Daktari asahau kitambaa tumboni
MKAZI wa wilaya ya Urambo mkoani Tabora, Mwamini Adamu ametolewa mfuko wa kizazi na kukatwa sehemu ya utumbo baada ya mganga wa idara ya upasuaji katika wilaya hiyo kusahau kitambaa tumboni kwa mwanamama huyo wakati akijifungua.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1coOjqIHyfOMfo*cI2OKjOg0QbVIf9fuRR0p2578pm6tg0bbBTbgRQev-6br1Eg3SbzDSNOe*KMVj62rHa-ciSJY/CHA2.jpg?width=550)
CHATU MKUBWA AUAWA ARUSHA JIONI HII, AFUNGWA KITAMBAA CHENYE MANENO YA KIARABU!
11 years ago
CloudsFM06 Jun
CHATU AZUA KIZAAZAA ARUSHA AINGIA KWENYE NYUMBA YA MTU AKUTWA AMEFUNGWA KITAMBAA CHEUPE
Wakazi wa eneo la Sakina mkoani Arusha siku ya jana walipatwa na mshtuko mkubwa baada ya kuona chatu akiwa anaingia ndani ya nyuma ya jirani yao huku akiwa amefungwa kitambaa kilichokuwa na maandishi mekundu yasiyoeleweka mkiani mwake.
Hiki ndicho kitambaa alichokutwa nacho chatu huyo.
Source:Arusha Yetu
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Msongo humwathiri mtoto tumboni
WIKI iliyopita tuliona jinsi ambavyo msongo wa mawazo unavyoweza kuathiri utungaji wa mimba. Kwa kuwa msongo wa mawazo una athari zaidi ya hiyo, nimeona ni vema kwa wiki hii, kabla...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXoUZEH1XJhooTgwNIGMKBPpGYG6xAMvmrw93I1Nk-eRLI6vI1lZyTpOg*PMaKp3QcdMSt0waxXnrEGib*etZcnU/FRONTAMANI1.jpg?width=750)
HOFU MTOTO WA ZARI KUFIA TUMBONI
10 years ago
CloudsFM05 Jan
MWILI WA MAREHEMU WAZIKWA NA KUKU TUMBONI
Lakini ghafla alijitokeza ndugu wa marehemu mwanamke kuwazuia waombolezaji, huku mwenyewe akiingia kaburini na kufungua sanduku na kuanza...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Prolife yahimiza uhai wa mtoto tumboni
SHIRIKA la Kutetea Uhai wa Binadamu la Prolife limewataka Watanzania kuthamini uhai wa mtoto toka mimba inapotungwa ili kufuatana na misingi ya imani. Akizungumza baada ya ibada ya Krismasi, jijini...
10 years ago
Mtanzania14 Jan
Kaburi la aliyezikwa na kuku tumboni lafukuliwa
Na Kadama Malunde, Shinyanga
SIKU chache baada ya Benadetha Steven (35) aliyefariki dunia na kuzikwa na kifaranga cha kuku tumboni kwa madai ya kuondoa mikosi katika familia, kaburi lake limefukuliwa na watu wasiojulikana.
Benadetha (35) aliyekuwa mkazi wa Mtaa wa Mapinduzi, Kata ya Ndala, Manispaa ya Shinyanga mkoani Shinyanga, alifariki Januari 1 mwaka huu katika Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga alikokuwa amelazwa akitibiwa uvimbe tumboni na kuzikwa katika makaburi ya Masekelo.
Mazishi yake...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosbQhor7tR4GoJPV**tpLnF0d3ypQb-KfHACIPOksSZ7AYZ6gyYQK5x11PhIOTmkYYY6P8EdJVXewbU9XSATJ5NS/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
MAAJABU 7 MAZITO ALIYETILEWA VYUMA TUMBONI MUHIMBILI
10 years ago
GPLKADA WA CHADEMA AUAWA KWA KUPIGWA MSHALE WA TUMBONI