Waziri mkuu wa Lesotho atorokea A.kusini
Waziri mkuu nchini Lesotho Tom Thabane ameiambia BBC kwamba amelitoroka taifa hilo baada ya kupata vitisho vya maisha yake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Waziri Membe amwakilisha Rais Kikwete kwenye hafla ya kumwapisha Waziri Mkuu mpya wa Lesotho


11 years ago
BBCSwahili03 Sep
Waziri Mkuu wa Lesotho arejea nyumbani
Waziri mkuu wa Lesotho Thomas Thabane amewasili nchini mwake baada ya jaribio la kutaka kumpindua kutibuka.
5 years ago
Michuzi
Waziri Mkuu wa Lesotho anayehusishwa na mauaji ya mkewe akosa kufika kotini

Potlako Thabane, mtoto wa kiume wa Thabane amesema Waziri Mkuu huyo amepelekwa nchini Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu, na wala hajakimbia nchi na mashitaka yanayomkabili...
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Waziri mkuu wa Lesotho Thomas Thabane kushtakiwa kwa mauaji ya mkewe
Waziri Mkuu amesema atastaafu mwezi Julai, baada ya polisi kumshutumu kwa mauaji ya mkewe kwa kwanza.
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Mwanajeshi wa Korea Kaskazini atorokea Kusini
Mwanajeshi wa Korea Kaskazini ametorokea Korea Kusini akipitia mpaka wa mkoa wa Gangwo
10 years ago
BBCSwahili07 May
Simon Msuva atorokea Afrika ya Kusini
Simon Msuva ameitoroka klabu yake ya Yanga na kuelekea afrika ya Kusini kufanya majaribio ya kujiunga na klabu ya Orlando Pirates.
5 years ago
BBCSwahili19 May
Thomas Thabane: Kashfa ya mauaji ya mke yamng'oa madarakani waziri mkuu Lesotho
Waziri Mkuu wa Lesotho ni moja ya washukiwa wa mauaji ya mkewe wa zamani.
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Thomas Thabane: Waziri mkuu wa Lesotho aondoka nchini huku mashtaka ya mauaji yakimkabili
Waziri mkuu wa Lesotho Thomas Thabane mekosa kufika mbele ya mahakama ambapo anakabiliwa na mashtaka ya kumuua mkewe wa zamani 2017.
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Thomas Thabane: Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho 'alilipa majambazi kumuua mke wake wa zamani''
Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani na polisi zanaelezea jinsi Thomas Thabane alivyohusika na mauaji hayo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania