Mafufu ‘Kufia’ UKAWA
Muandaaji na muigizaji wa filamu , Jimmy Mafufu amesema hawezi kuhama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kwa sababu kila upande wa siasa una changamaoto zake.
Mafufu amesema alihama Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwenda UKAWA kwasababu matatizo mengi yanayohusiana na sanaa ya filamu yalikuwa hayajapatiwa ufumbuzi na serikali yake.
Ameseme yupo UKAWA iliyomsimamisha Edward Lowassa kuwa mgombea Urais wake katika uchaguzi wa mkuu mwezi ujao kwasababu anaamini atafikia malengo aliyojiwekea...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLMAFUFU: SIWEZI KUHAMA UKAWA
11 years ago
GPLMCHUNGAJI: NAENDA KUFIA KWETU
10 years ago
GPLMAAJABU WATOTO KUFIA KWA GWAJIMA
10 years ago
GPLHOFU MTOTO WA ZARI KUFIA TUMBONI
10 years ago
GPLMAHABUSU ADAIWA KUFIA KITUO CHA POLISI
10 years ago
GPLMTOTO KUFIA MAHABUSU POLISI MAZITO YAIBUKA
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Visa vya marais wetu kutibiwa na kufia nje
TAARIFA kuwa Rais Jakaya Kikwete amefanyiwa upasuaji wa tezi dume (Prostate) bila shaka zilistua wengi kama si wote. Wengi hawakujua, ama walifichwa ukweli kuwa Rais anaumwa. Hawajui ukubwa wa tatizo...
10 years ago
GPLMAFUFU AMSHUSHA RADO GARINI