MAFUFU ASHUSHIWA KIPIGO NA MKEWE!
![](http://api.ning.com:80/files/h04tScqf3LaHDD*cMzrj9MkDutGiuu7yea9K-7F9av5-O4KHQDIl-hj0dIpDJ5ULl7KHnv9L1Awp2OemwCX1Rnck3eyCq-ff/Mafufu.jpg)
KIPIGO! Licha ya kujulikana na kuogopeka kwa ukorofi na ubabe uliopitiliza, muigizaji wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu, amechezea kichapo kutoka kwa mkewe wa ndoa, Salma Mafufu kwa kile kilichoelezwa kuchelewa kurudi nyumbani....Soma zaidi===>http://goo.gl/bFk7Nj
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAFUFU AMPA MASHARTI MAGUMU MKEWE!
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Mkurugenzi wa Camatec ashushiwa tuhuma nzito
11 years ago
GPL10 years ago
Bongo509 Dec
Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!
9 years ago
Bongo Movies21 Sep
Mafufu ‘Kufia’ UKAWA
Muandaaji na muigizaji wa filamu , Jimmy Mafufu amesema hawezi kuhama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa sababu kila upande wa siasa una changamaoto zake.
Mafufu amesema alihama Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenda UKAWA kwasababu matatizo mengi yanayohusiana na sanaa ya filamu yalikuwa hayajapatiwa ufumbuzi na serikali yake.
Ameseme yupo UKAWA iliyomsimamisha Edward Lowassa kuwa mgombea Urais wake katika uchaguzi wa mkuu mwezi ujao kwasababu anaamini atafikia malengo aliyojiwekea...
9 years ago
GPLMAFUFU: SIWEZI KUHAMA UKAWA
9 years ago
GPLMAFUFU AKUBALI KUITWA ZOBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq19my66at3UMHYho*l-COSthcvpyVEIwNkwNN-g8Yf8jEyMdeQ2vc13yQB-TodEhCULPE4ylNaVAZ1L-c7hB9FVI/mafufu.jpg?width=650)
MAFUFU AWABWA-TUKIA MASTAA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yKWLMefqYByjRN4389TX3KsJgcOFbyI4bxGH1NefARP6C*nBy6djH91f1M5wwFH06VHLc7bZ1Z01wcGvuXv2K3HsW41wFpne/rado.jpg?width=650)
MAFUFU AMSHUSHA RADO GARINI