Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shughuli mbalimbali za Waziri Mkuu Pinda na mkewe Tunu wilayani Mlele

PG4A7542

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika  picha ya pamoja na wanafunzi  wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembelea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A7551

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Mama Tunu Pinda akiwa katika  picha ya pamoja na walimu wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembelea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015.

PG4A7037

Mke wa Waziri Mkuu, Mama  Tunu Pinda  akionyesha DVD...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MHE MIZENGO PINDA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA ELIMU WILAYANI MLELE

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa amekalia oja ya madwati mapya ya plastiki yaliyowekwa kwenye moja ya madara ya shuley amsingi ya Kakuni  wilayani Mlele akiwa katika mapumziko mafupi kijijini kwake Kibaoni Julai 16, 2015Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda akikagua ujenzi wa nyumba za walimu katika shule ya msingi ya Kakuni wilayani Mlele Julai 16, 2015. Picha na PMO

 

10 years ago

Dewji Blog

Shughuli mbalimbali za Waziri Mkuu Pinda -Dodoma

PG4A0441

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akizungumza na wafugaji kutoka Morogoro, Ofisini kwake Bungeni mjini Dodoma Februari 7, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). PG4A0468 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mawaziri   baada ya kusoma hotuba yake ya kuahirisha Bunge mjini Dodoma Februari 7, 2015. Kutoka kushoto ni  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid na Waziri wa Fedha Sada Mkuya.  PG4A0475 Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AKIWA WILAYANI MLELE

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na walimu wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembeklea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembeklea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA KUTANA NA WANANCHI WA MLELE

 Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akifafanua jambo kwa kutumia  kompyuta ndogo (Ipad) wakati alipozungumza  na wanafamilia wa Mzee Katinda wa kitongoji cha Tupindo wilayani Mlele akiwa katika mapumziko mafupi nyumbani kwake  Kibaoni, Katavi julai 22, 2015. Watoto  wa familia ya  mzee Katinda wa  Kitongoji cha Tupindo wilayani Mlele  wakicheza ngoma ya Kisukuma mbele ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda .   Mheshiiwa Pinda yuko katika mapumziko mafupi kijijini kwake Kibaoni, katavi. 7027  Waziri Mkuu,...

 

9 years ago

Michuzi

MAMA WA MKE WA WAZIRI MKUU TUNU PINDA AZIKWA JIJINI DAR

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete  akimfariji Mke wa Waziri Mkuu, mama Tunu Pinda (kuhosto) ambaye alifiwa na Mama yake , Hajjat Pili Mlolwa Rehani, nyumbani wa marehemu, Tanata Magengeni jijini Dar es salaam Septemba 17, 2015. Kuliani  Mama Hasina Kawawa. Makamu wa Rais,Dkt. Mohamed Bilal akimfariji mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda wakati alipokwenda Tabata magengeni jijini Dar es salaam, nyumbani kwa marehemu, Hajjat Pili Mlolwa Rehani   ambaye ni mama wa Mama Tunu, aliyefariki...

 

9 years ago

GPL

MAMA WA MKE WA WAZIRI MKUU TUNU PINDA AZIKWA JIJINI DAR

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mke wa Waziri Mkuu, mama Tunu Pinda (kushoto) ambaye alifiwa na Mama yake , Hajjat Pili Mlolwa Rehani, nyumbani kwa marehemu, Tabata Magengeni jijini Dar es salaam Septemba 17, 2015. Kuliani Mama Hasina Kawawa. Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akiwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba Wapili kushoto na Mama Hasina Kawawa waliokwenda kumfariji kufuatia kifo...

 

10 years ago

Michuzi

SHUGHULI MBALIMBALI ZA WAZIRI MKUU ARUSHA NA DODOMA.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mbunge wa Ukonga Eugen Mwaiposa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 3, 2015.  Wengine pichani kutoka kushoto ni  Kaimu kiongozi wa Upinzani Bungeni, Tundu Lisu, Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Seif Sefue na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Galawa. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na  Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid baada ya kuhudhuria sala na heshima za mwisho kwa...

 

10 years ago

GPL

SHUGHULI MBALIMBALI ZA WAZIRI MKUU KWA MIKOA YA ARUSHA NA DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mbunge wa Ukonga Eugen Mwaiposa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 3, 2015.  Wengine pichani kutoka kushoto ni  Kaimu kiongozi wa Upinzani Bungeni, Tundu Lisu, Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Seif Sefue na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Galawa.  Waziri Mkuu, Mizengo… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mheshimiwa Waziri Mkuu Pinda na mkewe wawasili Japan

PG4A5716

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana  na Balozi Mteule wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Masahiro Yoshida kwenye Hoteli ya New Otani jijini Tokyo  Machi 13, 2015 ambako Machi 14, 2015 anatarajiwa kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Mkutano Kuhusu namna ya kukabiliana na maafa  utakaofanyika Sendai. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). PG4A5728 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi Mteule wa Japan Nchini Tanzania, Mhe. Masahiro Yoshida kwenye Hoteli ya New Otani jijini Tokyo  Machi 13,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani