MAMA MWENYE NYUMBA - PART 1
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3jK6yuYmKxc/default.jpg)
10 years ago
GPL07 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2VMhd4zgK-E/VMiyZ5FnM0I/AAAAAAAAVWc/STA6wJq1-Ks/s72-c/nyumba.jpg)
MAMA MWENYE MAPACHA SITA AKABIDHIWA NYUMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2VMhd4zgK-E/VMiyZ5FnM0I/AAAAAAAAVWc/STA6wJq1-Ks/s640/nyumba.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OJC-qM17Vao/VMiyYvUafhI/AAAAAAAAVWU/lhme5lQBJic/s640/nyumba3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AWKaxj6s994/VN2X8WxMYEI/AAAAAAAAFRs/wAbJuTNnWwA/s72-c/faraja%2Bna%2Bnyarandu7899.jpg)
MH. NYALANDU AKIWA NA MAMA MWENYE NYUMBA WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-AWKaxj6s994/VN2X8WxMYEI/AAAAAAAAFRs/wAbJuTNnWwA/s640/faraja%2Bna%2Bnyarandu7899.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ax2fnParg98/VN2X8ZCcBAI/AAAAAAAAFRg/jIu1FWLkRJM/s640/faraja%2Bnyarandu091.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-svNgA1yv0YU/VN2X8BG0B6I/AAAAAAAAFRc/u6Gc-nQrcDg/s640/faraja%2Bkota45.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-56FDwQXOIfk/VSkuTOKchwI/AAAAAAADhYA/g7I-XxDchns/s72-c/11013395_851659651556157_5508766273604213603_n.jpg)
ABDULMAN OMAR DENDEGO NG'ARI NG'ARI NA MAMA MWENYE NYUMBA WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-56FDwQXOIfk/VSkuTOKchwI/AAAAAAADhYA/g7I-XxDchns/s1600/11013395_851659651556157_5508766273604213603_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pu-LWCjCo0w/VSkuTMZMihI/AAAAAAADhX8/yUQckI7FOmE/s1600/11082519_851660274889428_371464107830468433_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYjbS4Ut2gw/VSkuTLv9fmI/AAAAAAADhYE/EHyStsse-os/s1600/11102683_851660054889450_1722783454859643847_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-X0CNgoHROCY/VSkuT-CgVrI/AAAAAAADhYM/FYDrZ2fD6sI/s1600/11138076_851661941555928_8644749781038111688_n.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Haki za mpangaji na majukumu ya mwenye nyumba kisheria
Ardhi ni kitu muhimu sana katika maisha ya kila siku ya binadamu. Hata hivyo, ukweli ni kwamba siyo kila Mtanzania anamiliki ardhi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ*ayvxdq1jlaIDGEN2M1s6fM1cbzXd5T9mAmBu3fOcerabpic3hQ7T*rSTwRVpK9ZD4chlaNM81uIbu9WAcVK2-/BACKIJUMAA.jpg)
RAY C, BABA MWENYE NYUMBA WAKE KIMEUKA
Stori:Waandishi wetu/Ijumaa
Inadaiwa kuwa kimenuka kati ya msanii Rehema Chalamila ‘Ray C’ na baba mwenye nyumba wake, Hussein Kassim baada ya mdada huyo kudaiwa kugoma kutoa vyombo vyake kwenye mgahawa aliopangishwa na mkataba kuisha. Msanii Rehema Chalamila ‘Ray C’. Ray C aliyekuwa akitoa huduma ya chakula na vinywaji kwa wafanyakazi wa Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar kupitia mgahawa wake...
5 years ago
MichuziMPANGAJI ANAYELIPA KODI YA ZUIO ANAPASWA KUREJESHEWA NA MWENYE NYUMBA
Na. Peter Haule na Josephine Majura, WFM, Dodoma
Serikali imesema kuwa Sheria ya Kodi ya Mapato inaruhusu mpangaji wa nyumba ya biashara kusajiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania na kuwa Wakala wa ukusanyaji wa Kodi ya Zuio (Withholding Tax) hivyo kuwa sehemu ya mlipaji wa kodi ya pango.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Pauline Gekul, aliyetaka kujua lini Serikali itabadili...
Serikali imesema kuwa Sheria ya Kodi ya Mapato inaruhusu mpangaji wa nyumba ya biashara kusajiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania na kuwa Wakala wa ukusanyaji wa Kodi ya Zuio (Withholding Tax) hivyo kuwa sehemu ya mlipaji wa kodi ya pango.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Pauline Gekul, aliyetaka kujua lini Serikali itabadili...
10 years ago
Mwananchi06 Feb
Happy: Kahaba ‘aliyeua’ baba mwenye nyumba na kuathiri mtoto
>“Hakuna mtu anayependa kuwa kahaba (kujiuza) ila inatokana na sababu maalumu zinazomkabili mhusika,†anasema Happy katika mahojiano na gazeti hili jijini Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania