Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!
Rapper wa Marekani, Earl Hayes amemuua mke wake Stephanie Moseley aliyekuwa staa kwenye kipindi cha “Hit the Floor” cha VH1 kwa risasi na yeye kujiua kutokana na wivu wa mapenzi. Stephanie Moseley Hayes alikuwa ameumizwa na uhusiano wa kimapenzi aliokuwa nao mke wake na Trey Songz. Stephanie Moseley aliuawa nyumbani kwao na mume wake huyo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Bomoabomoa Dar, Vigogo wa TRA waachiwa, Mume amuua mkewe kisha kujiua, ya Jaji Bomani..MAGAZETINI
MTANZANIA Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema afya yake ni njema na anaendelea na majukumu yake ya kila siku kama kawaida. Amesema hivi sasa yuko India alikokwenda kufanya uchunguzi wa afya yake katika Hospital ya Apollo na kwamba madaktari wake bado wanaendelea kumfanyia uchunguzi wa macho. Akizungumza jana kupitia simu yake ya kuganjani kutokea nchini […]
The post Bomoabomoa Dar, Vigogo wa TRA waachiwa, Mume amuua mkewe kisha kujiua, ya Jaji Bomani..MAGAZETINI appeared first on...
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Amuua mkewe kwa wivu wa mapenzi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4y8moz0H9-U4viFRm2ux*OVWD6FRM7ozzMtfDumLkTNXubXIOy1RRQGLbxUqX2a3*CCGnEJeAnpB8I4*s5LQnVa/mchepuko.jpg)
AMUUA MKEWE KWA SULULU, AJINYONGA
11 years ago
Uhuru Newspaper08 Jul
Muuza nyama amuua mkewe kwa mapanga
NA SHAABAN MDOE, ARUSHA.
POLISI mkoani Arusha, inamsaka muuza nyama, Lucas Lomayan (35), mkazi wa Ilboru, kwa tuhuma za kumuua mkewe kwa kumcharanga mapanga kwa kile kinachodaiwa wizi wa fedha za biashara na wivu wa kimapenzi.
Akizungumza na Uhuru, mtoto wa wanandoa hao, Jesca Lucas (10), alidai juzi saa 10 alfajiri, alisikia baba na mama yake wakizozana kuhusiana na masula ya wizi wa fedha na wivu wa kimapenzi.
Alidai baba yake alimweleza kwa ukali mama yake kuwa, alichukua fedha sh. 600,000...
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Amuua mkewe kwa gurunedi Afrika Kusini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIauCMrvQcL70UGFjHBZ*ygmY4lCGGiumg9dmYMRBHjYPfQuMTF-PBB9uI80jwfwiMJj*5UI9MRg-npbhRKKuLNP/risasi.jpg)
AMFUMANIA MKEWE, AMUUA MWANAUME KWA RISASI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLQali9drJvOS2jshJ1UvcH0pF3MtvS7rLGtSlxF7tGemGWjobaEqpMAf2xaquu50AhdjCcj5vHeT30QPILeqa51/Happy.jpg?width=650)
MUME AMUUA MKEWE KWA KUMPIGA MISUMARI KICHWANI
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Waziri mkuu wa Lesotho Thomas Thabane kushtakiwa kwa mauaji ya mkewe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_ZgHqiQIeDQ/XlGPQ95VipI/AAAAAAALe30/_yO_40XLG7gHUwb9GUadw3biGH08uTQiQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6b354f3f7f21lrra_800C450.jpg)
Waziri Mkuu wa Lesotho anayehusishwa na mauaji ya mkewe akosa kufika kotini
![](https://1.bp.blogspot.com/-_ZgHqiQIeDQ/XlGPQ95VipI/AAAAAAALe30/_yO_40XLG7gHUwb9GUadw3biGH08uTQiQCLcBGAsYHQ/s640/4bv6b354f3f7f21lrra_800C450.jpg)
Potlako Thabane, mtoto wa kiume wa Thabane amesema Waziri Mkuu huyo amepelekwa nchini Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu, na wala hajakimbia nchi na mashitaka yanayomkabili...