Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msongo humwathiri mtoto tumboni

WIKI iliyopita tuliona jinsi ambavyo msongo wa mawazo unavyoweza kuathiri utungaji wa mimba. Kwa kuwa msongo wa mawazo una athari zaidi ya hiyo, nimeona ni vema kwa wiki hii, kabla...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HOFU MTOTO WA ZARI KUFIA TUMBONI

STORI: MWANDISHI WETU HABARI ya mjini kwa sasa ni mjadala mzito mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kwamba, mpenzi wa sasa wa Mbongo-Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ anaweza kumuua motto aliye tumboni kutokana na tabia yake ya kuvaa viatu vyenye visigino virefu (high hills) katika kipindi hiki cha ujauzito. Soma zaidi hapa ====>bit.ly/1LJqtew ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prolife yahimiza uhai wa mtoto tumboni

SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu la Prolife limewataka Watanzania kuthamini uhai wa mtoto toka mimba inapotungwa ili kufuatana na misingi ya imani. Akizungumza baada ya ibada ya Krismasi, jijini...

 

10 years ago

Bongo Movies

MKASA:Amanda asimulia mkasa wakufiwa na mchumba wake ghafla na kumuachia mimba lakini mtoto akafia tumboni

"....Kwenye hii dunia ukizaliwa mpaka unakufa lazima kuna mitihani binaadam utaipitia ,toka nimezaliwa me Amanda mpaka leo hii nimepitia mitihani migumu sana ...lakini katika mitihani yooote hakuna mtihani unaokataa kuondoka ndani ya kichwa changu kama ule niliyowahi kufiwa na mchumba angu tena ghafla nusu saa baada ya kuongea nae na kuniachia mimba then mtoto akafia tumboni....

Kiukweli nilijifunza sana na ndio maana mpaka leo uwa naamini kila mwanamke ameumbwa kutoka kwenye ubavu wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hamilton akumbwa na msongo wa mawazo

Bosi wa timu ya Mercedes Toto Wolff ametanabaisha kuwa dereva wa timu hiyo Lewis Hamilton ataerejea katika hali yake baada ya kupoteza mchezo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Msongo wa mawazo,majonzi na kilio

Hapa ndipo homa kali ya Ebola ilipowafikisha wakazi wa mataifa ya Afrika Magharibi

 

11 years ago

Habarileo

Daktari asahau kitambaa tumboni

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dr Seif RashidMKAZI wa wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Mwamini Adamu ametolewa mfuko wa kizazi na kukatwa sehemu ya utumbo baada ya mganga wa idara ya upasuaji katika wilaya hiyo kusahau kitambaa tumboni kwa mwanamama huyo wakati akijifungua.

 

11 years ago

GPL

DAWA YA KUONDOA MSONGO (STRESS)

Kwa maelezo zaidi piga simu 0768 215 956

 

10 years ago

Habarileo

‘Mfumo umeongeza msongo wa mawazo’

TAASISI inayopigania haki na mahitaji ya msingi ya wenye tatizo la afya ya akili imesema magonjwa ya akili yanachangia asilimia 13 katika kukosesha ufanisi wa maisha.

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri: Simba wana msongo wa mawazo

Wakati kocha wa Simba, Patrick Phiri akisema wachezaji wake wengi wameathirika kisaikolojia kutokana na matokeo yasiyoridhisha, mshambuliaji wake, Amissi Tambwe ametishia kuondoka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani