Mh. Simbachawene akiwa jimboni kwake Kibakwe
![](http://2.bp.blogspot.com/-LvFVbuYqwC8/U9pSdTR4DcI/AAAAAAAF8Ck/DABGBb6IRG0/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Mhe. George Simbachawene ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, akiwa pamoja na Viongozi wa CCM Wilaya ya Mpwapwa na Viongozi wa kata ya Rudi walipotembelea na kukagua jengo la josho la mifugo lililojengwa kwa nguvu za wananchi na serikali kijiji cha Mtamba kitongoji cha Iramba kata ya Rudi Wilaya ya Mpwapwa.Picha na Mgheni Anthony.
Naibu Waziri wa Ardhi Mhe. George Simbachawene akikabidhi msaada wa magodoro,saruji na mabati kwa Bi.Asha Mtata kwa niaba ya wananchi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6o7nbwbe2LY/U80O7tkC_uI/AAAAAAAF4X4/SVhr1F2mTU8/s72-c/unnamed+(49).jpg)
Mh. Simbachawene ziarani Jimboni kwake kibakwe Wilayani Mpwapwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-6o7nbwbe2LY/U80O7tkC_uI/AAAAAAAF4X4/SVhr1F2mTU8/s1600/unnamed+(49).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-768x512.jpg)
MWILI WA BABA MZAZI WA GEORGE SIMBACHAWENE , MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE WAZIKWA KIJIJINI PWAGA, JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-768x512.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene na Mkewe Mariana Simbachawene, wakiweka picha ya Baba Mzazi wa waziri huyo Marehemu Boniface Simbachawene wakati wa ibada ya mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Pwaga kilichopo Jimbo la Kibakwe , wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2AA-1024x682.jpg)
Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililohifadhi mwili wa Baba Mzazi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
10 years ago
MichuziZiara ya Makalla jimboni kwake Mvomero
Katika ziara yake ya kichama amekagua kazi zinazotanywa na kikundi cha wakina mama wafinyanga vyungu, wakinamama wajasiriamali wauza kokoto na walima bustani.
Aidha amezindua Shina la ushindi ambalo wakinamama wafinyanga vyungu ndiyo wanachama wa Shina hilo, Katika kuunga Mkono...
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
Dk. Magufuli apiga kura jimboni kwake Chato
![](http://4.bp.blogspot.com/-QePwiRoVCjU/ViyXms9RYWI/AAAAAAABn-M/ZWFcLHgc4rs/s640/MAGUFULI.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli akipiga kura yake jimboni kwake Chato mapema leo asubuhi Oktoba 25, 2015.(PICHA NA MWANDISHI WETU).
10 years ago
Michuzi12 Nov
MREMA AENDELEA NA MIKUTANO JIMBONI KWAKE VUNJO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ReE3FMZjLHM/VECKse3m5dI/AAAAAAAGrHU/6EDntWTqCp0/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Ole Medeye atoa misaada Jimboni kwake
![](http://1.bp.blogspot.com/-ReE3FMZjLHM/VECKse3m5dI/AAAAAAAGrHU/6EDntWTqCp0/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WF5B1DZ1MOo/VECKsm7lJqI/AAAAAAAGrHY/EkbLwElems0/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aRF_YRUOmm4/VECKs1qQQGI/AAAAAAAGrHg/IKd_CCk0Cqo/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
11 years ago
MichuziMH. MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA JIMBONI KWAKE CHATO
11 years ago
MichuziMH. MAKALLA AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE MVOMERO
Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ,ambaye pia ni Naibu Waziri wa Maji,kuanzia Julai 3 hadi 7, mwaka huu, alifanya ziara ya kikazi iliyilenga kuhamasisha shughuli za maendeleo ya wananchi wake wa vijiji mbalimbali vya Tarafa ya Mlali, Turiani na Mvomero.
Katika ziara hiyo, ametoa misaada ya aina mbalimbali ya kifedha na vifaa kwa ajili ya kuharakisha maendeleo ya huduma za kijamii ikiwa ni pamoja na kuzundua vituo vya kuchota maji Kijiji cha Mgogo, Kata ya...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10