MWILI WA MAREHEMU WAZIKWA NA KUKU TUMBONI
Lakini ghafla alijitokeza ndugu wa marehemu mwanamke kuwazuia waombolezaji, huku mwenyewe akiingia kaburini na kufungua sanduku na kuanza...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-768x512.jpg)
MWILI WA BABA MZAZI WA GEORGE SIMBACHAWENE , MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE WAZIKWA KIJIJINI PWAGA, JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-768x512.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene na Mkewe Mariana Simbachawene, wakiweka picha ya Baba Mzazi wa waziri huyo Marehemu Boniface Simbachawene wakati wa ibada ya mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Pwaga kilichopo Jimbo la Kibakwe , wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2AA-1024x682.jpg)
Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililohifadhi mwili wa Baba Mzazi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
10 years ago
Mtanzania14 Jan
Kaburi la aliyezikwa na kuku tumboni lafukuliwa
Na Kadama Malunde, Shinyanga
SIKU chache baada ya Benadetha Steven (35) aliyefariki dunia na kuzikwa na kifaranga cha kuku tumboni kwa madai ya kuondoa mikosi katika familia, kaburi lake limefukuliwa na watu wasiojulikana.
Benadetha (35) aliyekuwa mkazi wa Mtaa wa Mapinduzi, Kata ya Ndala, Manispaa ya Shinyanga mkoani Shinyanga, alifariki Januari 1 mwaka huu katika Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga alikokuwa amelazwa akitibiwa uvimbe tumboni na kuzikwa katika makaburi ya Masekelo.
Mazishi yake...
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Mwili wa mwanafunzi aliyechapwa wazikwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZL-5BJ0OPbb3STk6edKQM-Lq3zfyCvyCw8m1IaHfOOHdLDss96bNV8mEl5WkHFdEFu-0tTAK*9hEGqAKRMWElr/mazikoaisha1.jpg)
MWILI WA AISHA MADINDA WAZIKWA MAKABURI YA KIBADA, KIGAMBONI JIJINI DAR
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/AlluXhJUN1B42Ui3dU-N474HmY33XcaxxqFQE8gYTKzB.jpg)
9 years ago
VijimamboMWILI WA MAREHEMU DK KIGODA WAPOKELEWA JIJINI DAR
11 years ago
GPLMWILI WA MAREHEMU AMINA NGALUMA WAWASILI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWxDMjShiHxXc5mEnqMkgsi2012sMnUelFlhKZUOfEP1uVppnfRUMtQBu06cZGlmyzLF2ezh7aGy04-kf-8qtl0r/2musoma2.jpg?width=650)
MWILI WA MAREHEMU WA AJALI YA MUSOMA WALETA KIZAAZAA
9 years ago
StarTV08 Oct
Rais Kikwete aongoza waombolezaji kuuga mwili wa marehemu
Rais Jakaya Kikwete amewaongoza waombolezaji waliojitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha Democratic, mchingaji Christopher Mtikila katika viwanja vya karimjee jijini Dar es salaam.
Mchungaji Mtikila alifariki dunia October nne katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Msolwa Chalinze alipokuwa akitokea Iringa kwenye mikutano ya kampeni ya wabunge na udiwani kupitia chama chake.
Baada ya viongozi mbalimbali wa serikali, dini na vyama vya siasa kutoa pole kwa wafiwa Makamu...