AMFUMANIA MKEWE, AMUUA MWANAUME KWA RISASI
![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIauCMrvQcL70UGFjHBZ*ygmY4lCGGiumg9dmYMRBHjYPfQuMTF-PBB9uI80jwfwiMJj*5UI9MRg-npbhRKKuLNP/risasi.jpg)
Stori: Francis Godwin, Iringa KUMBE! Pia mume wa mtu ni sumu! Kikongwe wa miaka 70 aliyejitambulisha kwa jina la Gwerino Ganga amemtwanga risasi mbili mwanaume aitwaye Thadei Mbungu (40) akimtuhumu kuingilia ndoa yake kwa kuvunja amri ya sita na mama watoto wake. Thadei Mbungu enzi wa uhai wake. Tukio hilo la ajabu lilijiri Oktoba 9, mwaka huu mkoani Iringa ambapo mashuhuda wanadai Mbugu, mbali na kukutwa na mke wa mtu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Amuua mkewe kwa wivu wa mapenzi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4y8moz0H9-U4viFRm2ux*OVWD6FRM7ozzMtfDumLkTNXubXIOy1RRQGLbxUqX2a3*CCGnEJeAnpB8I4*s5LQnVa/mchepuko.jpg)
AMUUA MKEWE KWA SULULU, AJINYONGA
10 years ago
Bongo509 Dec
Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Amuua mkewe kwa gurunedi Afrika Kusini
11 years ago
Uhuru Newspaper08 Jul
Muuza nyama amuua mkewe kwa mapanga
NA SHAABAN MDOE, ARUSHA.
POLISI mkoani Arusha, inamsaka muuza nyama, Lucas Lomayan (35), mkazi wa Ilboru, kwa tuhuma za kumuua mkewe kwa kumcharanga mapanga kwa kile kinachodaiwa wizi wa fedha za biashara na wivu wa kimapenzi.
Akizungumza na Uhuru, mtoto wa wanandoa hao, Jesca Lucas (10), alidai juzi saa 10 alfajiri, alisikia baba na mama yake wakizozana kuhusiana na masula ya wizi wa fedha na wivu wa kimapenzi.
Alidai baba yake alimweleza kwa ukali mama yake kuwa, alichukua fedha sh. 600,000...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLQali9drJvOS2jshJ1UvcH0pF3MtvS7rLGtSlxF7tGemGWjobaEqpMAf2xaquu50AhdjCcj5vHeT30QPILeqa51/Happy.jpg?width=650)
MUME AMUUA MKEWE KWA KUMPIGA MISUMARI KICHWANI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Islaer-with-Palestina-2.jpg?width=650)
ASKARI WA ISRAEL AMUUA KWA RISASI MSICHANA WA KIPALESTINA
11 years ago
Mwananchi01 Jun
Mtoto wa miaka mitatu amuua mdogo wake kwa risasi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yC7AOXGJlPWbjh-EJaCP*l9AOvQ0G2eAi0F-lhFQY4Fkw7jfWgWAI0vjd6uXqI4ephqdGWKPRoVn0Ef8JvcCKXUKM*MG1TRU/MEYA.jpg)
MEYA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA MKEWE