Haki za mpangaji na majukumu ya mwenye nyumba kisheria
Ardhi ni kitu muhimu sana katika maisha ya kila siku ya binadamu. Hata hivyo, ukweli ni kwamba siyo kila Mtanzania anamiliki ardhi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMPANGAJI ANAYELIPA KODI YA ZUIO ANAPASWA KUREJESHEWA NA MWENYE NYUMBA
Na. Peter Haule na Josephine Majura, WFM, Dodoma
Serikali imesema kuwa Sheria ya Kodi ya Mapato inaruhusu mpangaji wa nyumba ya biashara kusajiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania na kuwa Wakala wa ukusanyaji wa Kodi ya Zuio (Withholding Tax) hivyo kuwa sehemu ya mlipaji wa kodi ya pango.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Pauline Gekul, aliyetaka kujua lini Serikali itabadili...
Serikali imesema kuwa Sheria ya Kodi ya Mapato inaruhusu mpangaji wa nyumba ya biashara kusajiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania na kuwa Wakala wa ukusanyaji wa Kodi ya Zuio (Withholding Tax) hivyo kuwa sehemu ya mlipaji wa kodi ya pango.
Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Pauline Gekul, aliyetaka kujua lini Serikali itabadili...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Wajibu wa mpangishaji, mpangaji nyumba — 2
KATIKA makala iliyopita nilisema kwamba uhusiano wa mpangaji na mpangishaji nyumba au ardhi ni wa kisheria zaidi kwani unaratibiwa na sheria mbalimbali, mathalani kwa hapa Tanzania moja wapo ya sheria...
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Haki na jukumu la mkopaji kisheria
Imekuwa ni kawaida sana kwa watu wengi kujikuta wameingia kwenye mkopo bila kujua majukumu au haki zao kama wakopaji na matokeo yake wanafilisiwa au wanashindwa kabisa kurudisha mkopo.
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Haki za mmiliki wa ardhi kisheria
Watu wengi humiliki ardhi kwa njia zozote zinazotambulika kisheria kama kukaa muda mrefu, kwa kurithi au kupewa.
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Haki za mmiliki wa ardhi kisheria-2
Uwanja wa Kambole ni ukurasa unaokuletea uchambuzi wa sheria za aina mbalimbali. Tulianza na sheria za ajira, sasa tupo kwenye sheria za ardhi lengo ni kukupa ufahamu kiasi na uelewa wa sheria mbalimbali.
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Fahamu haki, wajibu wa mwanahisa kisheria
Haki na wajibu ni sawa na pande mbili za sarafu moja. Ili iwepo haki lazima wajibu uwepo. Kwa hiyo ni muhimu sana mwanahisa ukafahamu wajibu wako ili upate uhalali na nguvu za kutosha za kudai na kuzisimamia haki zako.
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Fahamu haki na wajibu wa mfanyakazi kisheria
Huwezi kudai kitu ambacho hufahamu kuwa kipo na hata kama unajua kipo hujui kinapatikanaje na hata kama unajua kinavyopatikana hujui nani anawajibika kukupatia.
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Mwanamke ana haki ya kumiliki mali kisheria
Ukimuelimisha mwanamke umeielimisha jamii. Ni wakati wa kuondokana na mfumo dume. Mwanamke akiwezeshwa anaweza. Mwanamke ndiye mlezi wa familia.
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Je, mkopaji ana haki zipi hasa kisheria?
Haki ni stahiki za kisheria ambazo mtu anapaswa azipate au apewe. Wajibu ni majukumu ambayo mtu anapaswa kuyatimiza katika kufanikisha au kukamilisha jambo fulani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania