WAZIRI SIMBACHAWENE AJITOLEA KUMSAIDIA MAMA ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WATATU MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tdqJfxIjUmU/Xlo5DkzYmhI/AAAAAAALgEo/8-I4xS_1mZgXGrUmmH014ri-ANPTJhBwwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiwaangalia watoto mapacha watatu waliozaliwa Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa, Mkoani Dodoma. Kushoto ni Mama Mzazi wa watoto hao, Mariam Jonas. Simbachawene ameahidi kuwahudumia mapacha hao mpaka watakapo kuwa watu wazima. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akiagana na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mpwawa, Dkt Hamza Mkingule, baada ya kufika hospitali hapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL24 May
MASKINI! MAMA ALIYEJIFUNGUA MAPACHA 4, MMOJA AFARIKI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-768x512.jpg)
MWILI WA BABA MZAZI WA GEORGE SIMBACHAWENE , MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE WAZIKWA KIJIJINI PWAGA, JIMBO LA KIBAKWE WILAYANI MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-q9wzbhQ0rkc/Xp7Hbv19q-I/AAAAAAALns0/A-v6--186OocVFQr_vVxo4NT0PGbzegegCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-768x512.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene na Mkewe Mariana Simbachawene, wakiweka picha ya Baba Mzazi wa waziri huyo Marehemu Boniface Simbachawene wakati wa ibada ya mazishi yaliyofanyika katika Kijiji cha Pwaga kilichopo Jimbo la Kibakwe , wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PIX-2AA-1024x682.jpg)
Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lililohifadhi mwili wa Baba Mzazi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
11 years ago
GPLALIYEJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO AENDELEA VIZURI AOMBA MSAADA
10 years ago
Habarileo05 Aug
Simbachawene, Lubeleje vinara CCM Mpwapwa
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene, ameshinda kwa kishindo uchaguzi ndani Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuingia katika kinyang’anyiro cha kutetea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Kibakwe mkoani Dodoma.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6o7nbwbe2LY/U80O7tkC_uI/AAAAAAAF4X4/SVhr1F2mTU8/s72-c/unnamed+(49).jpg)
Mh. Simbachawene ziarani Jimboni kwake kibakwe Wilayani Mpwapwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-6o7nbwbe2LY/U80O7tkC_uI/AAAAAAAF4X4/SVhr1F2mTU8/s1600/unnamed+(49).jpg)
10 years ago
Habarileo28 Dec
Mpwapwa wanawake wanalala watatu kitandani
IDARA ya Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa inakabiliwa na changamoto mbalimbali zikiwemo za uhaba wa watumishi , wagonjwa hasa wajawazito kulala wawili hadi watatu katika kitanda kimoja.
9 years ago
Bongo530 Dec
Music:Mapacha Watatu – Kimatumatu
![mapacha](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/mapacha-300x194.jpg)
Bendi ya Mapacha Watatu “Wakali wa Town” katika kipindi hiki cha kufunga mwaka. Wameachia wimbo mpya. Wimbo unakwenda kwa jina la “Kimatumatu” utunzi wake Khalid Chokoraa kazi ikiwa imetengenezwa na Erasto Mashine.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Mapacha watatu kuwashukuru Bagamoyo
NA MWALI IBRAHIM
BENDI ya muziki wa dansi ya Mapacha Watatu inatarajia kufanya onyesho maalumu kwa ajili ya shukrani kwa mashabiki wao wa Bagamoyo kutokana na kura walizowapigia hadi wakashinda tuzo za kili.
Mmoja wa viongozi wa bendi hiyo, Khalid Chuma ‘Chokoraa’ alisema, onyesho hilo litafanyika Ijumaa ijayo kwa kutoa nyimbo mbili mpya ambazo ni ‘Mapacha wasasa’ na ‘Wabaya watu’.
“Mashabiki wetu walituwezesha kupata tuzo mbili kwenye mchakato wa tuzo za Kilimanjaro zikiwa ni ‘Mtunzi bora’...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u1kfEQfiY5Q/U57ggeze-2I/AAAAAAAFrAM/oRHMu_E54Gs/s72-c/2.jpg)