Waziri Mkuu wa Lesotho anayehusishwa na mauaji ya mkewe akosa kufika kotini
![](https://1.bp.blogspot.com/-_ZgHqiQIeDQ/XlGPQ95VipI/AAAAAAALe30/_yO_40XLG7gHUwb9GUadw3biGH08uTQiQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6b354f3f7f21lrra_800C450.jpg)
Waziri Mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane, alikosa kufika mahakamani siku ya Ijumaa kwa ajili ya kesi ya mauaji inayomuandama, kutokana na kile kilichotajwa na familia yake kama sababu za kiafya. Polisi ya nchi hiyo siku ya Alkhamisi ilisema kiongozi huyo angeshtakiwa rasmi jana Ijumaa kwa mauaji ya mke wake wa zamani.
Potlako Thabane, mtoto wa kiume wa Thabane amesema Waziri Mkuu huyo amepelekwa nchini Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu, na wala hajakimbia nchi na mashitaka yanayomkabili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Waziri mkuu wa Lesotho Thomas Thabane kushtakiwa kwa mauaji ya mkewe
5 years ago
BBCSwahili19 May
Thomas Thabane: Kashfa ya mauaji ya mke yamng'oa madarakani waziri mkuu Lesotho
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Thomas Thabane: Waziri mkuu wa Lesotho aondoka nchini huku mashtaka ya mauaji yakimkabili
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ni1pOCskZGQ/VQlA56fZpYI/AAAAAAAAb0w/LibTwif6kb8/s72-c/AAAA%2B3034.jpg)
Waziri Membe amwakilisha Rais Kikwete kwenye hafla ya kumwapisha Waziri Mkuu mpya wa Lesotho
![](http://3.bp.blogspot.com/-ni1pOCskZGQ/VQlA56fZpYI/AAAAAAAAb0w/LibTwif6kb8/s1600/AAAA%2B3034.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XVc4SJ4l_MY/VQlCeDZ2OYI/AAAAAAAAb1Y/Hl2ThUch93E/s1600/AAAA%2B3151.jpg)
10 years ago
BBCSwahili30 Aug
Waziri mkuu wa Lesotho atorokea A.kusini
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Waziri Mkuu wa Lesotho arejea nyumbani
10 years ago
Bongo509 Dec
Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!
10 years ago
Dewji Blog13 Mar
Mheshimiwa Waziri Mkuu Pinda na mkewe wawasili Japan
![PG4A5728](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/PG4A5728.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Shughuli mbalimbali za Waziri Mkuu Pinda na mkewe Tunu wilayani Mlele
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembelea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Mama Tunu Pinda akiwa katika picha ya pamoja na walimu wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembelea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akionyesha DVD...