MAFUFU: SIWEZI KUONGEA NA H.BABA MILELE

Stori: Gladness Mallya LILE bifu lililopo kati ya msanii wa muziki na filamu, Hamis Ramadhani ‘H.Baba’ na Jimmy Mafufu limezidi kushika kasi ambapo Mafufu ameapa kutozungumza na H. Baba milele. H. Baba. Akistorisha na gazeti hili Jimmy alisema anamshangaa H.Baba kusema kuwa anatafuta umaarufu kupitia jina lake jambo ambalo siyo kwani yeye ni maarufu tangu zamani na hawezi kupata umaarufu kupitia kwa mkata...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAFUFU: SIWEZI KUHAMA UKAWA
10 years ago
Bongo510 Nov
Sitti: Siwezi kuwazuia watu kuongea, Ridhiwani amtia moyo
11 years ago
GPL
SAJENTI: SIWEZI KUSAHAU KITENDO CHA CHAZ BABA KUMKANA MWANANGU
11 years ago
Habarileo16 Dec
Pumziko la milele
YALIKUWA maziko ya kifamilia, lakini ya familia kubwa ya Nelson Mandela kutoka kila pembe ya dunia, pale mwili wake ulipokuwa ukiwekwa katika nyumba yake ya milele. Serikali ya Afrika Kusini iliweka wazi mapema kuwa maziko hayo yatakuwa ya familia na watu wa karibu na Mandela tu, kiasi ambacho hata mabalozi wa nchi mbalimbali katika nchi hiyo, hawakupata fursa ya kushiriki.
10 years ago
Bongo Movies21 Sep
Mafufu ‘Kufia’ UKAWA
Muandaaji na muigizaji wa filamu , Jimmy Mafufu amesema hawezi kuhama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa sababu kila upande wa siasa una changamaoto zake.
Mafufu amesema alihama Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenda UKAWA kwasababu matatizo mengi yanayohusiana na sanaa ya filamu yalikuwa hayajapatiwa ufumbuzi na serikali yake.
Ameseme yupo UKAWA iliyomsimamisha Edward Lowassa kuwa mgombea Urais wake katika uchaguzi wa mkuu mwezi ujao kwasababu anaamini atafikia malengo aliyojiwekea...
10 years ago
GPL
MAFUFU AMSHUSHA RADO GARINI
11 years ago
GPL
MAFUFU AWABWA-TUKIA MASTAA
10 years ago
GPLMAFUFU AKUBALI KUITWA ZOBA
10 years ago
GPL
MAFUFU ASHUSHIWA KIPIGO NA MKEWE!