Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASKINI! MAMA ALIYEJIFUNGUA MAPACHA 4, MMOJA AFARIKI

Yule mama aliyejifungua mapacha wanne katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar, amepata pigo baada ya mmoja kufariki!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE AJITOLEA KUMSAIDIA MAMA ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WATATU MPWAPWA

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiwaangalia watoto mapacha watatu waliozaliwa Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa, Mkoani Dodoma. Kushoto ni Mama Mzazi wa watoto hao, Mariam Jonas. Simbachawene ameahidi kuwahudumia mapacha hao mpaka watakapo kuwa watu wazima. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akiagana na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mpwawa, Dkt Hamza Mkingule, baada ya kufika hospitali hapo...

 

11 years ago

GPL

ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO AENDELEA VIZURI AOMBA MSAADA

Mapacha wanne wa Aida Nakawala. Aida Nakawala 25 mkazi wa kijiji cha Chiwanda Wilaya ya Momba Mkoa wa Mbeya, hivi karibuni alijifungua watoto wanne  mapacha kwa mkupuo(Quadliplets) katika usiku wa kuamkia Mwaka mpya anaendelea vizuri.…

 

10 years ago

GPL

WA 3 WALIOFUNGIWA NDANI MIAKA 10 NA MAMA YAO MMOJA AFARIKI DUNIA

Na Haruni Sanchawa
Katika Gazeti la Uwazi Toleo Na. 893 wiki iliyopita, kuliandikwa habari ya kusikitisha yenye kichwa kisemacho; MAMA AWAFUNGIA NDANI WANAYE 3 KWA MIAKA 10. Ni habari ambayo ilizua gumzo kubwa nchini kutokana na mazingira yake kuwa ya kushtua. Marehemu Ally Juma enzi za uhai wake. Baada ya habari hiyo kutoka ambayo ilikuwa na lengo la kuisaidia familia hiyo, sasa habari mpya ni kwamba, mmoja wa watoto hao,...

 

9 years ago

StarTV

Mlinzi mmoja afariki, mmoja ajeruhiwa Geita

Walinzi wawili wanaolinda katika baa ya Wacha Waseme na Lunguya mjini Geita wamejeruhiwa na vitu vyenye ncha kali ambavyo vimesababisha kifo cha mlinzi mmojawapo.

Mlinzi huyo aliyejulikana kwa jina moja la Michael amefariki dunia baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Wilaya ya Geita.

Tukio hilo limejiri majira ya usiku wakati walinzi hao wakiwa wamelala katika lindo ambapo watu wasiojulikana wanadaiwa kuvamia na kuwashambulia na kuvinjwa katika baa ya lunguye na kuiba shilingi elfu tisini...

 

11 years ago

GPL

MASKINI! MTOTO ALIYEWEKWA KWENYE BOKSI MIAKA 4 AFARIKI

Nasrah Rashid (kulia) enzi za uhai wake. Kushoto aliyekaa ni baba yake mzazi Rashid Mvungi. MTOTO Nasrah Rashid (4) aliyekuwa akitibiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua na kupata ulemavu kwa kufungiwa kwenye boksi miaka minne amefariki dunia. Nasrah alifichwa kwenye boksi na mama yake mkubwa aitwaye Mariamu Said mkazi wa Kiwanja cha Ndege, Morogoro tangu akiwa na miezi tisa baada ya mama yake mzazi...

 

9 years ago

GPL

MASKINI SAUDA MWILIMA AJIFUNGUA MTOTO, AFARIKI DUNIA

Musa Mateja HUZUNI! Mtangazaji mahiri wa Kituo cha Televisheni cha Star TV, Sauda Mwilima hivi karibuni alipatwa na majonzi mazito baada ya kujifungua mtoto kwa upasuaji ambaye kesho yake alipoteza maisha, akimuacha akiwa hoi kitandani....Soma zaidi===>http://goo.gl/i2BnFM

 

10 years ago

Michuzi

Mama wa Mapacha sita anunuliwa nyumba

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank Balozi, Salome Sijaona(Katikati) akikata utepe, kuashilia uzinduzi Rasmi wa nyumba aliyokabidhiwa Salome Mhando ambaye alitelekezwa na mume wake baada ya kujifungua watoto mapacha mfurulizo hadi kufikia sita na kukosa Mahali pa kuishi, Covenant Bank imemkabidhi nyumba hiyo ambayo ataimiliki yeye mwenyewe pamoja na thamani za ndani na Bima ya Matibabu kwa Mwaka mzima. Anaeshuhudia ni mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Sabetha Mwambenja (wa...

 

11 years ago

GPL

MAMA WA WATOTO NJITI MAPACHA ASHUKURU WALIOMSAIDIA

Fatuma akiwa na watoto wake  baada ya kupatiwa fedha na kununua mahitaji ya watoto. Watoto wakiwa wamelala pembeni  ya makopo ya maziwa yaliyotokana na msaada huo. Makopo ya maziwa ya watoto yaliyonunuliwa. Na Gabriel…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani