Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama wa Mapacha sita anunuliwa nyumba

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank Balozi, Salome Sijaona(Katikati) akikata utepe, kuashilia uzinduzi Rasmi wa nyumba aliyokabidhiwa Salome Mhando ambaye alitelekezwa na mume wake baada ya kujifungua watoto mapacha mfurulizo hadi kufikia sita na kukosa Mahali pa kuishi, Covenant Bank imemkabidhi nyumba hiyo ambayo ataimiliki yeye mwenyewe pamoja na thamani za ndani na Bima ya Matibabu kwa Mwaka mzima. Anaeshuhudia ni mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Sabetha Mwambenja (wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAMA MWENYE MAPACHA SITA AKABIDHIWA NYUMBA


Mwenyekiti wa bodi ya banki ya Covenat Salome Sijaona akimkabidhi funguo bara baada ya uzinduzi wa nyumba aliyokabidhiwa Salome Mhando ambaye alitelekezwa na mume wake baada ya kujifungua watoto hadi kufikai sita na kukosa mahala pa kuishi ndipo banki hiyo imemnunulia nyumba na kumkabidhi wa pili kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa banki hiyo Sabetha MwambenjaMwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Bank ya Covenate Balozi Salome sijaona akizindua nyumba ya Salome Mhandoambaye Alitelekezwa na mume...

 

11 years ago

GPL

MAMA WA WATOTO NJITI MAPACHA ASHUKURU WALIOMSAIDIA

Fatuma akiwa na watoto wake  baada ya kupatiwa fedha na kununua mahitaji ya watoto. Watoto wakiwa wamelala pembeni  ya makopo ya maziwa yaliyotokana na msaada huo. Makopo ya maziwa ya watoto yaliyonunuliwa. Na Gabriel…

 

11 years ago

GPL

MASKINI! MAMA ALIYEJIFUNGUA MAPACHA 4, MMOJA AFARIKI

Yule mama aliyejifungua mapacha wanne katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar, amepata pigo baada ya mmoja kufariki!

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE AJITOLEA KUMSAIDIA MAMA ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WATATU MPWAPWA

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiwaangalia watoto mapacha watatu waliozaliwa Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa, Mkoani Dodoma. Kushoto ni Mama Mzazi wa watoto hao, Mariam Jonas. Simbachawene ameahidi kuwahudumia mapacha hao mpaka watakapo kuwa watu wazima. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akiagana na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mpwawa, Dkt Hamza Mkingule, baada ya kufika hospitali hapo...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA AJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO MKOANI KIGOMA, AOMBA MSAADA KWA WATANZANIA

Na Editha Karlo, Globu ya Jamii - Kigoma
MKAZI wa Kijiji cha Buzebazeba katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, Zuwena Abdu (29) jana amejifungua watoto mapacha wanne kwa mkupuo katika Hospital ya Mkoa  wa Kigoma (Maweni).
Zuwena alisema kuwa watoto aliojifungua wenye jinsia ya kiume ni  watatu na  mmoja ambaye ni wa mwisho ana jinsia ya kike ,wa kwanza akiwa na uzito wa kilo 1.8,pili 2.5 wa tatu 1.7 na wanne 1.7.
Alisema watoto hao alijifungua jana majira ya saa kumi na mbili jioni salama  kwa njia...

 

9 years ago

Mtanzania

Drake ashangaza mashabiki, anunuliwa pete

drake na futureLOS ANGELES, MAREKANI

MASHABIKI wa muziki nchini Marekani, wameshangaa kitendo cha msanii wa hip hop, Nayvadius Wilburn ‘Future’, kumnunulia msanii mwenzake, Aubrey Graham ‘Drake’ pete ya dhahabu.

Mashabiki wengi wamedai kuwa ni bora angemnunulia saa, cheni na vitu vingine kuliko kumnunulia pete, kwa kuwa inatafsiri vibaya kwa mwanaume.

Wawili hao wa sasa wanafanya kazi za muziki pamoja, hivyo Future amesema kuwa amefanya hivyo kwa kuwa kuna wimbo wao unaitwa ‘Big Rings’ ambao upo kwenye...

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani