HOFU MTOTO WA ZARI KUFIA TUMBONI
![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXoUZEH1XJhooTgwNIGMKBPpGYG6xAMvmrw93I1Nk-eRLI6vI1lZyTpOg*PMaKp3QcdMSt0waxXnrEGib*etZcnU/FRONTAMANI1.jpg?width=750)
STORI: MWANDISHI WETU HABARI ya mjini kwa sasa ni mjadala mzito mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kwamba, mpenzi wa sasa wa Mbongo-Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ anaweza kumuua motto aliye tumboni kutokana na tabia yake ya kuvaa viatu vyenye visigino virefu (high hills) katika kipindi hiki cha ujauzito. Soma zaidi hapa ====>bit.ly/1LJqtew ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Msongo humwathiri mtoto tumboni
WIKI iliyopita tuliona jinsi ambavyo msongo wa mawazo unavyoweza kuathiri utungaji wa mimba. Kwa kuwa msongo wa mawazo una athari zaidi ya hiyo, nimeona ni vema kwa wiki hii, kabla...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPtM5gG1ygTPqS6orxMNSSs-wOM*sC9FtneurWO8o0MxgCZBW0JeIJB7rVOw3QGQ3EpjqLNLLNmIFZu*b2TWjgH/MAZITO.gif?width=650)
MTOTO KUFIA MAHABUSU POLISI MAZITO YAIBUKA
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Prolife yahimiza uhai wa mtoto tumboni
SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu la Prolife limewataka Watanzania kuthamini uhai wa mtoto toka mimba inapotungwa ili kufuatana na misingi ya imani. Akizungumza baada ya ibada ya Krismasi, jijini...
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
MKASA:Amanda asimulia mkasa wakufiwa na mchumba wake ghafla na kumuachia mimba lakini mtoto akafia tumboni
"....Kwenye hii dunia ukizaliwa mpaka unakufa lazima kuna mitihani binaadam utaipitia ,toka nimezaliwa me Amanda mpaka leo hii nimepitia mitihani migumu sana ...lakini katika mitihani yooote hakuna mtihani unaokataa kuondoka ndani ya kichwa changu kama ule niliyowahi kufiwa na mchumba angu tena ghafla nusu saa baada ya kuongea nae na kuniachia mimba then mtoto akafia tumboni....
Kiukweli nilijifunza sana na ndio maana mpaka leo uwa naamini kila mwanamke ameumbwa kutoka kwenye ubavu wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4JpjbcAMqZF7KInPGR5ps8YscvOoRdN4gt1xW9d25viK-FySK-kpkKQXISxgwSm2OV-EmUHY9T3H5mVEI9xcfVnP/Zariii.gif?width=650)
40 MTOTO WA ZARI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMvYyohjb0075f5cfmz7WiKmeC1vmBLKuTkcmOxs*9TrDn3WVc7knLk*hJ-SxIkxm0GDoTcr34*3u-iz67H3GIxR/FRONTJUMAMOSI.jpg)
KUMUONA MTOTO WA ZARI, MIL.20
10 years ago
Vijimambo06 Aug
Zari ajifungua mtoto wa kike
![MTOTO WA ZARI](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/MTOTO-WA-ZARI.jpg)
Mama mzazi wa Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ akiwa amembeba mjukuu weke. Kulia ni Zari
MPENZI wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ Zarinah Hassan ‘Zari’ amejifungua mtoto wa kike leo alfajiri saa 10: 40 jijini Dar es Salaam. Mtandao huu umeongea na Meneja wa kimataifa wa Diamond Platinumz, Salam Sharaf ambaye amethibitisha taarifa hizo na kusema Zari bado yupo hospitali mpaka sasa.
Kutokana na usumbufu aliodai unaweza kutokea, Salam hakuweka wazi hospitali...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/599.jpg)
EXCLUSIVE: ZARI AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE
10 years ago
CloudsFM06 Feb
Unaijua ‘jinsia’ ya mtoto wa Zari na Diamond?
Shauku ya kumsubiria mtoto atakayezaliwa na mpenzi wa staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnuz,Zari imekuwa kubwa sana kwa mastaa hao baada ya kupost picha ya watoto wawili wa kike na wa kiume huku Zari akiandika A or B?
Kupitia account zao za Instagram waliweka picha picha hizo huku mashabiki wengi wakipigia kura picha A ikionyesha kuwa mtoto wao atakuwa wa kike.
Baadhi ya mashabiki waliopigia kura picha A
kombaclara Bbbbbb 1h
happyjanuary91 A mum
pendomagere A 1h
rucrasure A 24min