Mama wa Mapacha sita anunuliwa nyumba
![](http://3.bp.blogspot.com/-2kwfmeMLGf8/VMep5bnbstI/AAAAAAAG_zI/eRqyeR2xcQM/s72-c/001%2B-%2BSalome.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Covenant Bank Balozi, Salome Sijaona(Katikati) akikata utepe, kuashilia uzinduzi Rasmi wa nyumba aliyokabidhiwa Salome Mhando ambaye alitelekezwa na mume wake baada ya kujifungua watoto mapacha mfurulizo hadi kufikia sita na kukosa Mahali pa kuishi, Covenant Bank imemkabidhi nyumba hiyo ambayo ataimiliki yeye mwenyewe pamoja na thamani za ndani na Bima ya Matibabu kwa Mwaka mzima. Anaeshuhudia ni mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Sabetha Mwambenja (wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2VMhd4zgK-E/VMiyZ5FnM0I/AAAAAAAAVWc/STA6wJq1-Ks/s72-c/nyumba.jpg)
MAMA MWENYE MAPACHA SITA AKABIDHIWA NYUMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2VMhd4zgK-E/VMiyZ5FnM0I/AAAAAAAAVWc/STA6wJq1-Ks/s640/nyumba.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OJC-qM17Vao/VMiyYvUafhI/AAAAAAAAVWU/lhme5lQBJic/s640/nyumba3.jpg)
11 years ago
GPLMAMA WA WATOTO NJITI MAPACHA ASHUKURU WALIOMSAIDIA
11 years ago
GPL24 May
MASKINI! MAMA ALIYEJIFUNGUA MAPACHA 4, MMOJA AFARIKI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tdqJfxIjUmU/Xlo5DkzYmhI/AAAAAAALgEo/8-I4xS_1mZgXGrUmmH014ri-ANPTJhBwwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AJITOLEA KUMSAIDIA MAMA ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WATATU MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tdqJfxIjUmU/Xlo5DkzYmhI/AAAAAAALgEo/8-I4xS_1mZgXGrUmmH014ri-ANPTJhBwwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DHPiNeRb2VE/Xlo5D-bPGHI/AAAAAAALgEs/8v1LNnzwkGc3zl9wuwuJQFItw27n2WJSQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
MAMA AJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO MKOANI KIGOMA, AOMBA MSAADA KWA WATANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
MKAZI wa Kijiji cha Buzebazeba katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, Zuwena Abdu (29) jana amejifungua watoto mapacha wanne kwa mkupuo katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma (Maweni).
Zuwena alisema kuwa watoto aliojifungua wenye jinsia ya kiume ni watatu na mmoja ambaye ni wa mwisho ana jinsia ya kike ,wa kwanza akiwa na uzito wa kilo 1.8,pili 2.5 wa tatu 1.7 na wanne 1.7.
Alisema watoto hao alijifungua jana majira ya saa kumi na mbili jioni salama kwa njia...
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Drake ashangaza mashabiki, anunuliwa pete
LOS ANGELES, MAREKANI
MASHABIKI wa muziki nchini Marekani, wameshangaa kitendo cha msanii wa hip hop, Nayvadius Wilburn ‘Future’, kumnunulia msanii mwenzake, Aubrey Graham ‘Drake’ pete ya dhahabu.
Mashabiki wengi wamedai kuwa ni bora angemnunulia saa, cheni na vitu vingine kuliko kumnunulia pete, kwa kuwa inatafsiri vibaya kwa mwanaume.
Wawili hao wa sasa wanafanya kazi za muziki pamoja, hivyo Future amesema kuwa amefanya hivyo kwa kuwa kuna wimbo wao unaitwa ‘Big Rings’ ambao upo kwenye...
10 years ago
GPL18 Jun