLEWA KWA WATANZANIA KUJITOLEA KUWASAIDIA WATU WENYE UHITAJI IKIWEMO WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLGd3AdGYI/VZk0b_9tHRI/AAAAAAAC8RQ/9NVypqUsEGc/s640/IMG-20150704-WA0030.jpg)
Baadhi ya wanalyalamo wakijumuika na watoto wa Kituo cha Yatima Group Trust Fund..
![](http://4.bp.blogspot.com/-rIjY5UMGz4Q/VZk0Ql0QpiI/AAAAAAAC8RE/iu5Ygu8kW2c/s640/IMG-20150704-WA0034.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-53mDpuylgNc/VZk0b3nplLI/AAAAAAAC8RM/o0tnve-XN1s/s640/IMG-20150704-WA0037.jpg)
baadhi ya wanalyamo family katika picha ya pamoja na mkurugenzi mtendaji wa kituo hicho, Winfrida Lubanza(mwenye miwani na blauzi nyeusi)
WITO umetolewa kwa Watanzania nchini kujitolea kwa hali na mali usaidia watu wenye uhitaji ikiwemo watoto yatima wanaolelewa kwenye vituo mbalimbali. Wito huo umetolewa jana na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo Chanika, jijini Dar es Salam,...
10 years ago
GPLWATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6UmQFqx-edg/Uyya8bTscPI/AAAAAAAFVkc/0gObDx57SaQ/s72-c/unnamed+(3).jpg)
TANGAZO KWA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6UmQFqx-edg/Uyya8bTscPI/AAAAAAAFVkc/0gObDx57SaQ/s1600/unnamed+(3).jpg)
Mkutano huo utafanyika katika ukumbi wa Sattavis Patidar Centre, Forty Avenue, Wembley Park, London, Middx, HA9 9BE, kuanzia saa 10 jioni (16:00).
Katika Mkutano huo, Mhe.Rais Kikwete atazungumzia maendeleo ya nchi yetu na pia kutumia fursa hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-480fMhr3RS0/U_1hkzLIz2I/AAAAAAAC6v8/6wGUmqP1w-A/s72-c/STanzaniaEm14082617540_0001.jpg)
11 years ago
GPL20 Feb
11 years ago
Michuzi03 Jul
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
TaGLA yatoa wito kwa Watanzania kushiriki kutumia mafunzo ya mtandao
Mkurugenzi Mtendaji,Wakala wa Mafunzo kwa Njia ya Mtandao(TaGLaA) Bw.Charles Senkondo (katikati mstari wa mbele )akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu mafanikio ya taasisi hiyo pamoja na kuanzishwa kwa maktaba ya kisasa za maendeleo ikishirikiana na wadau mbali mbali ndani na nje ya nchi.(Picha na Magreth Kinabo- Maelezo).
Baadhi ya waandishi wa habari leo wakiwa katika mafunzo kuhusu Wakala wa Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLaA) inavyofanya kazi na mafanikio...
11 years ago
Michuzi09 Apr
NSSF yatambulisha bima ya ''WESTADI'' kwa watanzania waishio Ughaibuni
Kabla ya kuwasili kwake mh Rais shirika la NSSF lilipata fursa ya kutambulisha bima ya ''WESTADI'' kwa watanzania wote waishio Ughaibuni ili kuwawezesha kupata unafuu wa kusafirisha mwili au mazishi pale popote alipo mara anapofariki ughaibuni. Pia Bima hio kusaidia matibabu kwa ndugu na jamaa kadhaa...