MWILI WA BABA MZAZI WA GEORGE SIMBACHAWENE , MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE WAZIKWA KIJIJINI PWAGA, JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-768x512.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene na Mkewe Mariana Simbachawene, wakiweka picha ya Baba Mzazi wa waziri huyo Marehemu Boniface Simbachawene wakati wa ibada ya mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Pwaga kilichopo Jimbo la Kibakwe , wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.
Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililohifadhi mwili wa Baba Mzazi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6o7nbwbe2LY/U80O7tkC_uI/AAAAAAAF4X4/SVhr1F2mTU8/s72-c/unnamed+(49).jpg)
Mh. Simbachawene ziarani Jimboni kwake kibakwe Wilayani Mpwapwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-6o7nbwbe2LY/U80O7tkC_uI/AAAAAAAF4X4/SVhr1F2mTU8/s1600/unnamed+(49).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ptzhMUtU3fg/XpnNiGqxJ_I/AAAAAAALnQs/HrwaXtaXOtYKyNRUDJzFkDaxFzMOjyPcQCLcBGAsYHQ/s72-c/58b180c7-1e13-4604-8dba-e94eb48bca84.jpg)
TANZIA: BABA MZAZI WA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, GEORGE SIMBACHAWENE AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ptzhMUtU3fg/XpnNiGqxJ_I/AAAAAAALnQs/HrwaXtaXOtYKyNRUDJzFkDaxFzMOjyPcQCLcBGAsYHQ/s640/58b180c7-1e13-4604-8dba-e94eb48bca84.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akizungumza na Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro, wakati Mkuu huyo wa Jeshi alipoenda kuhani msiba wa Baba Mzazi wa Waziri huyo, marehemu Boniface Simbachawene Mwataguluvala, Kinyerezi Jijini Dar es Salaam, leo Aprili 17, 2020. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2-3-scaled.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JNXamzNxrsk/Xps-PQM2u7I/AAAAAAALnWY/0YS2NoCrku80QhZS1rr89onjoGqRQUJ5QCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-0-2048x1351.jpg)
KATIBU MKUU CCM AONGOZA VIONGOZI KUHANI MSIBA WA BABA WA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI,MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JNXamzNxrsk/Xps-PQM2u7I/AAAAAAALnWY/0YS2NoCrku80QhZS1rr89onjoGqRQUJ5QCLcBGAsYHQ/s640/PIX-0-2048x1351.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2-4-scaled.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_cJJTbbfkfY/VPiPQgOuK5I/AAAAAAAHH24/MOoFPrWq5GY/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_cJJTbbfkfY/VPiPQgOuK5I/AAAAAAAHH24/MOoFPrWq5GY/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yIEdXuovpMc/VPiQKvfMsMI/AAAAAAAHH48/5VhObiGn4Ns/s1600/6.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kmGH15sjVQ4/Xp7P3nV4mrI/AAAAAAAB2dk/h0fCPYR2Hv4anqrNokVwLSOn_h9yqF3UwCLcBGAsYHQ/s72-c/fdbf1c82af85d5604c18f521bca350d7.jpg)
SPIKA NDUGAI AONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA BABA MZAZI WA WAZIRI SIMBACHAWENE
![](https://1.bp.blogspot.com/-kmGH15sjVQ4/Xp7P3nV4mrI/AAAAAAAB2dk/h0fCPYR2Hv4anqrNokVwLSOn_h9yqF3UwCLcBGAsYHQ/s640/fdbf1c82af85d5604c18f521bca350d7.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Men0lgYf-fk/Xp7P8mI0zhI/AAAAAAAB2do/ouxdI4jjEO8YK48tBDnUAMYv2p5ex4q3wCLcBGAsYHQ/s640/6c2be6718b3c898b24f695c36996dc08.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LvFVbuYqwC8/U9pSdTR4DcI/AAAAAAAF8Ck/DABGBb6IRG0/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Mh. Simbachawene akiwa jimboni kwake Kibakwe
![](http://2.bp.blogspot.com/-LvFVbuYqwC8/U9pSdTR4DcI/AAAAAAAF8Ck/DABGBb6IRG0/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5PYW6kHIr-w/U9pSeU4wewI/AAAAAAAF8Cs/dToQXEy1nXw/s1600/unnamed+(6).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KSchzmCZKaU/VPkx6EKv00I/AAAAAAAC09Y/rlB2Qbs0nsQ/s72-c/_MG_8927.jpgb.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AMALIZA ZIARA JIMBO LA MPWAPWA NA KIBAKWE,LEO KUWASILI JIMBO LA KONGWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-KSchzmCZKaU/VPkx6EKv00I/AAAAAAAC09Y/rlB2Qbs0nsQ/s1600/_MG_8927.jpgb.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Aug
Simbachawene, Lubeleje vinara CCM Mpwapwa
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene, ameshinda kwa kishindo uchaguzi ndani Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuingia katika kinyang’anyiro cha kutetea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Kibakwe mkoani Dodoma.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tdqJfxIjUmU/Xlo5DkzYmhI/AAAAAAALgEo/8-I4xS_1mZgXGrUmmH014ri-ANPTJhBwwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AJITOLEA KUMSAIDIA MAMA ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WATATU MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tdqJfxIjUmU/Xlo5DkzYmhI/AAAAAAALgEo/8-I4xS_1mZgXGrUmmH014ri-ANPTJhBwwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DHPiNeRb2VE/Xlo5D-bPGHI/AAAAAAALgEs/8v1LNnzwkGc3zl9wuwuJQFItw27n2WJSQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)