Shughuli mbalimbali za Waziri Mkuu Pinda -Dodoma
![PG4A0468](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/PG4A0468.jpg)
![PG4A0475](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/PG4A0475.jpg)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSHUGHULI MBALIMBALI ZA WAZIRI MKUU ARUSHA NA DODOMA.
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Shughuli mbalimbali za Waziri Mkuu Pinda na mkewe Tunu wilayani Mlele
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembelea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Mama Tunu Pinda akiwa katika picha ya pamoja na walimu wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembelea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akionyesha DVD...
10 years ago
GPLSHUGHULI MBALIMBALI ZA WAZIRI MKUU KWA MIKOA YA ARUSHA NA DODOMA
11 years ago
Dewji Blog19 May
Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa maelezo kwa Waandishi wa habari kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kuhusu zao la Zabibu wakati walipotembelea shamba lake lililopo Zuzu mjini Dodoma Mei 18, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dr.Mary Nagu, Bungeni mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na ujumbe wa Kampuni ya British American Tobacco, Ofisini kwake Bungeni...
11 years ago
Dewji Blog28 May
Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Pinda Bungeni mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Madiwani na Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga kwenye ukumbi wa Spika .Bungeni mjini Dodoma Mei 27, 2014.Walipotembelea Bunge kwa mwaliko wa Mbunge wao, Suleiman Nchambi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia jambo katika mazungumzo kati yake na Mbunge wa Moshi Vijijini, Cyrli Chami kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mwandishi wa habari...
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Pinda kutoka Bungeni mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa kauli kuhusu mgogoro wa wakulima na wafugaji wilayani Kiteto , Bungeni mjini Dodoma Novembe 17, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (kushoto) akisalimiana na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu,...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA NA WAJUMBE MBALIMBALI WA BUNGE LA KATIBA LEO MJINI DODOMA
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Matukio mbalimbali Waziri Mkuu Pinda kutoka Bunge mjini Dodoma linakoendelea Bunge Maalum la Katiba
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Peter Serukamba (kushoto) na Abdulkarim Shah kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mjumbe wa Bunge Maalum la katiba, Abdulkarim Shah (kushoto) na Ayman Jafari kutoka kikundi cha Tulee Yatima Tanzania cha Dar es salaam kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Wajumbe wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b2_Ua6HzxLs/U3o2f5PLpMI/AAAAAAAFjtU/55CrnkFru18/s72-c/unnamed+(21).jpg)
SHUGHULI ZA WAZIRI MKUU MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-b2_Ua6HzxLs/U3o2f5PLpMI/AAAAAAAFjtU/55CrnkFru18/s1600/unnamed+(21).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nStad3jrNTM/U3o2g5h92FI/AAAAAAAFjtY/0BCVhZkVWyE/s1600/unnamed+(23).jpg)